Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,132
Oyoooooo…
Ongea na mpiga domo wenu Nape alifungieHili gazeti lifungiwe kusambazwa Tanzania.Katika hicho kibonzo wameonyesha jina kabisa la Magufuli ni wazi.Lifungieni copy yake isije onekana Tanzania hata moja
Kwa huo uchumi wa police wa usalama barabarani brother,wa kibabe ???Huu ni ushabiki maandazi Magufuli anafanya kazi na wao washaona soon tunawapiga bao hzo ni propaganda chafu na wanajua mwaka huu Uchumi wetu utakua uko stable zaidi kuliko wao.
Uchochezi!Katika DAILY NATION ya leo huko Kenya
View attachment 390791