Anonymous
Senior Member
- Feb 3, 2006
- 125
- 321
WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA VIUADUDU WA KUTOKOMEZA VILUILUI WA MBU, WALALAMIKA KUKOSA MISHAHARA KWA TAKRIBANI MIEZI MITANO SASA.
Wafanyakazi wa Kiwanda cha kutengenze viuadudu(biolarvicide) kwa ajili ya kuangamiza viluilui wa mbu kilichopo Kibaha mkoani Pwani na kinachomilikiwa na serikali kwa 100% chini ya shirika la maendeleo la Taifa (NDC) Wamelalamika kwamba hawajalipwa mishahara kwa takribani miez 5 sasa hali inayopelekea baadhi ya wafanyakazi (Wataalam) ikiwemo wa kigeni kutoka nchini Cuba kuanza kuondoka
Wamedai Suala hili la kukosa mishahara limekuwa likijirudia kila mara kwa kiwanda hiki kutokana na usimamizi usioridhisha kutoka shirika mama ambalo ni NDC kwani ndo waliopewa dhamana ya kusimamia kiwanda hiki.
Wameiomba Serikali kuingilia kati kwani maagizo na maelekezo ambayo yamekuwa yakitolewa na viongozi wakubwa (Rais na Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ambao kwa nyakati tofauti walipotembelea kiwandani hapo) hayatekelezwi na waliopewa dhamana hiyo.
Wamedai Wafanyakazi wapo katika hali mbaya kimaisha.
Wafanyakazi wa Kiwanda cha kutengenze viuadudu(biolarvicide) kwa ajili ya kuangamiza viluilui wa mbu kilichopo Kibaha mkoani Pwani na kinachomilikiwa na serikali kwa 100% chini ya shirika la maendeleo la Taifa (NDC) Wamelalamika kwamba hawajalipwa mishahara kwa takribani miez 5 sasa hali inayopelekea baadhi ya wafanyakazi (Wataalam) ikiwemo wa kigeni kutoka nchini Cuba kuanza kuondoka
Wamedai Suala hili la kukosa mishahara limekuwa likijirudia kila mara kwa kiwanda hiki kutokana na usimamizi usioridhisha kutoka shirika mama ambalo ni NDC kwani ndo waliopewa dhamana ya kusimamia kiwanda hiki.
Wameiomba Serikali kuingilia kati kwani maagizo na maelekezo ambayo yamekuwa yakitolewa na viongozi wakubwa (Rais na Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ambao kwa nyakati tofauti walipotembelea kiwandani hapo) hayatekelezwi na waliopewa dhamana hiyo.
Wamedai Wafanyakazi wapo katika hali mbaya kimaisha.