Kuna wakati taifa letu lilipitia uvuli na mabonde ya kifo.
Hebu fikilia ndani ya ardhi ya Tanzania ilifikia mahali mtu akiota ndoto akiieleza mbele ya umma ikiwa kinyume na watawala unashikwa na kushitakiwa na mapolisi.
Hivi kweli tulifikia hatua ya kuzuia watu wasiote ndoto? Je ni sheria ipi katika aridhi ya Tanzania ilikataza mtu kuota aina fulani ya ndoto?
Kama Ile ya Godbless Lema.
Katika aridhi ya nchi yetu ilifikia mahali fulani ukihoji elimu ya mtu unashughulikiwa.
Hivi mtu akihoji elimu yako na unauhakika uliipata kwa njia halali si unamjibu tu na uthibitisho Unatoa kama ni certificate Unatoa au publication Unatoa mbona simple tu.
Na kama uko busy sana unaagiza wasaidizi wako wanatoa majibu kwa niaba yako na unawapa vithibitisho.
Lakini wakati huo hili nalo watu waliamua kutumia nguvu unamshughulikia mtu.
Je, ni kosa kuhoji elimu ya mtu ambaye ni mtumishi wa umma katika aridhi ya Tanzania?
Mungu yupo na kisasi ni juu yake "Ole wao waliofanya unyama huu uliopitiliza Mungu atalipa kisasi."
Hebu fikilia ndani ya ardhi ya Tanzania ilifikia mahali mtu akiota ndoto akiieleza mbele ya umma ikiwa kinyume na watawala unashikwa na kushitakiwa na mapolisi.
Hivi kweli tulifikia hatua ya kuzuia watu wasiote ndoto? Je ni sheria ipi katika aridhi ya Tanzania ilikataza mtu kuota aina fulani ya ndoto?
Kama Ile ya Godbless Lema.
Katika aridhi ya nchi yetu ilifikia mahali fulani ukihoji elimu ya mtu unashughulikiwa.
Hivi mtu akihoji elimu yako na unauhakika uliipata kwa njia halali si unamjibu tu na uthibitisho Unatoa kama ni certificate Unatoa au publication Unatoa mbona simple tu.
Na kama uko busy sana unaagiza wasaidizi wako wanatoa majibu kwa niaba yako na unawapa vithibitisho.
Lakini wakati huo hili nalo watu waliamua kutumia nguvu unamshughulikia mtu.
Je, ni kosa kuhoji elimu ya mtu ambaye ni mtumishi wa umma katika aridhi ya Tanzania?
Mungu yupo na kisasi ni juu yake "Ole wao waliofanya unyama huu uliopitiliza Mungu atalipa kisasi."