Wakenya hawajui Magufuli naona!

Wakenya hawajui Magufuli naona!

Wizara ya mambo ya nchi za nje iombe maelezo toka balozi wa kenya.Na imwandikie kulaani hicho kitendo cha hilo gazeti kutudhalilishia Raisi wetu.Wakati waziri wa habari na utangazaji alifungie kukanyaga Tanzania

Unapata faida gani Kwa ichi kinachoendelea nchini .? Tatizo mnapenda Sana ukweli uwe uongo Na uongo uwe ukweli., Acha ukweli ufate mkondo wake
 
1472627361425.jpg
 
Huu ni ushabiki maandazi Magufuli anafanya kazi na wao washaona soon tunawapiga bao hzo ni propaganda chafu na wanajua mwaka huu Uchumi wetu utakua uko stable zaidi kuliko wao.
Subutu!
Kesha angukia pua huyo nabiii tena mapema kweupe....
 
Nyie mnaotetemeka mpaka makamasi yanawatoka kwa woga na hofu endeleeni, siye wengine changamoto ndiyo maumbile ya mola!!
 
Hili gazeti lifungiwe kusambazwa Tanzania.Katika hicho kibonzo wameonyesha jina kabisa la Magufuli ni wazi.Lifungieni copy yake isije onekana Tanzania hata moja
Shida ya hichi chama, ukiwa kada wake tu lazima uwe na uwezo mdogo wa kufikiri, mpuuzi na mjinga Mjinga. Sasa ona kama huyu mawazo ya kijinga na kipuuzi. Huyu Napee wenu atafungia magazeti mangapi? Kwani hii ni serikali tukufu kiasi gani isikoselewe? Tumieni akili sio matumbo yenu na njaa pumbavu.
 
Hili gazeti lifungiwe kusambazwa Tanzania.Katika hicho kibonzo wameonyesha jina kabisa la Magufuli ni wazi.Lifungieni copy yake isije onekana Tanzania hata moja
Nape amekusikia alivyo mkurupukaji atazingatia, ayafungie yote ya nje tubaki na magazeti yetu pendwa ya Mzalendo na Uhuru.
 
Uzalendo huanzia nyumbani, kwanini mnashabikia vyombo vya nje vinavyomkebehi rais wetu ? Hii tabia kamwe haivumiliki na inakera. Rais ni wetu hata kama ni vipi acha sisi wenyewe tukosoane, na sio kushabikia watu wa nje, punguzeni ujuha
Hhhhaa uzalendo kazi sana kama hata kucheka usaliti
Hahaha mbuni kafukia kichwa chini akifikiri haonekani.
 
hao hao wakenya walipokuwa wanamsifia na kujiita magufuli lumumba mlitokwa na mapovu kwa kushangilia,ukishangiliwa sana jukwaani basi jiandae na kuzomewa jukwaani ndio kawaida hiyo
Point hawa wanapenda mazuri tu.
 
Huu ni ushabiki maandazi Magufuli anafanya kazi na wao washaona soon tunawapiga bao hzo ni propaganda chafu na wanajua mwaka huu Uchumi wetu utakua uko stable zaidi kuliko wao.
Mbona hamkuita ushabiki walivomsifu
 
Mimi nashangaa watu wanavyoshabikia vyombo vinavyotaka kuleta chuki. kwahyo mnataka wavichekee halaf vurugu zikitokea mseme wameshindwa kuongoza nchi
Hakuna chombo kinachoeneza chuki, bali serikali yenu ndio chanzo cha hiyo chuki. Nyie mnataka kusifiwa tu hata katika Ujinga na upuuzi wenu. Wote sio makada wenye njaa kama wew uliye jindoa ufahamu na kubaki kusifia tu kama hamna nazo vile.
 
Back
Top Bottom