Tanzania ni bora kuliko Kenya, Lissu apingwa na Wakenya kwa ushahidi, anatia aibu.

Lisu ana matatizo sana jamani, msikie anavyopingwa na wakenya kwa ushahidi. Anaitangazia ubaya Tanzania huko nje ya mipaka, ni hatari sana huyu mtu. Hataki wawekezaji waje hata kidogo. ni mtanzania gani?

View: https://www.youtube.com/watch?v=FPYkc2W3ZVc

Ndio maana Magu alitaka kummaliza ni msaliti anachumia tumbo lake, yuko tayari hii nchi iangamie kwa maslahi yake. Ashindwe na alegee huyo mbwa
 
Lisu ana matatizo sana jamani, msikie anavyopingwa na wakenya kwa ushahidi. Anaitangazia ubaya Tanzania huko nje ya mipaka, ni hatari sana huyu mtu. Hataki wawekezaji waje hata kidogo. ni mtanzania gani?

View: https://www.youtube.com/watch?v=FPYkc2W3ZVc

Hivi ukiwa unaishi kwenye nyumba ya matope halafu akija jirani yako na kukusifia kuwa nyumba yako ni ya kisasa ukikubali si utakuwa mwenda wazimu?
 
Lisu ana matatizo sana jamani, msikie anavyopingwa na wakenya kwa ushahidi. Anaitangazia ubaya Tanzania huko nje ya mipaka, ni hatari sana huyu mtu. Hataki wawekezaji waje hata kidogo. ni mtanzania gani?

View: https://www.youtube.com/watch?v=FPYkc2W3ZVc

"Tanzania ni bora kuliko Kenya, Lissu apingwa na Wakenya" tatizo liko wapi au badili kichwa chako.​

Ukimwambia mkenya Tanzania ni bora kuliko Kenya lazima atakupinga.
 
Muwekezaji gani anaweza kuja kuwekeza kwenye nchi ambayo inaupungufu wa Umeme kila uchwao?

ACHA KUJIPA MATUMAINI HEWA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Huo upungufu wa umeme wenyewe ni fursa ya kuleta wawekezaji.
 
Lisu yuko vizuri kichwani
hayuko vizuri, anachuki iliyopitiliza na nchi yake. nchi ni kubwa kuliko mtu mmojammoja akiwemo yeye. Anapoingelea vibaya nchi maana wawekezaji na wafanyabiashara wasije Tz, maana uchumi udolole na watanzania wasipate dawa na madawati, barabara zisijengwe. Lissu anafahamu kuwa Kenya ni miongoni mwa nchi kumi zilizowekeza zaidi tanzania lakini yeye anabisha. Lisu anaambiwa bei ya mafuta Tanzania iko chini na wakenya wanaenda Namanga kuweka mafuta, lisu anasema ni uongo, vitu kama hivyo vinaweza kusababisha hasira kubwa dhidi yake kutoka kwa watanzania wanaoipenda nchi yao. Eti kisa yeye kapigwa bunduki. Yeye ni mwanaharakati sio mwanasiasa.
 
Back
Top Bottom