barnabas masoko
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 1,299
- 660
Wapo sahihi
hakuna cha kuachiwa wenyewe, ujumbe usambazwe dunia nzima kuwa Tz kuna ukandamizwaji wa demokrasia na vyombo vya habari.washughulike na ya kwao ya Tanzania watuachie wenyewe
UKUTA upogo au haupogoTulia dawa ikuingie.
Huu uenyekiti wa CCM JF kakupa nani ?Hao Wakenya ya kwao yamewashinda wanakuja na Tz washughulike na ukabila wao kwanza.
Mwnykt CCM JF
Utendaji wa Raisi Magufuli unaharibiwa na chuki na ukandamizaji mkubwa wa demokrasia kuanzia bungeni, media, mpaka kwa raia. Ngoja tuone mwisho wake. Sijui kama hayo ndo mageuzi alohubiri wakati wa kampeni
Hao Wakenya ya kwao yamewashinda wanakuja na Tz washughulike na ukabila wao kwanza.
Mwnykt CCM JF
UKUTA umefanywa na polisi nchi nzima bila wenyewe kupenda.UKUTA upogo au haupogo
Uzalendo huanzia nyumbani, kwanini mnashabikia vyombo vya nje vinavyomkebehi rais wetu ? Hii tabia kamwe haivumiliki na inakera. Rais ni wetu hata kama ni vipi acha sisi wenyewe tukosoane, na sio kushabikia watu wa nje, punguzeni ujuha
Huu uenyekiti wa CCM JF kakupa nani ?
Kwahyo kesho haupo eeeehhUKUTA umefanywa na polisi nchi nzima bila wenyewe kupenda.
Mtalaani hadi mtajilaani wenyewe ila huu ukweli wa ukandamizwaji wa demokrasia na habari ni lazima dunia ijue.Wizara ya mambo ya nchi za nje iombe maelezo toka balozi wa kenya.Na imwandikie kulaani hicho kitendo cha hilo gazeti kutudhalilishia Raisi wetu.Wakati waziri wa habari na utangazaji alifungie kukanyaga Tanzania
Wewe CHADEMA haikuhusuHuu uenyekiti wa CCM JF kakupa nani ?
tulia dawa ikuingie.Wapuuzi hao
izo choreni nyie.Mbona hawachori red eyes za kaka mkuu?
Wanaoshabikia wote wakamatwe popote walipo by IGP hahahaUzalendo huanzia nyumbani, kwanini mnashabikia vyombo vya nje vinavyomkebehi rais wetu ? Hii tabia kamwe haivumiliki na inakera. Rais ni wetu hata kama ni vipi acha sisi wenyewe tukosoane, na sio kushabikia watu wa nje, punguzeni ujuha