Wakati wa mimi kusema umefika

Watu mnamtukana Mama zenu na Dada zenu na wake zenu kwa kudhani kuwa Mnamtukana Deus F Mallya. Poleni sana
Mkuu Wewe Usiogope, kuwa na tabia za kike sio kutukana, wanawake ni mama zetu, dada zetu na wake zetu, kwao hizo tabia za kike ni sifa za mwanamke!, tatizo ni jianadume zima, linapoibuka na tabia za kike kike, kutishia watu nyau, kwa mtindo wa niseme nsiseme!, mwanamume ukiamua kusema, unasema sio umeamua kusema, unasema mtasema na mwisho wa siku hausemi chochote!.

Thanks.

Pascal.
 

KUNA HOJA GANI HAPA ? HUYU ALINASWA AKIRUBUNIWA NA DIALLO ( KUMBUKA KWAMBA NI AIBU SANA MTOTO WA KIUME KURUBUNIWA ) ana LIPI ?
 
who was behind the assassination of chacha Wangwe Deus F Mallya ?kuepuka maswali mengi nakuomba ungesimulia ilikuaje siku hiyo ya tukio then baada ya hapo tuanze kuuliza maswali(ushauri tu)
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Arafat, naona umeandika kwa uchungu mkubwa na pole sana kwa hilo.
Hapo kwenye red wengine wanasema ni moshi wa 'kibatari' ndio umeharibu akili za Watz!
 
Tena huu ndio muda muafaka Mkuu,, we sema tuu! Manake Mbowe anahitaji mwenye ubavu wa kupambana nae!!
Tupe sisi hizi taarifa tuone kama atakuwa na jeuri tena.....
 
ukiua usimtazame mhanga machoni, lazima atakuwewesua uanze kuropoka tu.
 

Mkuu Pasco kimantic tayari amesha divulge,hofu yangu wasije wakamu eliminate tu,ameshafika kwenye no turning point
,mwisho kabisa nadiliki kusema mtandao wa Zitto kabwe chadema iwapo atafukuzwa rasmi utakitafuna sana chama kumbuka alisema hivi "Chacha died i wont"-The guy(zitto) seems to know the tragedy too
 

Nilidhani umesema kumbe hata hujasema. Tunasubiri useme

 
Ngedere wa Ufipa miti yote leo inateleza
 
Ben Saanane kuja hapa. kuna mtu anahitaji kulishwa ile sumu ya zitto.
 
Sina imani na Mallya huyu Kama ni Kweli ndo Mallya aliehusika na ajali ile!!
 
Kuna siku nilimshuhudia yule kijana Habib Mchange akifoka kwenye TV kwa kujiamini kweli kweli. Siku hiyo alikuwepo Mnyika na kipindi kikiendeshwa na Mzee Angalieni Mpendu kupitia Star TV. Mchange alinena maneno mazito, nikawa najiuliza huyu mtoto ananena haya ana ushahidi.

Japo sijajua Mallya atasema nini, lakini hili la kugusia kwamba amekuwa akitishwa na kuambiwa akae kimya na watoa vitisho ni wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa CHADEMA limenifanya nikumbeke ufokaji wa Mchange.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…