concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 1,413
- 1,763
Newala mvua inaongezeka
AiseeNewala mvua inaongezeka
Teknolojia noma wazee, bila shaka watu wamechukua tahadhari.WAKAZI WA MSIMBATI, MADIMBA, MAHURUNGA, KITAVA, NANGADE, KITAYA, wanaopakana na ZIWA CHIDYA, na MTO ROVUMA, MAHUTA, MASASI, MASUGURU, NANDEMBO ..CHUKUA TAHADHARIView attachment 1080779
Newala mvua inaongezeka
Mtwara hali ikoje!?Hata masasi na baridi Kali
Ntwara au Mtwara......!?Ntwara majanga yenu ni makubwa makubwa tu, gas mlitandikwa kweli kweli mpaka mkakubali itoke, korosho mmerudishiwa na mliobadilishana na makaratasi pesa haijatoka, mwaka jana mlinywesha mbuzi bia mwaka huu mmeruhusiwa kupika gongo ila ipimwe, keneth huyo hapo sijui mtatokea wapi. Poleni ndugu zetu.
Kali sana ndugu??? Vipi mvua/upepo/winguHata masasi na baridi Kali
Baridi mvua yanyesha ingawa sio kubwa ni ile ya taratibu na upepo wa wastani usio na madhara tatizo haipumziki inanyesha mwanzo mwishoMtwara hali ikoje!?
Hii ndiyo ikoje mkuumhh mbona watu wameshaaanza kukitabiria kufikia hatua ya hurricane. Hili si litakuwa janga jingine
bado mmekusanywa ?Mkuu kuna vitu vya kufanyia mzaa lakini wakati wenzio wanaumia wewe unafanya mzaa nafikiri kibinadamu sio sahihi, wakati mwingine tunahitaji kuwa serious na serious issues sio kila kitu ni utani
Kutamka tu hurricane naogopamhh mbona watu wameshaaanza kukitabiria kufikia hatua ya hurricane. Hili si litakuwa janga jingine
Kina chuea mkuuKuangalia kimbunga live ingia hapa: https://www.windy.com/?-6.934,39.170,5View attachment 1080787
Jee kiwango hicho cha baridi kimewahi kushuhudiwa hapo Mtwara?Naona hapa airport mtwara baridi Kali na kuna mtu tayari amezimia
Kazimia kwa baridi au kwa kumfikiria Ken?!Naona hapa airport mtwara baridi Kali na kuna mtu tayari amezimia