Wakenya hawajui Magufuli naona!

Wakenya hawajui Magufuli naona!

Hakuna chombo kinachoeneza chuki, bali serikali yenu ndio chanzo cha hiyo chuki. Nyie mnataka kusifiwa tu hata katika Ujinga na upuuzi wenu. Wote sio makada wenye njaa kama wew uliye jindoa ufahamu na kubaki kusifia tu kama hamna nazo vile.
Nyie BAVICHA ndo mnakazana sana kusema serikali inaeneza chuki.Uku kitaa watu wanaipenda serikali ile mbaya hasa hili chama kubwa sahiz angaliwe mtu usoni ni KAZI TU. Nyie ndo mnajitoa ufahamu hamueleweki
 
Huwezi kuacha kuzungumzia jambo ambalo linawagusa jirani zako, watu wengi wanadhani Magufuli akiharibu au akiboresha nchi yetu, wanao athirika au kunufaika ni Watanzania peke yao, hapana!! inawagusa watu wengi ukanda mzima wa EA utaguswa kwa namna moja au nyingine, wewe unadhani Kesho Tarehe1 Sept2016 Mvututano wa Polisi na wananchi wanaodai utawala wa kisheria yakitokea mauaji Kenya haitawagusa? Uganda haitawagusa? Ndiyo maana yale yanayoendelea Burundi huwa yana madhara hata kwetu hasa changamoto zitokanazo na wakimbizi, jifunze kufikiria mbali kidogo.
Umenena vema mkuu!
 
Kwa kuwa kibonzo kimetumia lugha ya malkia hakuna shida kingekuwa cha kiswahili wangekoma
 
kuna mtu anaitwa NEPI atataka afungie na hilo gazeti kisa ni la kichochezi.hahahahha huwezi babaaa sio la nchi yako hiloo(in joti's voice)
 
...kwani si ni kweliiiiii..
Hata wa K wameshagundua mambo ya jamaa
 
Hili gazeti lifungiwe kusambazwa Tanzania.Katika hicho kibonzo wameonyesha jina kabisa la Magufuli ni wazi.Lifungieni copy yake isije onekana Tanzania hata moja

Sasa si mumwambie nape akalifungie..
 
Uzalendo huanzia nyumbani, kwanini mnashabikia vyombo vya nje vinavyomkebehi rais wetu ? Hii tabia kamwe haivumiliki na inakera. Rais ni wetu hata kama ni vipi acha sisi wenyewe tukosoane, na sio kushabikia watu wa nje, punguzeni ujuha
ukimchapa mwanao akilia kwa nguvu majirani si wanasikia!
 
Shida ya hichi chama, ukiwa kada wake tu lazima uwe na uwezo mdogo wa kufikiri, mpuuzi na mjinga Mjinga. Sasa ona kama huyu mawazo ya kijinga na kipuuzi. Huyu Napee wenu atafungia magazeti mangapi? Kwani hii ni serikali tukufu kiasi gani isikoselewe? Tumieni akili sio matumbo yenu na njaa pumbavu.
BRAVO BRO! Umeongea point muhimu sana.90% ya member wa chama tawala ni vi.laza, uwezo wa kufikiri ni mdogo....hiyo 10% ndio wenye akili za kulangua fikra za hao vi.laza.....mtu menye akili kamwe hawezi kuambatana nao.
 
Hili gazeti lifungiwe kusambazwa Tanzania.Katika hicho kibonzo wameonyesha jina kabisa la Magufuli ni wazi.Lifungieni copy yake isije onekana Tanzania hata moja
Lisije tu, kingereza hamjui sasa mtalisoma vipi?
 
Wizara ya mambo ya nchi za nje iombe maelezo toka balozi wa kenya.Na imwandikie kulaani hicho kitendo cha hilo gazeti kutudhalilishia Raisi wetu.Wakati waziri wa habari na utangazaji alifungie kukanyaga Tanzania
Kama mnaweza fungueni na ubalozi wa kenya tz.
 
Kwa maana nyingine wewe una shabikia rais wako kukashfiwa na raia wa nchi nyingine ? Hata kama baba yako ana mapungufu, wewe utashabikia unaposikia jirani yako wana mkashifu ?
Kama baba mwenyewe ananiita kilaza, hashauriki, kila siku akiamka anakurupuka na tamko jipya, vipaumbela vyake havijulikan na vinavyojulikana havitekelezeki na vinavyotekelezwa sio vipaumbele, wacha majiran wanisaidie kumkashifu maana hakuna namna, OVER!
 
Back
Top Bottom