Wakenya mnatuharibia Kiswahili

hakuna chochote acha porojo Kenya hamjui kiswahili cha kitabuni wala cha kuongea.Wakenya wengi wanachokijua ni majivuno
Huwezi jivuna kama hujui, kujivuna ni kipajiMkuu, na kujivuna sababu umebarikiwa siyo dhambi!!! tatizo ni lenu hasa, mnaumia ndani ya myoyo yenu nyie mnajiona duni sana mbele ya wakenya. mkiwaona mnatetemeka! ndiyo twazidisha sasa afadhali ungenyamaza, ndiyo kiswahili chetu kilivo ati, hata nyie hamkijui chetu! unabisha

Kiswahili cha kitabuni ndo nyie mnatusema tunakijua tu, halafu mnajipinga tena, mbona hamueleweki ndg. tukijitetea kwa hoja mnajipinga hivi mna akili kweli?

Viambishi na ngeli za Nomino za ki-kenya nitofauti sana msilazimishe tuwe km nyie, Wanyamwezi na wasukuma wanaongea sawa, lkn mnymwezi siyo msukuma, Mzanaki siyo Mkurya, Mjita siyo Mruri, wala Mkwaya siyo mjita au mkerewe lkn Lugha zao kimatamshi ni sawa.

Mzaramo siyo Mkwere, jaribu pinga kwa hoja! mnakitamani kiswahili cha Kenya sana ila hamu wezi ni cha kisomi zaidi.
 
Huwezi jivuna kama hujui, kujivuna ni kipajiMkuu, na kujivuna sababu umebarikiwa siyo dhambi!!! tatizo ni lenu hasa, mnaumia ndani ya myoyo yenu nyie mnajiona duni sana mbele ya wakenya. mkiwaona mnatetemeka! ndiyo twazidisha sasa afadhali ungenyamaza, ndiyo kiswahili chetu kilivo ati, hata nyie hamkijui chetu! unabisha

Kiswahili cha kitabuni ndo nyie mnatusema tunakijua tu, halafu mnajipinga tena, mbona hamueleweki ndg. tukijitetea kwa hoja mnajipinga hivi mna akili kweli?

Viambishi na ngeli za Nomino za ki-kenya nitofauti sana msilazimishe tuwe km nyie, Wanyamwezi na wasukuma wanaongea sawa, lkn mnymwezi siyo msukuma, Mzanaki siyo Mkurya, Mjita siyo Mruri, wala Mkwaya siyo mjita au mkerewe lkn Lugha zao kimatamshi ni sawa.

Mzaramo siyo Mkwere, jaribu pinga kwa hoja! mnakitamani kiswahili cha Kenya sana ila hamu wezi ni cha kisomi zaidi.
hahah unanichekesha sana ,usitumie nguvu kubwa kuliko akili , hata ulichokiandika hapo kinasadifu kutokujua kwako. Kila lugha ina kanuni na taratibu zake zinazobana wazungumzaji (sarufi) , sio mtu kuongea anavyotaka .Kiukweli kiswahili fasaha Kenya hamkijui mnaunga unga tu. Halafu pia kuna kitu hujaelewa si kila anayejivuna anajua. Kujivuna ni tabia. Ninapozungumza katika muktadha huu simaanishi kuwa sisi ni duni kama akili yako fupi inavyofikiri. Maana yake ni kuwa sisi tumekulia ktk mazingira ya kumthamini kila mtu kwa hivyo tunapenda watu wenye hulka ya kuthaminiana na unyenyenyekevu (humble) . Mfano watu wengi wa Uganda ingawa wanajua mambo mengi kuliko ninyi, wanayo sifa ya unyenyekevu

Najua huwa mnaumia sana kuambiwa kuwa hamjui kiswahili lakini hakuna namna lazima muambiwe ukweli kama mnataka kujifunza.

Unaweza kujaribu suala hili dogo. Mfano mkenya awe anataka kusomea shahada ya kiswahili na awe na fedha ya kutosha. Kisha umwambie achague kati ya chuo kilichopo Kenya au Tanzania , mtu mwenye akili atachagua wapi , na kwanini ? Ukijibu suala hilo urudi kuendelea kubishana

