fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Hivi kwanini msiongee English mnayoitambia tu kuliko kuongea Kiswahili mnachotuharibia sana katika matamshi mpaka kuonekana mnatukana muda mwingine.
"NENDA KANIINGILIE"
"VENYE UKIKWENDA"
"SI UKUJE".
Nyi hata mke kwenu mnaita BIBI.
"NENDA KANIINGILIE"
"VENYE UKIKWENDA"
"SI UKUJE".
Nyi hata mke kwenu mnaita BIBI.