johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Akichangia hotuba ya sheria ya bajeti mbunge Magdalena Sakaya amemtaka Waziri wa Utalii na maliasili Dkt. Kigwangalla kushughulikia suala la mishahara ya watumishi wa Tanapa kwa dharura.
Sakaya amesema wafanyakazi wa Tanapa hawajalipwa mishahara kwa miezi miwili hivyo ni vema waziri Dkt. Kigwangalla akaacha legacy kwa kutatua suala hilo kabla hajastaafu hivi karibuni.
Maendeleo hayana vyama!
Sakaya amesema wafanyakazi wa Tanapa hawajalipwa mishahara kwa miezi miwili hivyo ni vema waziri Dkt. Kigwangalla akaacha legacy kwa kutatua suala hilo kabla hajastaafu hivi karibuni.
Maendeleo hayana vyama!