Ukiupa ukweli kisogo hutoujua kamwe utabaki kuwa mjinga milele.Najivunia sana kuwa mtanzania
 
hahah unanichekesha sana ,usitumie nguvu kubwa kuliko akili , hata ulichokiandika hapo kinasadifu kutokujua kwako. Kila lugha ina kanuni na taratibu zake zinazobana wazungumzaji (sarufi) , sio mtu kuongea anavyotaka .Kiukweli kiswahili fasaha Kenya hamkijui mnaunga unga tu. Halafu pia kuna kitu hujaelewa si kila anayejivuna anajua. Kujivuna ni tabia. Ninapozungumza katika muktadha huu simaanishi kuwa sisi ni duni kama akili yako fupi inavyofikiri. Maana yake ni kuwa sisi tumekulia ktk mazingira ya kumthamini kila mtu kwa hivyo tunapenda watu wenye hulka ya kuthaminiana na unyenyenyekevu (humble) . Mfano watu wengi wa Uganda ingawa wanajua mambo mengi kuliko ninyi, wanayo sifa ya unyenyekevu

Najua huwa mnaumia sana kuambiwa kuwa hamjui kiswahili lakini hakuna namna lazima muambiwe ukweli kama mnataka kujifunza.

Unaweza kujaribu suala hili dogo. Mfano mkenya awe anataka kusomea shahada ya kiswahili na awe na fedha ya kutosha. Kisha umwambie achague kati ya chuo kilichopo Kenya au Tanzania , mtu mwenye akili atachagua wapi , na kwanini ? Ukijibu suala hilo urudi kuendelea kubishana

Ukiupa ukweli kisogo hutoujua kamwe utabaki kuwa mjinga milele.Najivunia sana kuwa mtanzania
Mkenya anajivunia kuwa Mwafrika- siyo Mkenya, yaani Africa one, wewe unajivunia u-TZ uko so primitive sana, hii ulifundishwa, ubinafsi, uchoyo Mkuu kataa? mtu akichagu Kujifunza chuo? Ni wazi atachagua chuo cha Kenya, sababu walimu Kenya ni makini wabobevu wote ktk nyanja mbalimbali za Elimu ya Lugha,

Kenya Land hkn walimu wababaishaji, wanakodiwa na kuaminiwa Duniani kote, zaidi wamebeba soko la kiswahili Ulimwenguni Wametangaza slogan km '' Hakuna Matata''' ''Safari tours'' Mt. kilimanjaro Duniani. mpaka mkalilia Mlima!

Watanzania na Wageni wote toka Ulaya wenye Pesa zao wanasoma, na kutibiwa kenya? AAR ni kampuni ya Kenya kusaidia kuvusha watalii wazungu waje pata tiba, mfano Lisu tumemwokoa angeenda Muhimbil angekufa faster! Mkapa angeponea hapa ila Covid, ameenda Muimbili kafa,huko ni taaluma duni, hata katibu wenu mkuu wa Wizara ya Afya Dr Mpoki Urusubisya, alikiri Lisu apelekwe Nairobi,

Yeye mwenyewe Mpoki kasomea Kenya kwenye Elimu Bora baba yake alikuwa na hela, na Dr Mpoki ni kati ya Madaktari Bora zaidi Tanzania, km wewe msomi uliza wanafunzi wa IMTU watakwambia, hkna Mkenya mwenye hela aliwahi kuja tibiwa au kusoma DSM zaidi ya kufanya practical,

Walimu wengi wanakodiwa kuja kufundisha shule za kawaida na vyuo kutoka Kenya na Uganda, mnawalipa hela nyingi, mfano ST Mary's Academy. KIU, IMTU, Hurbert Kairuki nk hata wewe Hujui Swahili fasaha, mifano mingi nimekupa hapo mwanzo but unarudia yaleyale! huna jipya.

Kweli uko sahihi watanzania mko humble, elewa hii ni tabia ya wachawi, wafuga majini, ni sheria yao ili kuficha ubaya wao! lkn kichinichini anakumaliza na kweli kwa uchawi tu Tanzania nakiri ndiyo mnatuzidi.

kuna vijiji hamsomi sana au kujenga nyumba za kisasa ajili ya kuogopa uchawi! kweli uongo? hata wewe hapo kwenu huendagi, nasema nachojua nilifanya research vijijini km- Ukara-Mwanza, Mahurunga-Mtwara, Uduvi- Sumbawanga, Karunde-Tabora karibu na Igombe seminary, Nyashimba-Mwanza, barabara ya Shinyanga, Muhangala-Pugu st. DSM, Mbwewe-Tanga nk,

Ukisema ''naumia''!!! sikia ''asifuye mvua imemnyea! sina maumivu ila kinyume chake ni ukweli wako. wakenya tunajua Lugha nyingi sana, siyo kiswahili tu. km sijui Lugha hii mwanana mbona umesoma ukaelewa na umejibu hatua kwa hatua? au pigia mstari wapi nimekosea, acha roho ya chuki ndugu haijengi! inaonekana unajibu kwa jazba! na vijembe visivyo kuwa na kichwa wala mkia! ni uchawi wa kimyakimya huu!

Labda lafdhi tamu ile ya Wazaramo, Wakwere na kulee Tanga na ile ni lafudhi ya kibondei hadi makabila ya mwambao wa pwani km Mombasa- kenya pia ipo!!! Wakenya wameteka soko la kiswahili wanapata hela ya utalii kupitia kiswahili kinachoongelewa Maziwa makuu, kuendelea kusema eti hawakijui ni fursa kwa Kenya! ndo tunapiga Bingo kinoma, lkn Bongo hampati watalii wa kiswahili mtaongea nao nini? Eng hamjui? kifupi hamna ajira Mkuu acheni kiburi njooni tusome huku!
 
Najua huwa mnaumia sana kuambiwa kuwa hamjui kiswahili lakini hakuna namna lazima muambiwe ukweli kama mnataka kujifunz
Mkuui!!! mteule wewe mfipa? sasa mimi naumia nini wakati hicho unachosema sikijui, na nakifanya vibaya, ndiyo kina pendwa Duniani, kimeniajili? nalipwa mifwedha, Midodali kedekede, nakula na kusaza watoto waenda shule nzuri! Mke wangu, apendeza, anenepa ajili ya hii Lugha Maridhawa!

Kiswahili Chimbuko lake Zanzbar, kikakulia TZ kinaongewa vizuri wapi Kenya. ndiyo dunia inajua hivo!

Mkuu nikuweke kundi gani la watu? kizuri changu wakiita kibaya! kizuri kwako ni kipi? Haya weye waijua ufasaha wake twambie kimekusaidiaje wewe binafsi, faida zangu umeziona wewe je?
Zanzibar, Arusha, Mikumi na tourists site zote wakenya wanakuja na watalii nakuondoka nao! wanawaachia vicent kiduchu!

Afya yangu bora, eti najivuna? Yes! natumia nguvu, so what? mimi ni mwanaume, unataga nilegee km nyie, mnaobonyeza Kizenj! nchi tajiri EAC ni kenya kwa sababu wana nguvu.

Na Mtanzania aliyesoma kenya akiongea English DSM uswahilini atapigwa mawe anachukiwa! Kijijini anarogwa! njooni huku hkn uchawi mtaongea kwa uhuru.!!!
 
Mkenya anajivunia kuwa Mwafrika- siyo Mkenya, yaani Africa one, wewe unajivunia u-TZ uko so primitive sana, hii ulifundishwa, ubinafsi, uchoyo Mkuu kataa? mtu akichagu Kujifunza chuo? Ni wazi atachagua chuo cha Kenya, sababu walimu Kenya ni makini wabobevu wote ktk nyanja mbalimbali za Elimu ya Lugha,

Kenya Land hkn walimu wababaishaji, wanakodiwa na kuaminiwa Duniani kote, zaidi wamebeba soko la kiswahili Ulimwenguni Wametangaza slogan km '' Hakuna Matata''' ''Safari tours'' Mt. kilimanjaro Duniani. mpaka mkalilia Mlima!

Watanzania na Wageni wote toka Ulaya wenye Pesa zao wanasoma, na kutibiwa kenya? AAR ni kampuni ya Kenya kusaidia kuvusha watalii wazungu waje pata tiba, mfano Lisu tumemwokoa angeenda Muhimbil angekufa faster! Mkapa angeponea hapa ila Covid, ameenda Muimbili kafa,huko ni taaluma duni, hata katibu wenu mkuu wa Wizara ya Afya Dr Mpoki Urusubisya, alikiri Lisu apelekwe Nairobi,

Yeye mwenyewe Mpoki kasomea Kenya kwenye Elimu Bora baba yake alikuwa na hela, na Dr Mpoki ni kati ya Madaktari Bora zaidi Tanzania, km wewe msomi uliza wanafunzi wa IMTU watakwambia, hkna Mkenya mwenye hela aliwahi kuja tibiwa au kusoma DSM zaidi ya kufanya practical,

Walimu wengi wanakodiwa kuja kufundisha shule za kawaida na vyuo kutoka Kenya na Uganda, mnawalipa hela nyingi, mfano ST Mary's Academy. KIU, IMTU, Hurbert Kairuki nk hata wewe Hujui Swahili fasaha, mifano mingi nimekupa hapo mwanzo but unarudia yaleyale! huna jipya.

