Wakazi wa Mtwara na Lindi, tupeni hali ya hewa na kile kinachojiri

Ninefuatilia comments zako bado sijaelewa mantiki yako ya kua mbishi vitu viko wazi kabisa kwenye live streams unaona kinapoelekea
.....naona kama unachukulia kejeli kwenye roho za ndugu zako walioko mtwara ..chukulia baba na mama yako wangekua mpakani huko ungekua unaandika unavyoandika sasa hivi..kwani kukaa hapo airport ni starehe au ni mojawapo ya prevention measures ..kuokoa uhai na mali bora kipi
Niwekee link mkuu
 
1556187930539245021795663176860.jpg
 
Mkuu tupo calm. The good thing is that yale maeneno yenye high risk hakuna mtu kwa sasa na the fact kwamba Mtwara ipo unpopulated imekuwa rahisi kuleta watu maeneo ya juu. Kwa sasa upepo ni mkali na wingu zito. Inshallah
Poleni, Mungu atawanusuru.......Inshallah!
 
Msijisahau kwasababu inaweza ikatokea kikafika usiku muda ambao ni mbaya zaidi, maana taarifa inaonyesha kuna hatari hadi saa tisa usiku
 
Huku muda huu wa saaa Saba Hali ni shwali tofauti na muda wa saa tano kulitokea wingu zito na vimvua vua vya hapa na pale Lakini Kwa sasa wingu limeisha Hali inabadilika kuwa nzuri huko juu ingawa kuna matone tone ya mvua endeleee kuombea mtwara hali iiimarike zaid
Ni kweli mkuu nipo kwenye hili anga la airport ngoja nirudi nyumbani nikajilalie vzr itakavyokuwa na iwe tu.
 
Mungu tu ametusaidia maana majirani wetu Comoro hali ni tete, kimbunga kimefanya uharibifu mkubwa sana. Pamoja na yote bado tunatakiwa kuchukua tahadhali.
The danger is at your backdoor!!

Yaani wewe na Al sahaf wa iraq hamtofautiani.

Be strong and stay safe!!
 
Dah ...kwa wale wenye nyumba zenye milango au madirisha ya vioo....wanaweza kugandisha gundi ya tape juu ya vioo ili kuongeza nguvu ya ukinzani kwenye vioo...pia itasaidia hata viking'oka madhara yawe madogo....ukiweka kwa mtindo wa X ni vizuri zaidi....yaani kama vile wanavyoweka kwenye nyumba zilizojengwa ndani ya hifadhi ya barabara
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom