Mwanangikolo
Member
- Nov 10, 2022
- 51
- 73
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakubwa naomba wale wajuzi wa mambo wanijibu hili swali mana toka nihamie mkoa wa morogoro yapata mwaka sasa hii hali uwa inanishangaza sana.
Mchana uwa unakuta hali ya hewa imetulia tu hakuna upepo wala vumbi yoyote lakini ikifika kuanzia usiku mida ya saa moja au mbili kunakuwaga na upepo mkali kweli ambao haujulikani unatoka wapi.
Nliwahi kupiga stori na jamaa ang mmoja mwenyeji wa apa akadai sometym uwa ni kinyamkera kinapita(kinyamkera ni mzimu au majini)
Sasa eti ni kweli wadau mana ata apa navyotype huu uzi kuna upepo wa hatari mpaka paa linaweza ezuliwa apa nazungumzia ni moro town mitaa ya boma road, karume, kikundi!
Mchana uwa unakuta hali ya hewa imetulia tu hakuna upepo wala vumbi yoyote lakini ikifika kuanzia usiku mida ya saa moja au mbili kunakuwaga na upepo mkali kweli ambao haujulikani unatoka wapi.
Nliwahi kupiga stori na jamaa ang mmoja mwenyeji wa apa akadai sometym uwa ni kinyamkera kinapita(kinyamkera ni mzimu au majini)
Sasa eti ni kweli wadau mana ata apa navyotype huu uzi kuna upepo wa hatari mpaka paa linaweza ezuliwa apa nazungumzia ni moro town mitaa ya boma road, karume, kikundi!