Kweli uko sahihi watanzania mko humble, elewa hii ni tabia ya wachawi, wafuga majini, ni sheria yao ili kuficha ubaya wao! lkn kichinichini anakumaliza na kweli kwa uchawi tu Tanzania nakiri ndiyo mnatuzidi.

kuna vijiji hamsomi sana au kujenga nyumba za kisasa ajili ya kuogopa uchawi! kweli uongo? hata wewe hapo kwenu huendagi, nasema nachojua nilifanya research vijijini km- Ukara-Mwanza, Mahurunga-Mtwara, Uduvi- Sumbawanga, Karunde-Tabora karibu na Igombe seminary, Nyashimba-Mwanza, barabara ya Shinyanga, Muhangala-Pugu st. DSM, Mbwewe-Tanga nk,

Ukisema ''naumia''!!! sikia ''asifuye mvua imemnyea! sina maumivu ila kinyume chake ni ukweli wako. wakenya tunajua Lugha nyingi sana, siyo kiswahili tu. km sijui Lugha hii mwanana mbona umesoma ukaelewa na umejibu hatua kwa hatua? au pigia mstari wapi nimekosea, acha roho ya chuki ndugu haijengi! inaonekana unajibu kwa jazba! na vijembe visivyo kuwa na kichwa wala mkia! ni uchawi wa kimyakimya huu!

Labda lafdhi tamu ile ya Wazaramo, Wakwere na kulee Tanga na ile ni lafudhi ya kibondei hadi makabila ya mwambao wa pwani km Mombasa- kenya pia ipo!!! Wakenya wameteka soko la kiswahili wanapata hela ya utalii kupitia kiswahili kinachoongelewa Maziwa makuu, kuendelea kusema eti hawakijui ni fursa kwa Kenya! ndo tunapiga Bingo kinoma, lkn Bongo hampati watalii wa kiswahili mtaongea nao nini? Eng hamjui? kifupi hamna ajira Mkuu acheni kiburi njooni tusome huku!
hahah eti atachagua Kenya kusomea Kiswahili huko ambako mtu akiugua mnasema amegonjeka basi katika watu kumi ni mmoja tu ndugu yangu ....Suala la kuteka soko ni ishu ya muda , muda utaongea tu usiwe na haraka .Baadaye watu watajua tu ukweli maana uongo hupanda lift bali ukweli hupanda ngazi .

Suala la elimu bora ya madaktari duniani inafahamika India ,sasa nashangaa hizo porojo unazitoa wapi wakati Kenya kwenye ramani ya dunia haifahamiki . Na kama suala la English bora Uganda wanawazidi mbali kama unabisha ingia google utafute nchi zenye kuongea kiingereza kizuri Afrika utapewa orodha kutoka katika vyanzo vinavyoaminika. Lakini wao hawana kelele kama majirani zetu fulani
 
Mkenya anajivunia kuwa Mwafrika- siyo Mkenya, yaani Africa one, wewe unajivunia u-TZ uko so primitive sana, hii ulifundishwa, ubinafsi, uchoyo Mkuu kataa? mtu akichagu Kujifunza chuo? Ni wazi atachagua chuo cha Kenya, sababu walimu Kenya ni makini wabobevu wote ktk nyanja mbalimbali za Elimu ya Lugha,

Kenya Land hkn walimu wababaishaji, wanakodiwa na kuaminiwa Duniani kote, zaidi wamebeba soko la kiswahili Ulimwenguni Wametangaza slogan km '' Hakuna Matata''' ''Safari tours'' Mt. kilimanjaro Duniani. mpaka mkalilia Mlima!

Watanzania na Wageni wote toka Ulaya wenye Pesa zao wanasoma, na kutibiwa kenya? AAR ni kampuni ya Kenya kusaidia kuvusha watalii wazungu waje pata tiba, mfano Lisu tumemwokoa angeenda Muhimbil angekufa faster! Mkapa angeponea hapa ila Covid, ameenda Muimbili kafa,huko ni taaluma duni, hata katibu wenu mkuu wa Wizara ya Afya Dr Mpoki Urusubisya, alikiri Lisu apelekwe Nairobi,

Yeye mwenyewe Mpoki kasomea Kenya kwenye Elimu Bora baba yake alikuwa na hela, na Dr Mpoki ni kati ya Madaktari Bora zaidi Tanzania, km wewe msomi uliza wanafunzi wa IMTU watakwambia, hkna Mkenya mwenye hela aliwahi kuja tibiwa au kusoma DSM zaidi ya kufanya practical,

Walimu wengi wanakodiwa kuja kufundisha shule za kawaida na vyuo kutoka Kenya na Uganda, mnawalipa hela nyingi, mfano ST Mary's Academy. KIU, IMTU, Hurbert Kairuki nk hata wewe Hujui Swahili fasaha, mifano mingi nimekupa hapo mwanzo but unarudia yaleyale! huna jipya.

