Wakazi wa Mtwara na Lindi, tupeni hali ya hewa na kile kinachojiri

Ninefuatilia comments zako bado sijaelewa mantiki yako ya kua mbishi vitu viko wazi kabisa kwenye live streams unaona kinapoelekea
.....naona kama unachukulia kejeli kwenye roho za ndugu zako walioko mtwara ..chukulia baba na mama yako wangekua mpakani huko ungekua unaandika unavyoandika sasa hivi..kwani kukaa hapo airport ni starehe au ni mojawapo ya prevention measures ..kuokoa uhai na mali bora kipi
Achana nae
 
Update
IMG-20190425-WA0013.jpeg
IMG-20190425-WA0011.jpeg
 
We mjinga, tumekusanywa airport natamani ungekuwepo hapa uone. Muda mwingine mkae kimya pumbu zako. This is life we are talking. Leo Mtwara hakuna bank hakuna usafiri. Kaa kimya.
Safi sana kwa kumpa makavu kuna watu kila kitu wanachukulia masihala.
Hii kitu imeua watu huko South Africa na tumeambiwa kinaelekea upande huu halafu mtu anaropoka tu.
Mkuu nyie chukueni tahadhari hata kama hakitatokea lakini wasiwasi ndio akili, poleni sana Mungu atawasaidia.
 
Safi sana kwa kumpa makavu kuna watu kila kitu wanachukulia masihala.
Hii kitu imeua watu huko South Africa na tumeambiwa kinaelekea upande huu halafu mtu anaropoka tu.
Mkuu nyie chukueni tahadhari hata kama hakitatokea lakini wasiwasi ndio akili, poleni sana Mungu atawasaidia.
Mkuu tupo calm. The good thing is that yale maeneno yenye high risk hakuna mtu kwa sasa na the fact kwamba Mtwara ipo unpopulated imekuwa rahisi kuleta watu maeneo ya juu. Kwa sasa upepo ni mkali na wingu zito. Inshallah
 
Fomboni ndugu zangu sijui watu watakuwa na hali gani ni Mungu tu awatangulie na waepushe na kila janga
 
nipo mtwara hapa hali ni swari kuliko siku zote wala hakuna ndalili yoyote .
kwa wanaoamini hakutakua na kimbunga wala upepo ila ni propaganda tu za watu wa hali ya hewa wakishirikiana na wahazini wa kamati za maafa gonga like
Mpuuzi. Kilometres 90 kwa saa ni mchezo?
Screenshot_20190425-120103_AccuWeather.jpeg
 
Mkuu tupo calm. The good thing is that yale maeneno yenye high risk hakuna mtu kwa sasa na the fact kwamba Mtwara ipo unpopulated imekuwa rahisi kuleta watu maeneo ya juu. Kwa sasa upepo ni mkali na wingu zito. Inshallah
Hilo ndo la muhimu
 
We mjinga, tumekusanywa airport natamani ungekuwepo hapa uone. Muda mwingine mkae kimya pumbu zako. This is life we are talking. Leo Mtwara hakuna bank hakuna usafiri. Kaa kimya.
Ahahahahahahah kwakweli mkuu nimesimama hapa masaa 2 na nusu bila kukaa chini nahisi kufakufa na hili baridi ndo Mungu wangu
 
Back
Top Bottom