wakaka kama vile hamna mioyo ya kuumia

wakaka kama vile hamna mioyo ya kuumia

ni mwanaume makini ndio maana amekuacha wewe upaniki kwa hasira
nishakueleza sababu ya kumtetea, in any social court my reason is genuine

pls punguza hasira, MATOLA enjoys my protection under any circumstances pasipo kutaka kujua mlianzia wapi

Mimi na wewe ni marafiki wa muda mrefu ila hukuwa umejua kitu kiitwacho MATOLA factor in my heart
I will not let him go down tena akishambuliwa na rafiki yangu.
Haya bana niwaachie ukumbi mliwazane...
Ila Kaa ujue sintakaa nimwache mtu " to walk all over me "

Salamu zenu..

Life goes on......
 
Unajua unashangaza sana , na wala hueleweki ni nn unataka, kama wewe ulipata shida si umeshamaliza chuo ,na inaonyesha uko njema kwenye mambo ya pesa, sasa kinachokubabaisha nn hata kama utapata mwanaume mwenye kipato ambacho si kikubwa? wewe kama kweli ni mwanamke, una kazi yako nzuri sioni sababu ya kushindwa kusimama mwenyewe na ukatengeneza familia iliyo bora na watotto wako wakenda school nzuri , huyo mume akawa anachangi kwa kiasi.
Kwani uliambiwa wanaume wooote uwaonao kwenye ndoa wao ndiyo wanatoa zaidi kuliko wake zao? jambo usilolijua litakusumbua.

kazi tunafanya kwa mikataba na huwezi jua mkataba ukiisha au kampuni ikifunga mradi wake tanzania itakuchukua muda gani kupata chaka jingine na jee hilo chaka ni prolific????

Ukiumwa na nyoka unyasi una......
 
Micharuko utaijua tu.Unaweza kuta demu baya lina sura kama choo cha magereza,shepu hakuna halafu akija Jf full mashauzi.Pambaf

Ha ha ha ha ha.............



+pz9flXfP4XS1ckZXVMOMYAAAAASUVORK5CYII=
 
Micharuko utaijua tu.Unaweza kuta demu baya lina sura kama choo cha magereza,shepu hakuna halafu akija Jf full mashauzi.Pambaf
Ningekuwa hivi ningekimbilia kuolewa kama hao wenzangu kwa hofu ya kuja kukosa
 
Haya bana niwaachie ukumbi mliwazane...
Ila Kaa ujue sintakaa nimwache mtu " to walk all over me "

Salamu zenu..

Life goes on......

Haya wote watatu mshikane mikono! Au Marytinasheki washikishe mikono washeki kidogo
 
Binadamu anaejiamini hujua umuhimu wa kufanya kazi na kujitosheleza mwenyewe mahitaji yake.
'
Kulalama hapa na kudai mwanaume wa kipato kikubwa ni dalil ya kuwa na tabia mbaya.
'
Kama unajitambua na kukamilika huwezi kujipaka kinyesi namna hii.
'
Mwanamke anaejitambua na asie maskini hahitaji mwanaume mwenye hela kwa kuwa amejitosheleza,kudai mwanaume mwenye pesa tena mtandaoni ni ishara ya umaskini,kuishiwa fikra,uvivu na dalili za kutamani kujiuza.
'
Jitambue!
 
Nyie watu punguzeni hasira,
Marytina yeyeanasema analojua na aonavyo kuwa labda wengine wanatongozwa mara chache, Lakini kama ningekuwa namwita nikikutongoza pia si angeumia? hii huwa siri kila mtu akitoa siri hatutakuwa na utamaduni sisi.

Cha muhimu ni uelewa mzuri wa mambo haya, na ukipotoka umeumia hasa!
Suala la kung'ng'aniwa ndiyo kama mtu mmependana kwanini msing'ang'aniane utakaa kama popo adi lini!
Kuoa/au kuolewa ina maana mtu kaamini kuwa wewe ni mtu unafaa, anaamua otherwise ni kugonga na kuwahi viwanja tu!
Huyu yawezekana si changu ila ana safari kidogo kama kweli yu hivi asemavo!

Hizo nilizoweka Blue colour ni yeye alikuwa ananiandikia mm, ila kama wewe ni mwanaume najua wazi huwezi kuwa na mwanamke ka yeye, hawezi kuwa na dharau kiasi hicho halafu wanaume waje kumuoa,na kwa akili za wanaume sana sana watakuwa wanakuja kwake for fun only na si kuoa, sasa basi kama anataka kuwa Mke ajirekebishe, na Amuombe Mungu ampe amtakaye na aache dharau atapata, lakini akiwa hivyo hapati ng'ooooooooo!!! labda Yesu arudi.
 
Dearest....hasira ya nini leo?? calm down,please!