Kweli uko sahihi watanzania mko humble, elewa hii ni tabia ya wachawi, wafuga majini, ni sheria yao ili kuficha ubaya wao! lkn kichinichini anakumaliza na kweli kwa uchawi tu Tanzania nakiri ndiyo mnatuzidi.

kuna vijiji hamsomi sana au kujenga nyumba za kisasa ajili ya kuogopa uchawi! kweli uongo? hata wewe hapo kwenu huendagi, nasema nachojua nilifanya research vijijini km- Ukara-Mwanza, Mahurunga-Mtwara, Uduvi- Sumbawanga, Karunde-Tabora karibu na Igombe seminary, Nyashimba-Mwanza, barabara ya Shinyanga, Muhangala-Pugu st. DSM, Mbwewe-Tanga nk,

Ukisema ''naumia''!!! sikia ''asifuye mvua imemnyea! sina maumivu ila kinyume chake ni ukweli wako. wakenya tunajua Lugha nyingi sana, siyo kiswahili tu. km sijui Lugha hii mwanana mbona umesoma ukaelewa na umejibu hatua kwa hatua? au pigia mstari wapi nimekosea, acha roho ya chuki ndugu haijengi! inaonekana unajibu kwa jazba! na vijembe visivyo kuwa na kichwa wala mkia! ni uchawi wa kimyakimya huu!

Labda lafdhi tamu ile ya Wazaramo, Wakwere na kulee Tanga na ile ni lafudhi ya kibondei hadi makabila ya mwambao wa pwani km Mombasa- kenya pia ipo!!! Wakenya wameteka soko la kiswahili wanapata hela ya utalii kupitia kiswahili kinachoongelewa Maziwa makuu, kuendelea kusema eti hawakijui ni fursa kwa Kenya! ndo tunapiga Bingo kinoma, lkn Bongo hampati watalii wa kiswahili mtaongea nao nini? Eng hamjui? kifupi hamna ajira Mkuu acheni kiburi njooni tusome huku!
Hongera kwa lugha sanifu kabisa. Na umefanya vyema kigusa kila pahala. Japo nachelea kusema kuna viashiria vya uharaka kataka kujibu maswala uliyoyangazia. Kana kwamba unajazba kuna kitu kimekaba roho yako. Na kwa sehemu kubwa umejingoza na habari za kweli, ingawa ni za kitambo.

Maeneo mengi uliyagusia yalikuwa ni kweli yenye sifa tajwa na Ni kweli tupu hata kea kwa muktadha ulioutumia. Lakini Kama ilivyo hakika ya asubuhi kuna mara baada ya usiku...mabadiliko pia ni swala ya lazima na uhakika. Na huja kwa wakati wake.

Umma wa Watanzania umeanza kubadilikia tangu miaka ya sitini. Na Kama waswahili wasemavyo "ndondondo si chururu" na "kawia ufike" mabadiliko yetu yameendelea kuchukua sura mpya kila kukicha, kwa miongo zaidi ya mitano sasa..Na nikuondoe mashaka ni kizazi cha 2010+ kinaona sasa mabadiliko (yaliyoanza kujengwa miaka zaidi ya hamsini iliyopita) yananyika mwili.

Rafiki kwa hoja ya umaarufu, Naomba niseme kufanya kitu kuwa maarufu duniani sio swala gumu. Kuna waliokuwa maarufu kwa mambo madogo tu na ya hovyo na Kuna ambao hawakuwa maarufu na kujulikana ila walifanya mambo makubwa sana kwa jamii ya binadamu.

Njia ya muongo Ni fupi. Yamesemwa mengi na kama jamii ya watu waliostaarabika (,ustaarabu wa kiswahili) tunajua Hilo na hakuna aliyewahi kulipiga kelele huko awali(juu ya uongo uliosemwa na mafedhuli) lakini Cha kustaajabisha hao hao mliowalaghai na habari za Mlima na kiswahili n.k. ndio wanaorudi na kujiuliza kulikoni!? Na hugundua hapa tulidanganywa mara wanapoupata ukweli.

Hata katika hili la unguli wa Kenya katika Lugha adhimu ya Kiswahili tutarudi hapa miaka michache ijayo na tutajionea mbichi na mbivu. Jeshi la wasomi wa Tanzania limekuwa na ni la watu wajuvi haswa wenye bidii kama mchwa. Na kile walichokihitaji kufanakiwa wamekwisha kukipata na kilikuwa ni "utashi" na "kujiamini" tu.

Nikuondoe shaka soma vizuri historia na utajifunza vingi. Mojawapo ikiwa ni namna mfumo wa uendeshaji wa makoloni; ulivyochangia sana tofauti zetu (&) za ki-miundombinu. Wakoloni waliijenga Kenya wakiamini ni yao, na wakawekeza haswa.

Na si kitu kibaya hasa ukizingatia tunaishi katika ulimwengu ambao mifumo ya kujitawala imesanifiwa na wao(Mabeberu); kwa maana hiyo lazima uone sisi tulioanza wenyewe kujenga kilicho cha kwetu (hybrid); we were disadvantaged.

