jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Kinabeba some people's fate, si cha kukiombea kutua hata kidogo!!Duuh kwa hiyo bora tuombee kiwahi fika
Lakini ili tupone wengi kitue kikiwa weakened.
Kinabeba some people's fate, si cha kukiombea kutua hata kidogo!!Duuh kwa hiyo bora tuombee kiwahi fika
Kiko Msumbiji... Hakiji tenaIngia www.windy.com mtaona kimbunga live kinapoelekea kwa ss
WAKAZI WA MSIMBATI, MADIMBA, MAHURUNGA, KITAVA, NANGADE, KITAYA, wanaopakana na ZIWA CHIDYA, na MTO ROVUMA, MAHUTA, MASASI, MASUGURU, NANDEMBO, NANYAMBA, KITUNGULI, MNIMA, KITANGARI, NAKALALA, MBAWALA, KITAYA, MIHAMBWE,MNAVIRA, bila kusahau NEWALA .CHUKUA TAHADHARIWAKAZI WA MSIMBATI, MADIMBA, MAHURUNGA, KITAVA, NANGADE, KITAYA, wanaopakana na ZIWA CHIDYA, na MTO ROVUMA ..CHUKUA TAHADHARI
Kwa iyo tovut mbona kinaonekana bado kdg kifike masasiIngia www.windy.com mtaona kimbunga live kinapoelekea kwa ss
Hahahah
sasa si mmkusanywa kwa uoga wenu tu ,ok tangu mkusanywe kuna nini kilichotokea, hujui TMA huwa wanatabiri kama shekhe yahaya
Nice one...
Glory to God.
Ninefuatilia comments zako bado sijaelewa mantiki yako ya kua mbishi vitu viko wazi kabisa kwenye live streams unaona kinapoelekea
.....naona kama unachukulia kejeli kwenye roho za ndugu zako walioko mtwara ..chukulia baba na mama yako wangekua mpakani huko ungekua unaandika unavyoandika sasa hivi..kwani kukaa hapo airport ni starehe au ni mojawapo ya prevention measures ..kuokoa uhai na mali bora kipi
Mkuu uko baharini seriouslyMvua imekata muda si mrefu sasa upepo umeanza Kwa speed huku baharini
Mozambique inaenda kupigwa tena...WAKAZI WA MSIMBATI, MADIMBA, MAHURUNGA, KITAVA, NANGADE, KITAYA, wanaopakana na ZIWA CHIDYA, na MTO ROVUMA, MAHUTA, MASASI, MASUGURU, NANDEMBO ..CHUKUA TAHADHARIView attachment 1080779
Yaa fanya simulation peleka hadi jumatatu na jumanne wingu lote lipo mtwara mvua kubwa sana sana sanaMkuu fanya simulation ya hiyo attachmnet yako uone, hakiji lakini madhara yako mengi, upepo mkali na mvua kubwa kwa siku tatu zijazo
Kuwa mkweli ndugu... Masihara mabaya..Mvua imekata muda si mrefu sasa upepo umeanza Kwa speed huku baharini
Kweli mkuuu hili jambo si masikharaKuwa mkweli ndugu... Masihara mabaya..