Wakati Polepole anaendelea na destruction na character assassination, Anapaswa kuwepo mtu mwingine wa kuchochea uasi wa Umma (Civil disobedience)

Wakati Polepole anaendelea na destruction na character assassination, Anapaswa kuwepo mtu mwingine wa kuchochea uasi wa Umma (Civil disobedience)

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
804
Reaction score
2,059
Wakati huu moto unaendelea kuwaka inatakiwa aibuke mtu mmoja mwenye kauli za kuchochea kama vile Lema, Lusinde, Lissu, marehemu Ndugai, Askofu Gwajima n.k

Mtu ambaye yeye kazi yake itakuwa ni kuwasimanga na kuwapachika majina mabaya viherere wote wa CCM mtandao (Wananchi wajinga) kuwashambulia Watanzania kwa ujinga wao wa kutokufuatilia siasa huku wanaibiwa.

Aidha atahamasisha umma kususia kampeni za CCM na kuishambulia misafara yote ya machawa ikibidi kugomea huduma na biashara zote za mafisadi
 
Wakati huu moto unaendelea kuwaka inatakiwa aibuke mtu mmoja mwenye kauli za kuchochea kama vile Lema, Lusinde, Lissu, marehemu Ndugai, Askofu Gwajima n.k

Mtu ambaye yeye kazi yake itakuwa ni kuwasimanga na kuwapachika majina mabaya viherere wote wa CCM mtandao (Wananchi wajinga) kuwashambulia Watanzania kwa ujinga wao wa kutokufuatilia siasa huku wanaibiwa.

Aidha atahamasisha umma kususia kampeni za CCM na kuishambulia misafara yote ya machawa ikibidi kugomea huduma na biashara zote za mafisadi
kwa watz hawa
 
Wakati huu moto unaendelea kuwaka inatakiwa aibuke mtu mmoja mwenye kauli za kuchochea kama vile Lema, Lusinde, Lissu, marehemu Ndugai, Askofu Gwajima n.k

Mtu ambaye yeye kazi yake itakuwa ni kuwasimanga na kuwapachika majina mabaya viherere wote wa CCM mtandao (Wananchi wajinga) kuwashambulia Watanzania kwa ujinga wao wa kutokufuatilia siasa huku wanaibiwa.

Aidha atahamasisha umma kususia kampeni za CCM na kuishambulia misafara yote ya machawa ikibidi kugomea huduma na biashara zote za mafisadi
IMG-20250830-WA0002.jpg
 
Wakati huu moto unaendelea kuwaka inatakiwa aibuke mtu mmoja mwenye kauli za kuchochea kama vile Lema, Lusinde, Lissu, marehemu Ndugai, Askofu Gwajima n.k

Mtu ambaye yeye kazi yake itakuwa ni kuwasimanga na kuwapachika majina mabaya viherere wote wa CCM mtandao (Wananchi wajinga) kuwashambulia Watanzania kwa ujinga wao wa kutokufuatilia siasa huku wanaibiwa.

Aidha atahamasisha umma kususia kampeni za CCM na kuishambulia misafara yote ya machawa ikibidi kugomea huduma na biashara zote za mafisadi
Mkuu uko sahihi, ila ili kutoleta mazara kwa raia hii vita ifanyike mitandaoni kabisa manake kinachatakiwa ni kuwaondoa wananchi kwenye zile fikra mgando na propaganda za kichawa

Mitandao now days ina nguvu sana na ukizingatia kadri siku zinavyo enendelea kila familia iataenda kuwa na simu janja na hata kama hawana taarifa huwa zina wafikia

Mfano mzuri angalia Mwananchi Forum imeanzishwa just two week a go, ila ona ilivyo na follower wa kutosha kwa kipindi kifupi
 
Wakati huu moto unaendelea kuwaka inatakiwa aibuke mtu mmoja mwenye kauli za kuchochea kama vile Lema, Lusinde, Lissu, marehemu Ndugai, Askofu Gwajima n.k

Mtu ambaye yeye kazi yake itakuwa ni kuwasimanga na kuwapachika majina mabaya viherere wote wa CCM mtandao (Wananchi wajinga) kuwashambulia Watanzania kwa ujinga wao wa kutokufuatilia siasa huku wanaibiwa.

Aidha atahamasisha umma kususia kampeni za CCM na kuishambulia misafara yote ya machawa ikibidi kugomea huduma na biashara zote za mafisadi
Mke wa Jiwe anastahili hiyo nafasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom