Ngoja MagonjwaMtambuka aje
JPM ukurasa wake umeshafungwa, naona bado mzimu uñakutembelea na kukufanya uweweseke.Ni hapo hapo Chato. Aliwajengea uwanja wa ndege ambazo hata nauli hawana, bado wanatumia punda. Pia baada ya kuwajengea uwanja huo, watoto wa wana chato wanaknya vichakani.
Kalemani atupishe, tangu JPM aondoke,hakuna alilofanya
View attachment 2903903
Muache Magufuli, hangaika na jimamaNi hapo hapo Chato. Aliwajengea uwanja wa ndege ambazo hata nauli hawana, bado wanatumia punda. Pia baada ya kuwajengea uwanja huo, watoto wa wana chato wanaknya vichakani.
Kalemani atupishe, tangu JPM aondoke,hakuna alilofanya
View attachment 2903903
Jpm alipeleka maendeleo Chato kwa lazima wakati watu wa kule baado sana kuhusu maendeleo kama uwanja wa ndege, mabenki, nk, vyoo tu ni shida ndio hayo mengine.Wewe ni Mwendawazimu! Kwahiyo chato hakuna watu wanaishi? Chato haiko Tanzania? Weee utakuwa ni CHADEMA!
Wewe ndiye mwendawazimu tena punguwaniWewe ni Mwendawazimu! Kwahiyo chato hakuna watu wanaishi? Chato haiko Tanzania? Weee utakuwa ni CHADEMA!
Chato haikustahili kuwa na uwanja wwenye runway ya kimataifa bali ulistahili kuwa na kiwanja kama cha Musoma au Tanga au Bukoba.Wewe ni Mwendawazimu! Kwahiyo chato hakuna watu wanaishi? Chato haiko Tanzania? Weee utakuwa ni CHADEMA!
Wewe ni Mwendawazimu! Kwahiyo chato hakuna watu wanaishi? Chato haiko Tanzania? Weee utakuwa ni CHADEMA!