My godness!!!
Michelle za kupote mdada

duh!!!kila siku mie mnyonge wako, napokuona I become less focused on my mind for chochote nachokisimamia
 
Ningekuwa hivi ningekimbilia kuolewa kama hao wenzangu kwa hofu ya kuja kukosa
Yaani ,nakwambia hivi wewe kuolewa sijui inaonyesha unamajidai sanaaaaaa! sidhani labda .
 
Na nakwambia hivi , hata huyo unayemtaka hutompata , wanaume watakuwa wanakosha rungu hapo kwako mpk uje ustuke umeshazeeka zeeeeee!!!!!!Kwishneyyyyyyyyyyyyyyyy!!!!!!!

Ninaye na ni Mmasai
kila mtu anamjua hapa jukwaani
ana vigezo nilivyotaja hapa


hii sredi ilikuwa inawahusu wale tongozatongoza wasio na hela na shule fupi
 
Hizo nilizoweka Blue colour ni yeye alikuwa ananiandikia mm, ila kama wewe ni mwanaume najua wazi huwezi kuwa na mwanamke ka yeye, hawezi kuwa na dharau kiasi hicho halafu wanaume waje kumuoa,na kwa akili za wanaume sana sana watakuwa wanakuja kwake for fun only na si kuoa, sasa basi kama anataka kuwa Mke ajirekebishe, na Amuombe Mungu ampe amtakaye na aache dharau atapata, lakini akiwa hivyo hapati ng'ooooooooo!!! labda Yesu arudi.

Ni kweli, Kuna wanaume wanaotaka wapenzi na wanaotaka burudani,
Japo mwisho wake huwa tofauti sana burudani inageuka maigizo na vituko. Kwa wanaotaka mapenzi hwatafurahia wala kukubali hili, Lakini kwa vile wanaume wa hivyo wapo basi mke wa aina hii ndo sehemu yao
 
yame kukuta,asifuye mvua imemnyea kwahiyo kibuti cha handsome boy kinakuuma??
kingine hajarishi wewe ni mwanamke wa level zipi una mapembe kiasi gani,unampunga maghala mangap.
still nyie ni maua yetu gift from God tulipewa dunia tuitawale mkiwamo na nyie..!! nihayo tuu..!!

home arusha, mama mchagga baba mngoni


jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?

think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.

....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi mmoja mnafanyia na anaanza kukurushia mitego yake.Ukimcheki huyo mkaka hana cheo, hana hela hata za urithi kwao, elimu labda mko sawa (first degree) au umemzidi yaan una professional bodies qualifications mfano CPA, ACCA.

Au mkaka mwingine unakutana naye shopping anajifanya kukuelewa sana mara ooh hiki na kile mwishowe anaomba namba ya simu , kama kawaida mie huwajibu akitaka kuniona ajage palepale aliponionea siku hiyo.

...huwa nacheka na kujiuliza huwa hawaumii hawa kaka zetu wanapokataliwa????
kwa nini wasiende kubahatisha kwenye level zao/matawi yao wanajileta kwa vinavyoelea???

Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee
 
Ninaye na ni Mmasai
kila mtu anamjua hapa jukwaani
ana vigezo nilivyotaja hapa


hii sredi ilikuwa inawahusu wale tongozatongoza wasio na hela na shule fupi

Kumbe! Kwaheri Mjadala mwema!:target:
 
Kama unawaonea huruma si unawaambia ukweli tu..

Kwamba unae unaempenda, na wao wachape lapa...
well
hii sredi ilikuwa maalum kwa wakaka wasiofikia milioni 2 kwa mwezi na wenye shule fupi na vyuo vya ajabu ajaba sijui CBE,UDOM,KAMPALA UNIV, kuwa wasijiumizage kuja levo za juu.

kwa hizohizo hela zao na shule fupi zao watapendwa sana huko lower level
 
Mungu ametunusuru wote, wewe huoni hiki kigezo cha M mbili per month ungesababisha nigeuzwe kontena la kubeba cocain kupeleka china? na usisahau kule wananyonga tu.
ningekupa muda wa mwaka na ningescan mipango yako kuona kama tutasonga au ungekuwa kama mume wa AFRODANZI
 
Kama unawaonea huruma si unawaambia ukweli tu..

Kwamba unae unaempenda, na wao wachape lapa...
michelle ameshagundua unahasira
kama bado yupo JF namwomba akutulize tuwe sawia

Michelle dada tema madini kidogo umalize mvutano
 
Mhmm nilikua na mwenye pesa elimu kubwa kazi ya heshima bt sikuwahi kupata amani hata siku moja chakula nyumbani kibao magari nyumba mzuri nitakacho nakipata lkn bado nilihisi moyo. Wangu unahitaji penzi la kweli niliheshimu hisia zangu na kuacha mali na maisha mazuri coz moyo wangu na maisha yangu ni zaidi ya chchte nina fu
 
Back
Top Bottom