Cha kupendeza ni kwamba, haya si ya kudumu, na ukimya wetu ni wa udadisi na kujifunza. Kelele zenu na kiburi na ufahari ndivyo vitakuwa anguko lenu.

Hatuwaombei mabaya. Lakini lazima Sasa mkubali tumesimama na tuko tayari kukimbia. Haikuwa rahisi kufanya taifa zima kubadili na kukubali lugha mpya, kujenga mfumo mpya wa kujitawala, kuanzisha mifumo ya kiulinzi na elimu; na kufanya yote hayo kwa umoja na mshikamano.

Lakini pia hatukuishia happy tukaenda mbele zaidi; tukakikuza Kiswahili na kukifanya kuwa moja ya lugha kubwa kabisa Barani Afrika na duniani. Haya ni mafaniko makubwa ambayo matunda yake hatuoni aibu kuyagawana na rafiki zetu (Kenya) Kizuri, kula na Nduguyo.

Kuhusu uchawi na ushirikina na mengine mengi nadhani tuishie kusema; hizo ni tamaduni za watu na wanao uhuru wa kujiendesha wapendavyo bila kuwadhuru wengine.

Miji yote Tanzania inakuwa kwa kasi ya kuridhika na kwa hadhi zinazoelekeana. Maana sisi ni wamoja na lazima Safari yetu twende sote na tufike sote.

Kawia!???? Ufike.

Wasalaam
 
hahah eti atachagua Kenya kusomea Kiswahili huko ambako mtu akiugua mnasema amegonjeka basi katika watu kumi ni mmoja tu ndugu yangu ....Suala la kuteka soko ni ishu ya muda , muda utaongea tu usiwe na haraka .Baadaye watu watajua tu ukweli maana uongo hupanda lift bali ukweli hupanda ngazi .

Suala la elimu bora ya madaktari duniani inafahamika India ,sasa nashangaa hizo porojo unazitoa wapi wakati Kenya kwenye ramani ya dunia haifahamiki . Na kama suala la English bora Uganda wanawazidi mbali kama unabisha ingia google utafute nchi zenye kuongea kiingereza kizuri Afrika utapewa orodha kutoka katika vyanzo vinavyoaminika. Lakini wao hawana kelele kama majirani zetu fulani
Mhaya mtu akiugua anatamka kwa kiswahili '' huyu mutu arumwa'' sabuni anaita Sambundi! sasa ni wapi utaelewa kirahisi? ukilinganisha na kugonjeka? Mkuu TZ naijua sana kuliko unavoijua weye! yaani huko tunaingia na kutoka. sema unatokea Mkoa gani nikupe data? Kuna shule Tanzania zinaongea Vilugha tupu! nazijua nimeziishi. km Kiribho, Kongore, shule za msingi .

Kuhusu soko lako!! usijidanganye Muda utaongea lini? semi za kizamani zinakumaliza, eti ''Aliyeko juu mngoje chini'', ni wa kizamani. mpandie hukohuko, mmalizane, sijui ''subira yavuta heri '' wee lini itavuta heri na mimi nina njaa?! utapata madonda ya tumbo bure, wakati unaugulia wenzako wanapiga ndefu! utawapata wapi? unajipa Moyo!

Mtaka cha uvunguni sharti ainame? unajua Muhindi alijibu vipi? ''sharti nyanyua Matanda!''

Sijui semi km ''Harakaharaka haina baraka'' ni tamathali za semi za kikoloni! ili mnyonywe vizuri!! yeye mbona ana haraka ya kwenda mwezini? Nashangaa wewe bado unazikumbatia. Kiburi chetu cha mafanikio ya ngome ya kiswahili Africa, ni sawa na gwaride la Chipukizi jeuri ya chama cha Mapinduzi,wakati uleee! ile siyo dhambi, Dua la kuku halimpati mwewe!

Jeuri/ kibri akishushwi na mtu au watu, zaidi ya Al asma al husna Lit, Allah! Subhaan Wataalh! na tunajua mbinu za kuongea naye atupandishe ngazi za mafanikio! tuna jeuri kwa Lugha yetu! Africa. TZ haina hati milki ya Kiswahili. huo ni ubinafsi uliopitiliza. km hujui Kiswahili ni Kibantu, huna uelewa, au ulisoma st Kayumba- Bongo, (kwanza nini maana ya Bantu nakuuliza) kuna maneno ktk Lugha zote Africa isipokuwa chache sana.

