CHOKAMBOVU
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 856
- 584
unaendeshwa na pepo mchafu mpenda hela linapokuja suala la mapenzi. Mapenzi si elimu, si pesa wala si utajiri. Falsafa yako hiyo umeijenga katika msingi ambao si sahihi na kama utaishi kwa falsafa hiyo utakuwa ni mtu wa kugegedwa na kila ambaye ana hela na ama utajiri mkubwa. Nadhani ndo aina ya watu wale ambao hugegedwa na ma- dr na ma-prof vyuoni ili kwamba waweze kupata vyeti ambavyo vinaangalika machoni.Rekebisha falsafa yako lianapokuja sauala la mapenzi na watu kama nyie ndio wale ambao huhogwa kgari bila ya kadi na jamaa anapokuwa ametosheka na hako ka chungu kako basi huamua kucuhkua gari yake na kumpa mwingine mwenye falsafa kama yako.