Wakati Halima Mdee na wenzake wakipewa majina ya kutisha na kutukanwa hatukusikia taasisi wala kikundi kukemea!

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
14,939
17,400
Wabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.

Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.

Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.

je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
 
Wabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.

Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.

Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.

je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
Mdee ni mwanamke? Ongea vizuri na Esther kisha ulete mrejesho hapa jukwaani.
 
Wabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.

Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.

Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.

je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
Chizi katika ubora wako, Bashite ni Bashite tu
 
mkuu ki msingi hata hawa JF wenyewe ni kama tu hao UWT, LH nini sijui yani kama wanakua hawaoni mazuri 90, ya mtu af alikiseme jamaa sio matusi, afu ukianglia siku kadhaa za bwana mkubwa tundulisu juu ya kauli zake za kiduanzi kumhusu president aisee wapo kimyaaaa ka hawaoni wala hawasikii, sio UWT, JF, WALA HAO LHRC ila Habari za kinafiki sasa wanavozipost mara nne kila moja na ID yake mpka najisemea kwani vipi mbona kaa tunajazana chuki na vitu vya kijinga jinga tu......
Hahahah unasema vitu vya kijinga wakati mjinga namba moja ni wewe
 
Wabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.

Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.

Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.

je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
Kwa hiyo, what do you want to prove? Kwamba A kaiba hakukamatwa na B ameiba kwa nini akamatwe? C kabaka mtoto hakukamatwa na D naye kabaka, kwa nini akamatwe? Na je ni kwa kiasi gani uko update na taarifa zinazotolewa na hawa wanaharakati wa haki za binadamu kupitia taarifa kwa vyombo vya habari, ripoti zao na hata kwenye makongamano wanayoshiriki? Je, wewe ungedhalilishwa ungependa kati ya watu walioshuhudia au aliyesikia habari zako wakae kimya? Au unasema haya kwa sababu hujadhalilishwa wewe?
 
Kwa hiyo, what do you want to prove? Kwamba A kaiba hakukamatwa na B ameiba kwa nini akamatwe? C kabaka mtoto hakukamatwa na D naye kabaka, kwa nini akamatwe? Na je ni kwa kiasi gani uko update na taarifa zinazotolewa na hawa wanaharakati wa haki za binadamu kupitia taarifa kwa vyombo vya habari, ripoti zao na hata kwenye makongamano wanayoshiriki? Je, wewe ungedhalilishwa ungependa kati ya watu walioshuhudia au aliyesikia habari zako wakae kimya? Au unasema haya kwa sababu hujadhalilishwa wewe?
Hao haki za binadamu wapo kisiasa hawana lolote la maana kifupi ni kikundi cha wahuni fulani!
 
Back
Top Bottom