2025 sio mbali, subiri utashuhudia.Mungu alisikia kilio cha watu ndio maana kamleta Rais anawaza hata kutupatia Katiba mpya maana tunaweza kuja kupata kichaa..
Nyerere aliwahi onya hatukumsikia.
1.Alisema Katiba ya Tzn inampa madaraka makubwa Rais na kumfanya awe dikteta,tukipata kiongozi kichaa tutajuta.
2.Alionya kutoa Rais kutoka makabila makubwa,pamoja na kwamba yule bwana alikuwa mrudi ila amelelewa na kabila kubwa la kisukuma alilokuwa akijinasibu nalo..
Tuombe hili liwezekane 👇
View attachment 2189161