- Thread starter
- #21
siyo kwa taifa letu la tanzania lenye mazuzu wengiKuna haja ya kufanya uwekezaji mkubwa sana kwenye mpira..
siyo kwa taifa letu la tanzania lenye mazuzu wengiKuna haja ya kufanya uwekezaji mkubwa sana kwenye mpira..
eti mwijaku, baba levo na joti ndiyo wahamasishe ili taifa stars ishinde na ifike mbaliBaada ya kufanya uwekezaji kwenye soka tunaleta siasa ya hamasa aisee...
Mkuu hao ndio opponent wazuri zaidi ya Morocco kumbuka ya 4-0 pia ukanda wetu tunafahamianaNa utashangaa Zambia au Congo kutufunga magoli mengi, maana tumewadharau.
Hakuna namnaccm, rais samia na serikali yake watawajibika
Wamefanya kitu cha kijinga sana kwa sababu pia mpira unaongozwa na mtu asiejua mpira kabisaa..eti mwijaku, baba levo na joti ndiyo wahamasishe ili taifa stars ishinde na ifike mbali
Umesahau kuwa huwa analipia/ananunua magoli ya simba & yanga. Hilo wazo litatoka wapi mkuu????Ningekuwa Rais wa Tanzania Leo.Ningeamru Taifa stars kurudi Nyumbani haraka na budget yake ningeenda kucheka Zahanati moja nzuri kijijini kuweka kumbukumbu vizuri.Huko tunapoteza muda na pesa
Tuhesabu hivi 2,1&3Wanaoharibu mpira wa Tanzania ni watu watatu:
1. Wanasiasa wa ccm.
2. Rais Samia Suluhu Hassan
3. Simba na Yanga
Siku wakiondoka hao ndio Tanzania watacheza mpira lakini kwa sasa tuendelee na utamaduni wetu wa kuchagua timu za nje za kushangilia.
kitu inatufanyaga wa tz tusifike mbali ni kuji undermine kiasi kwamba sikuzote ata achukuliwe mtoto mdogo hatujawai jiamini sasa kama hujiamini wewe shabiki, je wachezaji ndo watajiamini? tunaitaji kujikomboa kifikira b4 matokeoKichwa cha mwendawaziimu ni kipi? Ni kile kichwa kinachoamini Starz inaweza kumfunga Zambia na Congo.