Wakenya mnatuharibia Kiswahili

Mkenya anajivunia kuwa Mwafrika- siyo Mkenya, yaani Africa one, wewe unajivunia u-TZ uko so primitive sana, hii ulifundishwa, ubinafsi, uchoyo Mkuu kataa? mtu akichagu Kujifunza chuo? Ni wazi atachagua chuo cha Kenya, sababu walimu Kenya ni makini wabobevu wote ktk nyanja mbalimbali za Elimu ya Lugha,

Kenya Land hkn walimu wababaishaji, wanakodiwa na kuaminiwa Duniani kote, zaidi wamebeba soko la kiswahili Ulimwenguni Wametangaza slogan km '' Hakuna Matata''' ''Safari tours'' Mt. kilimanjaro Duniani. mpaka mkalilia Mlima!

Watanzania na Wageni wote toka Ulaya wenye Pesa zao wanasoma, na kutibiwa kenya? AAR ni kampuni ya Kenya kusaidia kuvusha watalii wazungu waje pata tiba, mfano Lisu tumemwokoa angeenda Muhimbil angekufa faster! Mkapa angeponea hapa ila Covid, ameenda Muimbili kafa,huko ni taaluma duni, hata katibu wenu mkuu wa Wizara ya Afya Dr Mpoki Urusubisya, alikiri Lisu apelekwe Nairobi,

Yeye mwenyewe Mpoki kasomea Kenya kwenye Elimu Bora baba yake alikuwa na hela, na Dr Mpoki ni kati ya Madaktari Bora zaidi Tanzania, km wewe msomi uliza wanafunzi wa IMTU watakwambia, hkna Mkenya mwenye hela aliwahi kuja tibiwa au kusoma DSM zaidi ya kufanya practical,

Walimu wengi wanakodiwa kuja kufundisha shule za kawaida na vyuo kutoka Kenya na Uganda, mnawalipa hela nyingi, mfano ST Mary's Academy. KIU, IMTU, Hurbert Kairuki nk hata wewe Hujui Swahili fasaha, mifano mingi nimekupa hapo mwanzo but unarudia yaleyale! huna jipya.

Kweli uko sahihi watanzania mko humble, elewa hii ni tabia ya wachawi, wafuga majini, ni sheria yao ili kuficha ubaya wao! lkn kichinichini anakumaliza na kweli kwa uchawi tu Tanzania nakiri ndiyo mnatuzidi.

kuna vijiji hamsomi sana au kujenga nyumba za kisasa ajili ya kuogopa uchawi! kweli uongo? hata wewe hapo kwenu huendagi, nasema nachojua nilifanya research vijijini km- Ukara-Mwanza, Mahurunga-Mtwara, Uduvi- Sumbawanga, Karunde-Tabora karibu na Igombe seminary, Nyashimba-Mwanza, barabara ya Shinyanga, Muhangala-Pugu st. DSM, Mbwewe-Tanga nk,

Ukisema ''naumia''!!! sikia ''asifuye mvua imemnyea! sina maumivu ila kinyume chake ni ukweli wako. wakenya tunajua Lugha nyingi sana, siyo kiswahili tu. km sijui Lugha hii mwanana mbona umesoma ukaelewa na umejibu hatua kwa hatua? au pigia mstari wapi nimekosea, acha roho ya chuki ndugu haijengi! inaonekana unajibu kwa jazba! na vijembe visivyo kuwa na kichwa wala mkia! ni uchawi wa kimyakimya huu!