Mfano wa-Sotho wana maneno ya kiswahili km ''Ebwana wee!'' ''tuliza Ghwana!'' mnyongeni, ''Mughaka-(linasadifu kikurya) , Xhosa Baba wanaita Tata, wazanaki wanaita ivoivo, hapo Bongo km wewe mlivo wabinafsi na uelewa mdogo mnaona ni neno lenu! mta taka wayatamke mnavotaka nyie! kugonjeka ni neno la kikamba, linarandana na kiswahili. tuja hapo kwenu neno ''Chogo'' latumika zanzibar tu, wakuja- Mtwara na Moro, MKanja bhuro- Bukoba,

Elimu Bora tunaongelea EAC na Africa, siyo India kwa magabachori wako huko, fungua akili . neno porojo ni hoja hafifu sana iso mashiko! kuteka soko Duniani siyo kazi ndogo kijana, mtangoja sana, tumepitia mitihani mingi, Mashalah! tunauzoefu, njooni mjifunze mpige bao! hamtaki! Oooh!! sisi kenya hatujui kiswahili fasaha! tuwafanyeje sasa?

Mmepata Rais mzuri but still watanzania mna mnanga eti mara hajui Kiingereza! mara kiswahili hajui! Km mimi muongo muulize Barakoa ni nini? angalia thread humu!! ni wazi mlio wengi mna kitamani! ila uwezo! hata wewe unajifanya hamnazo tu lkn moyoni.., angalia wenzako wanavoikubali Kenya wanajibu hoja kwa ufasaha! wewe ptyuuu!

Mkuu Kujua Lugha ya Adui yako zaidi yake, ni sheria ya vita, sisi tunaenda sambamba ili asije kutuangamiza kirahisi, asikutete, si mna JKT huko wewe ulikimbia? na Watanzania mmeingizwa chaka hadharani mara kibao sababu ya ujuaji km huu,

Meridia BIAO iko wapi? DECI, Mv Buttrfly viko wapi? Bandari ya Bagamoyo, RIchmond,nk uliza wakubwa zako ilikuwaje? Mlipigwa za chembe mchana kweupeee! Bazee mkuje kenya yetu hakuna Matata! sisi hata kiswahili cha Congo. SA tunakikubali na tunakitumia, wamekubali usharika, nyie cha Kenya mnakinanga! eti mnajivunia utanzania haya bana!
 
Mhaya mtu akiugua anatamka kwa kiswahili '' huyu mutu arumwa'' sabuni anaita Sambundi! sasa ni wapi utaelewa kirahisi? ukilinganisha na kugonjeka? Mkuu TZ naijua sana kuliko unavoijua weye! yaani huko tunaingia na kutoka. sema unatokea Mkoa gani nikupe data? Kuna shule Tanzania zinaongea Vilugha tupu! nazijua nimeziishi. km Kiribho, Kongore, shule za msingi .

Kuhusu soko lako!! usijidanganye Muda utaongea lini? semi za kizamani zinakumaliza, eti ''Aliyeko juu mngoje chini'', ni wa kizamani. mpandie hukohuko, mmalizane, sijui ''subira yavuta heri '' wee lini itavuta heri na mimi nina njaa?! utapata madonda ya tumbo bure, wakati unaugulia wenzako wanapiga ndefu! utawapata wapi? unajipa Moyo!

Mtaka cha uvunguni sharti ainame? unajua Muhindi alijibu vipi? ''sharti nyanyua Matanda!''

Sijui semi km ''Harakaharaka haina baraka'' ni tamathali za semi za kikoloni! ili mnyonywe vizuri!! yeye mbona ana haraka ya kwenda mwezini? Nashangaa wewe bado unazikumbatia. Kiburi chetu cha mafanikio ya ngome ya kiswahili Africa, ni sawa na gwaride la Chipukizi jeuri ya chama cha Mapinduzi,wakati uleee! ile siyo dhambi, Dua la kuku halimpati mwewe!

Jeuri/ kibri akishushwi na mtu au watu, zaidi ya Al asma al husna Lit, Allah! Subhaan Wataalh! na tunajua mbinu za kuongea naye atupandishe ngazi za mafanikio! tuna jeuri kwa Lugha yetu! Africa. TZ haina hati milki ya Kiswahili. huo ni ubinafsi uliopitiliza. km hujui Kiswahili ni Kibantu, huna uelewa, au ulisoma st Kayumba- Bongo, (kwanza nini maana ya Bantu nakuuliza) kuna maneno ktk Lugha zote Africa isipokuwa chache sana.

