Wakenya hawajui Magufuli naona!

Wakenya hawajui Magufuli naona!

SONGOKA

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
1,836
Reaction score
1,846
Katika DAILY NATION ya leo huko Kenya
upload_2016-8-31_9-42-23.png
 
Uzalendo huanzia nyumbani, kwanini mnashabikia vyombo vya nje vinavyomkebehi rais wetu ? Hii tabia kamwe haivumiliki na inakera. Rais ni wetu hata kama ni vipi acha sisi wenyewe tukosoane, na sio kushabikia watu wa nje, punguzeni ujuha
 
Hili gazeti lifungiwe kusambazwa Tanzania.Katika hicho kibonzo wameonyesha jina kabisa la Magufuli ni wazi.Lifungieni copy yake isije onekana Tanzania hata moja
Mkuu watu wanasoma magazeti online siku hizi.
 
Utendaji wa Raisi Magufuli unaharibiwa na chuki na ukandamizaji mkubwa wa demokrasia kuanzia bungeni, media, mpaka kwa raia. Ngoja tuone mwisho wake. Sijui kama hayo ndo mageuzi alohubiri wakati wa kampeni
 
Back
Top Bottom