CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
Najua watu wengi sana hutumia internet katika mishe za hapa na pale,binafsi ni wale watu wanaoishi mjini kwa kutegemea internet kwa sana, pamoja na mengine ninayofanya ila nina mengi makubwa nayafanya kupitia internet.
Nimeshatumia internet mbali mbali za makampuni makubwa na madogo, na baadhi ya kampuni nilizowahi tumia nilishazitoleaga ufafanuzi kwenye thread yangu 1👇
Kama ilivyo kawaida yangu huwa sipendi kukaa na kitu au kutumia kitu kizuri peke yangu huwa napenda shirikisha watu yale mazuri ambayo naona yatawavusha kutoka sehemu 1 kwenda sehemu nyingine.
Makampuni makubwa mengi niliyotumia hayaunganishi hii huduma kwa watu walio majumbani,ila hata majumbani kuna wahitaji wengi sana wa internet.
Nimepata solution kwa wakazi wa DAR baada ya sakanya sakanya nimepata utatuzi,kwa yeyote anaehitaji internet (UNLIMITED) akaribie PM tuelekezane namna ya kupata hiyo huduma.
Survey ni bure kuja kutembelea eneo ulipo ili kuona na kujua mahitaji gani yatahitajika ili upate huduma,huduma hii ni popote kwa wakazi wa DAR.
Gharama sio kubwa inategemea tu na mahitaji ya vifaa vitakavyohitajika kufikisha mtandao eneo lako. Ndio mana survey ni muhimu (na ni bure).
Malipo ya mwezi ni 150,000 (hizi ni daily monthly cost) tofauti na zile cost za material za mwanzo,hizi 150k ndio gharama ya net kila mwezi.
Kwa maulizo yote tuulizane kwenye comment PM akaribie anae hitaji huduma,Hela ni mwisho wa mwezi,Ukiungwa internet Leo utatumia mpk mwisho wa mwezi ndio utalipia 150k.
Haina janja janja wala unga unga hela yako baki nayo mfukoni kula maisha ikifika mwisho wa mwezi unalipa,Simple and Easy.
Speed ni uhakika unapata Above 5Mbps,zilizo nyooka zisizo na longo longo,streaming ndio kbsa,wale wazee wa movie downloading kama bwana Movies Store wanaelewa nini namaanisha.
Karibuni wote.
OFA
Kwa atakaeweza niletea wateja wa 5, sio lazima wewe uwe mteja ukiweza nitafutia wateja wa 5 Nakupa Offer ya kuku unganisha na internet Free popote utakapokua ndani ya DAR, hutochajiwa gharama za instalation wala vifaaa,itakua free. PLUS 1 month Free na sio lazima wateja wa 5 at a time,hata ukileta kila baada ya miezi mteja m1 nakuhesabia,wakifika wa 5 Unapata OFA yako (kwa wahitaji tu lakini).
Nimeshatumia internet mbali mbali za makampuni makubwa na madogo, na baadhi ya kampuni nilizowahi tumia nilishazitoleaga ufafanuzi kwenye thread yangu 1👇
Watumiaji wenye matumizi makubwa ya Internet nawaomba kidogo/Heavy Internet users
Ni katika kuelimishana tu na kushtuana kama ilivyokua kipindi kile wakati nikijiona mjanja kulipia DSTV package na kupata vitu vizuri kumbe kuna wajanja wanakula channel zangu za DSTV kwa kutumia huduma za cable, FTA DISH, nk nk. Baada ya kusanuka nikaingia ulimwengu ule nilijishangaa sana kwa...
www.jamiiforums.com
Kama ilivyo kawaida yangu huwa sipendi kukaa na kitu au kutumia kitu kizuri peke yangu huwa napenda shirikisha watu yale mazuri ambayo naona yatawavusha kutoka sehemu 1 kwenda sehemu nyingine.
Makampuni makubwa mengi niliyotumia hayaunganishi hii huduma kwa watu walio majumbani,ila hata majumbani kuna wahitaji wengi sana wa internet.
Nimepata solution kwa wakazi wa DAR baada ya sakanya sakanya nimepata utatuzi,kwa yeyote anaehitaji internet (UNLIMITED) akaribie PM tuelekezane namna ya kupata hiyo huduma.
Survey ni bure kuja kutembelea eneo ulipo ili kuona na kujua mahitaji gani yatahitajika ili upate huduma,huduma hii ni popote kwa wakazi wa DAR.
Gharama sio kubwa inategemea tu na mahitaji ya vifaa vitakavyohitajika kufikisha mtandao eneo lako. Ndio mana survey ni muhimu (na ni bure).
Malipo ya mwezi ni 150,000 (hizi ni daily monthly cost) tofauti na zile cost za material za mwanzo,hizi 150k ndio gharama ya net kila mwezi.
Kwa maulizo yote tuulizane kwenye comment PM akaribie anae hitaji huduma,Hela ni mwisho wa mwezi,Ukiungwa internet Leo utatumia mpk mwisho wa mwezi ndio utalipia 150k.
Haina janja janja wala unga unga hela yako baki nayo mfukoni kula maisha ikifika mwisho wa mwezi unalipa,Simple and Easy.
Speed ni uhakika unapata Above 5Mbps,zilizo nyooka zisizo na longo longo,streaming ndio kbsa,wale wazee wa movie downloading kama bwana Movies Store wanaelewa nini namaanisha.
Karibuni wote.
OFA
Kwa atakaeweza niletea wateja wa 5, sio lazima wewe uwe mteja ukiweza nitafutia wateja wa 5 Nakupa Offer ya kuku unganisha na internet Free popote utakapokua ndani ya DAR, hutochajiwa gharama za instalation wala vifaaa,itakua free. PLUS 1 month Free na sio lazima wateja wa 5 at a time,hata ukileta kila baada ya miezi mteja m1 nakuhesabia,wakifika wa 5 Unapata OFA yako (kwa wahitaji tu lakini).