Labda lafdhi tamu ile ya Wazaramo, Wakwere na kulee Tanga na ile ni lafudhi ya kibondei hadi makabila ya mwambao wa pwani km Mombasa- kenya pia ipo!!! Wakenya wameteka soko la kiswahili wanapata hela ya utalii kupitia kiswahili kinachoongelewa Maziwa makuu, kuendelea kusema eti hawakijui ni fursa kwa Kenya! ndo tunapiga Bingo kinoma, lkn Bongo hampati watalii wa kiswahili mtaongea nao nini? Eng hamjui? kifupi hamna ajira Mkuu acheni kiburi njooni tusome huku!
wakenya hamtuzidi kiswahili sema tu mko vizuri kiuchumi ndio maana mmeshika nyanja nyingi hata hiyo ya kufundisha lugha ya kimataifa .wewe kama wewe kiswahili unakifahamu lakini kwa kusoma comment yako nimegundua Tanzania umeshatembea sana hadi ukaizoea lugha yetu sisi binafsi tunajua kuwa kwa kenya mombasa tu ndo wanajua kiswahili ila Tanzania karibu wote tunajua kuongea kiswahili fasaha achana na cha makaratasi sisi kielimu bado tuko nyuma. Kwa bongo lafudhi tu ndo tunatofautiana angalia kama wasukuma kiswahili wanajua ila lafudhi ndo tatizo lenu ila kwa kenya wachache waliokijua kiswahili mmewawezesha kukitangaza na kujitangaza nyie kimataifa. Kenyans you so patriotic a lot of things mnavitangaza kama vyenu kimataifa but they belong to us hata hapo unajaribu kuitetea nchi yako acha ukweli ubaki kuwa hivyo kama ulivyo
 
Hivi kwanini msiongee English mnayoitambia tu kuliko kuongea Kiswahili mnachotuharibia sana katika matamshi mpaka kuonekana mnatukana muda mwingine.

"NENDA KANIINGILIE"

"VENYE UKIKWENDA"

"SI UKUJE".

Nyi hata mke kwenu mnaita BIBI.
Na walivyo na kimbelembele sasa. Yaani huko duniani inaonekana kiswahili asili yake ni huko kwao, eti chao ndio fasaha. Na inasemekana walimu wengi wa kiswahili huko ughaibuni ni wao. Ila waTz na sie tumelala sana! Hawa wenzetu ni wazee wa fursa.
 
wakenya hamtuzidi kiswahili sema tu mko vizuri kiuchumi ndio maana mmeshika nyanja nyingi hata hiyo ya kufundisha lugha ya kimataifa .wewe kama wewe kiswahili unakifahamu lakini kwa kusoma comment yako nimegundua Tanzania umeshatembea sana hadi ukaizoea lugha yetu sisi binafsi tunajua kuwa kwa kenya mombasa tu ndo wanajua kiswahili ila Tanzania karibu wote tunajua kuongea kiswahili fasaha achana na cha makaratasi sisi kielimu bado tuko nyuma. Kwa bongo lafudhi tu ndo tunatofautiana angalia kama wasukuma kiswahili wanajua ila lafudhi ndo tatizo lenu ila kwa kenya wachache waliokijua kiswahili mmewawezesha kukitangaza na kujitangaza nyie kimataifa. Kenyans you so patriotic a lot of things mnavitangaza kama vyenu kimataifa but they belong to us hata hapo unajaribu kuitetea nchi yako acha ukweli ubaki kuwa hivyo kama ulivyo
Aaa ah! kuna mkuu wa majeshi Mkurya wa JWTZ wakati wa Nyerere akiongea utacheka mpaka basi, unaweza usjue anachoongea jina nimemsahau kidogo!

Mapolisi wenu hawajui kiswahili utasikia aroo! pot turikamate iri richaamaa , ritupe sero!! hawa ni walee walio karibu na Kenya! jirani zetu! wanachanganya Sheng km sisi.
 
Hata mleta Mada hujui Kiswahili mfano ''mpaka kuonekana'' siyo kiswahili fasaha! Tamatahali za semi hujui hata moja, jazanda na sitiara za kiswahili kwako ni mweupe ila unanyooshea Kidole wenyeji wa Nairobi, wala siyo wakenya wote, Nenda Mombasa ukutane na rahaja za kiswahili zilizo tukuka!

Kwa Tanzania Nenda Mara sehemu km Tarime, Musoma vjijini utadhani siyo Tanzania, Nyumba ya Bati wanaita nyumba ya pati, tiricha=dirisha, DSM=taisarama, mswahili=mchwairi! wanajeshi=wanachesi, Bus= pasi mutukari

Ukienda usukumani ndo mamaaa! Rais wenu!

