Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,712
- 36,171
UPUMBAVU ni hali ya mtu au watu waliopata elimu lakini wameshindwa kuitumia kujikomboa wao wenyewe au kuikomboa jamii yao katika adha , dhiki, shida au aina yoyote ya mkwamo.
MPUMBAVU, ni mtu alitebahatika kupata elimu lakini kwa makusudi kabisa au kwa kutokujua hawezi kuitumia elimu yake kuikomboa jamii yake au hawezi kujikomboa kutoka katika mkwamo wa kifikra, kiuchumi n.k.
Kama Mkurugenzi ambaye ni mtumishi wa umma na hajafungamana na chama chochote anakubali kuacha ofisi na kuhudhuria mkutano wa katibu mwenezi wa chama Ili akaulizwe maswali ya kuabishwa, je, huyo Mkurugenzi hapaswi kuitwa mpumbavu?
Kama Mkurugenzi anakuwa mpumbavu je watumishi wa chini yake ambao kawaajiri wataondokana na upumbavu?
Kimamlaka Mkurugenzi wa wilaya ndiye mwajiri wa watumishi katibu wote wa Halmashauri ya wilaya husika.
Akija katibu mwenezi wa chama Mkurugenzi na maafisa wa wilaya wote wanaacha ofisi kwenda kujibu maswali ya katibu mwenezi.
Kama nchi hili jambo halitoshi kuthibitisha kuwa wasomi na viongozi ni wapumbavu?
MPUMBAVU, ni mtu alitebahatika kupata elimu lakini kwa makusudi kabisa au kwa kutokujua hawezi kuitumia elimu yake kuikomboa jamii yake au hawezi kujikomboa kutoka katika mkwamo wa kifikra, kiuchumi n.k.
Kama Mkurugenzi ambaye ni mtumishi wa umma na hajafungamana na chama chochote anakubali kuacha ofisi na kuhudhuria mkutano wa katibu mwenezi wa chama Ili akaulizwe maswali ya kuabishwa, je, huyo Mkurugenzi hapaswi kuitwa mpumbavu?
Kama Mkurugenzi anakuwa mpumbavu je watumishi wa chini yake ambao kawaajiri wataondokana na upumbavu?
Kimamlaka Mkurugenzi wa wilaya ndiye mwajiri wa watumishi katibu wote wa Halmashauri ya wilaya husika.
Akija katibu mwenezi wa chama Mkurugenzi na maafisa wa wilaya wote wanaacha ofisi kwenda kujibu maswali ya katibu mwenezi.
Kama nchi hili jambo halitoshi kuthibitisha kuwa wasomi na viongozi ni wapumbavu?