- Thread starter
- #201
wewe unatongozwa online na wanaume wasiokujuaKwa taarifa yako sikuwa na wasiwasi na maisha till now, kama kusoma nimesoma na nina elimu ya kutosha na utashi pia ninao, na ndiyo maana nakwambia wewe kuolewa kwa tabia yako hiyo labda Yesu arudi, au uolewe na mjane aliyefiwa mkewe , sasa hana pa kukosha rungu lake, other wise big NOOOOOOOOOOO!!! kwa expirience niliyonayo ya wadada kama nyie.
hamuuziki kirahisi ndio maana mmeona mung'ang'ania waume manake mnahofu mkiwakosa hamtapata tena
Inaonyesha wazi wazi kuwa wewe ni changu, ndiyo maana wanaume wanapita tu hapo hawakai. Mimi sing'a ng'anii mwanaume , sema tupo hapa JF kungekuwa na uwezekano tungekutanishwa halafu uangalia kwa Age yangu mm na wewe nani angechagulia na nani angeachwa. najiamini napendwa na bado niko bomba mbaya.
Ulipompata huyo inaelekea ulikuwa na miaka kibao hujatongozwa seriously so ukaona bora umzoe umfungie ili uwe na uwakika wa kuwa naye
Kwa taarifa yako mpk sasa naandika hapa nina PM kibao za kutongozwa na hapo hawajaniona, yaani natongozwa kutokana na uchangiaji wangu, hata mwanaume akisoma anajua nimekomaa kiakili na nina heshima na nafaaa kuwa mke/ mama katika nyumba na nikatengeza familia iliyobora.
Na kwataarifa yako mm mtoto ya Chang'ombe na nimesoma kwa raha mustarehe siyo kama wewe uliyesoma kwa kuuunga unga, mpk unakuja hapa kujidhalilisha , kiruuuuuuuuuuuuu! mchaga gani wewe unayetia aibu namna hiyo,.
mimi natongozwa na wanaume ninaofanya nao kazi naoishi nao mtaani, naosali nao kanisani manake wananijua namna nilivyo mwili mpaka ubongo na moyo