Mfano wa-Sotho wana maneno ya kiswahili km ''Ebwana wee!'' ''tuliza Ghwana!'' mnyongeni, ''Mughaka-(linasadifu kikurya) , Xhosa Baba wanaita Tata, wazanaki wanaita ivoivo, hapo Bongo km wewe mlivo wabinafsi na uelewa mdogo mnaona ni neno lenu! mta taka wayatamke mnavotaka nyie! kugonjeka ni neno la kikamba, linarandana na kiswahili. tuja hapo kwenu neno ''Chogo'' latumika zanzibar tu, wakuja- Mtwara na Moro, MKanja bhuro- Bukoba,

Elimu Bora tunaongelea EAC na Africa, siyo India kwa magabachori wako huko, fungua akili . neno porojo ni hoja hafifu sana iso mashiko! kuteka soko Duniani siyo kazi ndogo kijana, mtangoja sana, tumepitia mitihani mingi, Mashalah! tunauzoefu, njooni mjifunze mpige bao! hamtaki! Oooh!! sisi kenya hatujui kiswahili fasaha! tuwafanyeje sasa?

Mmepata Rais mzuri but still watanzania mna mnanga eti mara hajui Kiingereza! mara kiswahili hajui! Km mimi muongo muulize Barakoa ni nini? angalia thread humu!! ni wazi mlio wengi mna kitamani! ila uwezo! hata wewe unajifanya hamnazo tu lkn moyoni.., angalia wenzako wanavoikubali Kenya wanajibu hoja kwa ufasaha! wewe ptyuuu!

Mkuu Kujua Lugha ya Adui yako zaidi yake, ni sheria ya vita, sisi tunaenda sambamba ili asije kutuangamiza kirahisi, asikutete, si mna JKT huko wewe ulikimbia? na Watanzania mmeingizwa chaka hadharani mara kibao sababu ya ujuaji km huu,

Meridia BIAO iko wapi? DECI, Mv Buttrfly viko wapi? Bandari ya Bagamoyo, RIchmond,nk uliza wakubwa zako ilikuwaje? Mlipigwa za chembe mchana kweupeee! Bazee mkuje kenya yetu hakuna Matata! sisi hata kiswahili cha Congo. SA tunakikubali na tunakitumia, wamekubali usharika, nyie cha Kenya mnakinanga! eti mnajivunia utanzania haya bana!
Kwa nyie majirani bwana..
Sisi hao ndio tumekuwa wabinafsi!? Unanipa burdani sana..

Sema mie nikuondoe hofu..Kama sio kizazi chako hiki Basi wanao watazamia Tanzania. Na sisi tutawakaribisha.

Nyie ni wadogo zetu. Kabisa. Na tutaendelea kuwalea na kuwausia.
 
ha kupendeza ni kwamba, haya si ya kudumu, na ukimya wetu ni wa udadisi na kujifunza. Kelele zenu na kiburi na ufahari ndivyo vitakuwa anguko lenu.
Naam hapa shekhe! umenena ukweli wewe lazima ni m-Bantu asilia, lkn usiiombee Kenya kuanguka sababu kiswahili ni Lugha ya Kibantu Africa siyo Taifa moja pekee!
 
Kwa nyie majirani bwana..
Sisi hao ndio tumekuwa wabinafsi!? Unanipa burdani sana..

Sema mie nikuondoe hofu..Kama sio kizazi chako hiki Basi wanao watazamia Tanzania. Na sisi tutawakaribisha.

Nyie ni wadogo zetu. Kabisa. Na tutaendelea kuwalea na kuwausia.
Mkuu wewe Burudika pasi na shaka! mtukaribishe mara ngapi? huko tunaingia na kutoka kila leo tangu mchonga, maprofessor walioko hapo bongo na viongozi wa kitaifa utashangaa! Kenya -wakurya, Masai, Wajita, wachaga, wapare, wapemba, wangazija nk Mkuu utachoka..

wewe tu ndiyo unachelewa! Karibu Kenya!

Ila usisahau Kiswahili ni Ki-bantu Afro-Asiatic language tangia Levant Land.
 
Naam hapa shekhe! umenena ukweli wewe lazima ni m-Bantu asilia, lkn usiiombee Kenya kuanguka sababu kiswahili ni Lugha ya Kibantu Africa siyo Taifa moja pekee!
Sisi sheikh hatuombeani ubaya.. sisi ndugu moja. Sisi ni wamoja kabisa. Sisi kaka nyie wadogo zetu(mliofanikiwa mapema)
 
Sasa wewe ulitaka nisijivunie utanzania wangu? Afu ww hujui tu jinsi tunavyomkubali Magu,, wengi sana tunamuelewa. Najua ukweli unajua kuhusu kiswahili ila hutaki kukubali , ngoja nikuimbie ule wimbo wa twist kutoka kwa mkenya mwezio ndio unakufaa kuelezea akili yako ilivyo ...." Nilikutana na mulofa mmoja..." Nyaru-sare
 
Back
Top Bottom