stella1975
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 870
- 1,249
Hilo la kudanganya unalisema wewe sisi ni kuomba MUNGU aepushe ili iwe uongo maaaana hakuna anaependa kutokea majanga, na wewe inamaaana ulikuwa na nia kitokeee? Bas kutatokea huko huko kwenu sio mtwaraKwaio TMA inawezekana wametudanganya?
Niwekee link mkuuNinefuatilia comments zako bado sijaelewa mantiki yako ya kua mbishi vitu viko wazi kabisa kwenye live streams unaona kinapoelekea
.....naona kama unachukulia kejeli kwenye roho za ndugu zako walioko mtwara ..chukulia baba na mama yako wangekua mpakani huko ungekua unaandika unavyoandika sasa hivi..kwani kukaa hapo airport ni starehe au ni mojawapo ya prevention measures ..kuokoa uhai na mali bora kipi
Aamen dearUsikate tamaa katika rehma za Mwenyezimungu. Mola atawanusuru, hili litapita tu.
Poleni, Mungu atawanusuru.......Inshallah!Mkuu tupo calm. The good thing is that yale maeneno yenye high risk hakuna mtu kwa sasa na the fact kwamba Mtwara ipo unpopulated imekuwa rahisi kuleta watu maeneo ya juu. Kwa sasa upepo ni mkali na wingu zito. Inshallah
Ni kweli mkuu nipo kwenye hili anga la airport ngoja nirudi nyumbani nikajilalie vzr itakavyokuwa na iwe tu.Huku muda huu wa saaa Saba Hali ni shwali tofauti na muda wa saa tano kulitokea wingu zito na vimvua vua vya hapa na pale Lakini Kwa sasa wingu limeisha Hali inabadilika kuwa nzuri huko juu ingawa kuna matone tone ya mvua endeleee kuombea mtwara hali iiimarike zaid
Hawatakosekana wa aina hiyo ila kungekuwa Hali tete vyombo vyote vya habari vingekuwa hewani sasa jiulize ni chombo gani kiko hewani Wakati kila chombo cha habari kimeleta Mtangazaji hukuWengine wanasema mtwara hali tete,,sielewi
The danger is at your backdoor!!Mungu tu ametusaidia maana majirani wetu Comoro hali ni tete, kimbunga kimefanya uharibifu mkubwa sana. Pamoja na yote bado tunatakiwa kuchukua tahadhali.
Yaan navoona humu kuna watu wanaombea kitokee ili waone kinafananaje
kweli? Basi na wewe ukiwemoYaan navoona humu kuna watu wanaombea kitokee ili waone kinafananaje