Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 348
home arusha, mama mchagga baba mngoni
jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?
think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.
....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi mmoja mnafanyia na anaanza kukurushia mitego yake.Ukimcheki huyo mkaka hana cheo, hana hela hata za urithi kwao, elimu labda mko sawa (first degree) au umemzidi yaan una professional bodies qualifications mfano CPA, ACCA.
Au mkaka mwingine unakutana naye shopping anajifanya kukuelewa sana mara ooh hiki na kile mwishowe anaomba namba ya simu , kama kawaida mie huwajibu akitaka kuniona ajage palepale aliponionea siku hiyo.
...huwa nacheka na kujiuliza huwa hawaumii hawa kaka zetu wanapokataliwa????
kwa nini wasiende kubahatisha kwenye level zao/matawi yao wanajileta kwa vinavyoelea???
Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee
Inaelekea ulisoma kwa shida sasna na pesa ukazipatia ukubwani. Nyodo hizi zitakufanya uote unungaembe na utajutia kwa dharau zako. Nakumbuka wakati nasoma first degree Mlimani, kuna akina dada walikuwa warembo kupita wewe, walikuwa na nyodo sana. Yapita miaka minane sasa! Walipenda wenye nazo, wenye magari na nyumba! Hadi leo wanatafuta hawapati! Mimi nimeoa na pesa zipo hata nakopesha! Leo wananizonga macho na nawafumbia macho waoze tu! Wametembea na watu lukuki (to seduce them for marriage) lakini wameambulia patupu. Walishasema wabemba enzi nasoma Masters yangu kwamba "Ubwisa bwandi bwandya" meaning "Uzuri wangu umenila (Huyu alikua mzuri sana kukupita, mwenye nyodo na maringo. Hapa alikuwa analia nilipokuwa natembelea wagonjwa hospitali. Usiwe kama yule! Pumbaf kabisa!