Bukondamoyo
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 458
- 490
We maji ya gundu lazma uachwe weweAisee naomba Mungu yasinikute maana huyu mtu nampenda adi najichukia
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
We maji ya gundu lazma uachwe weweAisee naomba Mungu yasinikute maana huyu mtu nampenda adi najichukia
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Vitoto vya chuo ni changamoto sanaa mkuu
Duuuh!ila wanawake akili zao wanazijua wenyew,huenda yy ndo alikuwa nao ila anahamishia kwako ili uonekane hujatulia kumbe yy ndo kashndwa kukitulizaEt wangu kapima PID af kasema nimemuambukiza kanipiga kibut mi kwenda kupima ugonjwa wowote wa zinaa....Wik ya pil sasa nimeuchuna tu
Kabisa kabisa.V
Vitoto vya chuo ni changamoto sanaa mkuu
[emoji38][emoji1787][emoji1787]nilikuta vidonge vya arv kwenye mkoba wake nilipo hoji majimu niriyo pewa adi nilichanganyikiwa
jiongezee mkuu,tayar kimeumana" Baby naomba tusitishe mawasiliano hadi mfungo Wa ramadhan uishe sababu Wewe sio mchumba wangu" wadau nahisi hapa sina changu
Wa pili mkuu
HahahhaahahNaamka tu asubuhi nakutana na sms "mpenzi nimeota unanicheat ati ni kweli..?"
Nikajibu mi sijui! Hapohapo nikaambiwa andelea na kutokujua kwako kwaheri! Kupiga nakuta nimeshablokiwa.
Mambo..?Hahahhaahah
Hivi hivyo vidonge huwa vinaandikwa ARV au huwa mnavijuaje?nilikuta vidonge vya arv kwenye mkoba wake nilipo hoji majimu niriyo pewa adi nilichanganyikiwa
Poa pole bwana kwa yaliyokukutaMambo..?
Ahsante mbona yananikuta mengi Hadi ya kung'atwa! Tuachane na hayo.. nataka nijipindue kwake ktk namna ya mbiringito tambarajika! Wasemaje..?Poa pole bwana kwa yaliyokukuta
Ya kung'atwa kama nilishawahi kuisoma hahhahahahhAhsante mbona yananikuta mengi Hadi ya kung'atwa! Tuachane na hayo.. nataka nijipindue kwake ktk namna ya mbiringito tambarajika! Wasemaje..?
Si ndo mlivyo!Ya kung'atwa kama nilishawahi kuisoma hahhahahahh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sababu gani tena zaidi niliambiwa na bonge la kipara la uzee wakati kijana mdogo Kama chungu kipya,pia eti mi mweusi Kama pampu halafu na bonge la mavigimbi na mguu Kama koleo.Vyote hivyo nikijiangalia ni sawa ila aliongeza chumvi.