jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Acha upotoshaji! Japo napenda lakini kimbunga hakijakata kona!
Acha upotoshaji! Japo napenda lakini kimbunga hakijakata kona!
mwenyewe nimeshanga sana live feed yake inaonyesha kitu kipo njianiAcha upotoshaji! Japo napenda lakini kimbunga hakijakata kona!
Viongozi wetu wanatuhimiza kuchukua tahadhari, ni jambo jema sana.Kama tulivyosikia tahadhari iliyotolewa na mamlaka ya hali ya hewa nchini hata mamlaka za hali ya hewa za kimataifa wametoa warning kuhusu kimbunga KENETH ambacho kinajikusanya na kitaipiga msumbiji na maeneo ya pwani kusini hasa Mtwara ...
Wakazi wa MTWARA na watanzania kwa ujumla tumepewa tahadhari ili tuwe salama, ila mliopo Mtwara mnaweza mkawa mnatupa updates za hicho kimbunga na hali ya hewa kwa ujumla..maana wanasema kitaanza majira ya saa tano asubuhi.
Maeneo hatarishi ...CHUNO, MISETI, MTEPWEZI, RELI, MIKINDANI, SKOYA.
View attachment 1080373
Kuna mdau katoa video hapo juu inaonesha bahari na wingu palivyoWadau hamna picha wala video?
Usikate tamaa katika rehma za Mwenyezimungu. Mola atawanusuru, hili litapita tu.Ahahahahahahah kwakweli mkuu nimesimama hapa masaa 2 na nusu bila kukaa chini nahisi kufakufa na hili baridi ndo Mungu wangu
Ni kweli kukata kona sio rahisimwenyewe nimeshanga sana live feed yake inaonyesha kitu kipo njiani
Hahahahahahaha mwamba upo GR7??? Time hii???Njoo tunywe bia GR7 wewe acha uoga
Mungu tu ametusaidia maana majirani wetu Comoro hali ni tete, kimbunga kimefanya uharibifu mkubwa sana. Pamoja na yote bado tunatakiwa kuchukua tahadhali.Kwaio TMA inawezekana wametudanganya?
Kwa jinsi ilivyo, kikichelewa kufika pwani by usiku wa leo kitaongezeka nguvu kwa speed ya upepo kufikia 200kph Idai kinaweza kuwa na nafuu!!mwenyewe nimeshanga sana live feed yake inaonyesha kitu kipo njiani
DuhSure mkuu. Hawana hata ndugu huku. nenda kwenye website Winy.com uone kinavyokuja kwa kasi nchi kavu. Kwa sasa hali imeanza kubadilika mpaka Masasi na Nachingwea. Hata BBC wameanza stream.
HahahahahahahaHiki kimbunga kama vile kiamehamia chato . Hali si shwari hivi sasa.
Duuh kwa hiyo bora tuombee kiwahi fikaKwa jinsi ilivyo, kikichelewa kufika pwani by usiku wa leo kitaongezeka nguvu kwa speed ya upepo kufikia 200kph Idai kinaweza kuwa na nafuu!!
Mungu muweza aingilie kati na kufanya muujiza ili wasioamini wapate kutubu.