Angalia sasa gwaride la afande m-Zanzibar

''Gwaridee!! Mguu kati!! mguu kando!!! mguu kati mguu kando!!!

Bara geukiaaa!!! Pembaaa geukaa!!

Mwiliii Rejeshaa!!!! kuleni tanoo! Nilichoka kwa mbavu zangu.....
Rahaja ni nini mkuu?

 
Mhaya mtu akiugua anatamka kwa kiswahili '' huyu mutu arumwa'' sabuni anaita Sambundi! sasa ni wapi utaelewa kirahisi? ukilinganisha na kugonjeka? Mkuu TZ naijua sana kuliko unavoijua weye! yaani huko tunaingia na kutoka. sema unatokea Mkoa gani nikupe data? Kuna shule Tanzania zinaongea Vilugha tupu! nazijua nimeziishi. km Kiribho, Kongore, shule za msingi .

Kuhusu soko lako!! usijidanganye Muda utaongea lini? semi za kizamani zinakumaliza, eti ''Aliyeko juu mngoje chini'', ni wa kizamani. mpandie hukohuko, mmalizane, sijui ''subira yavuta heri '' wee lini itavuta heri na mimi nina njaa?! utapata madonda ya tumbo bure, wakati unaugulia wenzako wanapiga ndefu! utawapata wapi? unajipa Moyo!

Mtaka cha uvunguni sharti ainame? unajua Muhindi alijibu vipi? ''sharti nyanyua Matanda!''

Sijui semi km ''Harakaharaka haina baraka'' ni tamathali za semi za kikoloni! ili mnyonywe vizuri!! yeye mbona ana haraka ya kwenda mwezini? Nashangaa wewe bado unazikumbatia. Kiburi chetu cha mafanikio ya ngome ya kiswahili Africa, ni sawa na gwaride la Chipukizi jeuri ya chama cha Mapinduzi,wakati uleee! ile siyo dhambi, Dua la kuku halimpati mwewe!

Jeuri/ kibri akishushwi na mtu au watu, zaidi ya Al asma al husna Lit, Allah! Subhaan Wataalh! na tunajua mbinu za kuongea naye atupandishe ngazi za mafanikio! tuna jeuri kwa Lugha yetu! Africa. TZ haina hati milki ya Kiswahili. huo ni ubinafsi uliopitiliza. km hujui Kiswahili ni Kibantu, huna uelewa, au ulisoma st Kayumba- Bongo, (kwanza nini maana ya Bantu nakuuliza) kuna maneno ktk Lugha zote Africa isipokuwa chache sana.

Mfano wa-Sotho wana maneno ya kiswahili km ''Ebwana wee!'' ''tuliza Ghwana!'' mnyongeni, ''Mughaka-(linasadifu kikurya) , Xhosa Baba wanaita Tata, wazanaki wanaita ivoivo, hapo Bongo km wewe mlivo wabinafsi na uelewa mdogo mnaona ni neno lenu! mta taka wayatamke mnavotaka nyie! kugonjeka ni neno la kikamba, linarandana na kiswahili. tuja hapo kwenu neno ''Chogo'' latumika zanzibar tu, wakuja- Mtwara na Moro, MKanja bhuro- Bukoba,

Elimu Bora tunaongelea EAC na Africa, siyo India kwa magabachori wako huko, fungua akili . neno porojo ni hoja hafifu sana iso mashiko! kuteka soko Duniani siyo kazi ndogo kijana, mtangoja sana, tumepitia mitihani mingi, Mashalah! tunauzoefu, njooni mjifunze mpige bao! hamtaki! Oooh!! sisi kenya hatujui kiswahili fasaha! tuwafanyeje sasa?

Mmepata Rais mzuri but still watanzania mna mnanga eti mara hajui Kiingereza! mara kiswahili hajui! Km mimi muongo muulize Barakoa ni nini? angalia thread humu!! ni wazi mlio wengi mna kitamani! ila uwezo! hata wewe unajifanya hamnazo tu lkn moyoni.., angalia wenzako wanavoikubali Kenya wanajibu hoja kwa ufasaha! wewe ptyuuu!

Mkuu Kujua Lugha ya Adui yako zaidi yake, ni sheria ya vita, sisi tunaenda sambamba ili asije kutuangamiza kirahisi, asikutete, si mna JKT huko wewe ulikimbia? na Watanzania mmeingizwa chaka hadharani mara kibao sababu ya ujuaji km huu,

Meridia BIAO iko wapi? DECI, Mv Buttrfly viko wapi? Bandari ya Bagamoyo, RIchmond,nk uliza wakubwa zako ilikuwaje? Mlipigwa za chembe mchana kweupeee! Bazee mkuje kenya yetu hakuna Matata! sisi hata kiswahili cha Congo. SA tunakikubali na tunakitumia, wamekubali usharika, nyie cha Kenya mnakinanga! eti mnajivunia utanzania haya bana!
Mipaka iliowekwa na wakoloni kwenye mkutano wa Berlin 1884-1885 hakika umefanikiwa kutugawa Waafrika kwa kiasi kikubwa. Siku moja tukitambua Afrika ni moja na watu wake basi tutakuwa tumetoka kwenye ukoloni kwa uhalisia.
 
hakuna chochote acha porojo Kenya hamjui kiswahili cha kitabuni wala cha kuongea.Wakenya wengi wanachokijua ni majivuno
Kweli tunajivuna sana kwa kuwa tuna weza! nyie hata kakitabu tu rahisi ka kuuuz Ulaya . hamna sababu hamjui kujieleza! kwa liingereza mmekalia ujuaji wa kiswahili tuuu! na Ubishi! wenzenu tumekamata soko hata msemeje! huko nje kinajulikana ni chetu! na bado.. mtalia sana!
 
Kwakweli wakenya Kiswahili waache kukiharibu maana sio kwa kuboronga huko wakiwa wanaongea. Eti hamna ngori mazey, yule mdada mcute, makarao, mwenye anajua mahali stima iko Ina produsiwa. N.k ushauri jifunzeni kwanza kabla hamjaanza kuongea.
 
Kwakweli wakenya Kiswahili waache kukiharibu maana sio kwa kuboronga huko wakiwa wanaongea. Eti hamna ngori mazey, yule mdada mcute, makarao, mwenye anajua mahali stima iko Ina produsiwa. N.k ushauri jifunzeni kwanza kabla hamjaanza kuongea.
Wakenya wengi huwa free style sana, huu wimbo huwa hata siuelewi maanake umejaa sheng kali

 
Kwakweli wakenya Kiswahili waache kukiharibu maana sio kwa kuboronga huko wakiwa wanaongea. Eti hamna ngori mazey, yule mdada mcute, makarao, mwenye anajua mahali stima iko Ina produsiwa. N.k ushauri jifunzeni kwanza kabla hamjaanza kuongea.
mnajua kiinglish nyie mbona mna boronga tu km rais
 
Hivi kwanini msiongee English mnayoitambia tu kuliko kuongea Kiswahili mnachotuharibia sana katika matamshi mpaka kuonekana mnatukana muda mwingine.

"NENDA KANIINGILIE"

"VENYE UKIKWENDA"

"SI UKUJE".

Nyi hata mke kwenu mnaita BIBI.
Shamba sana wewe!!! kiswahili siyo mali yenu pekee!! nyani nyie!!! ni mali ya wabantu wooote Africa na Ulaya mpaka Levant, mkitaka anzisheni kilugha chenu!!! muone km mtafwata ndo maana mnaitwa nyani kuumbe ni kweli!!

kaniingilie unashindwa nini kujua hapo nyie mnawaza chini tuuuu!! ndo maana hata kiingereza hamjui! neno simple sana eti si ukuje huelewi nini hapo sasa? unavoona tunakosea ndo ivoivo zanzibar wanaona mnakosea pia!! yani miafrica mnachekana. sijui mna nini??
 
Back
Top Bottom