wakaka kama vile hamna mioyo ya kuumia

wakaka kama vile hamna mioyo ya kuumia

miss u dear matty, it has been long time

hayo unayozungumzia ni mapenzi ya tamthilia na sio real life.Explore the opportunities kama zipo achanaga na kulilia mapenzi

Asante sana,
That is very true, Tamthilia nazo pia inategemea inafikisha ujumbe gani. Kuna zenye kuonesha ukweli ikawa sawa tu.
Hayo anliyosema ni kwa radical people wasio wa kawaida
 
Mimi ni Form Four Graduate & am proud of it, Degree holders wengi huwa nawaandikia Application letter zao na kiingereza chao wengi ni cha ugoko, kwa kifupi wametoka vyuoni kupata vyeti na si elimu wala maarifa.

Mimi ni Mwanaume kamili naweza kudate na Mwanamke yeyote yule atakayenivutia, anayedhani pesa ndio mapenzi aende Ohio akajiunge kwenye kuuza mwili wake.
wasio na vigezo utawajua tu kwa namna wanavyitukana.

kaka sikia hapa siongelea mamilioni. it is just like kipato cha milioni mbili kwa mwezi inatosha sana
 
katika hii ofisi yetu hamna girl mwenye mwanaume wa hali ya chini na hamna anayetaka kusikia habari hiyo kabisaaa

nafanya kazi kutafuta hela na sio kudumisha mapenzi

Utakuja kutafuta mapenzi ukizeeka na hakuna mtu atakutaka.
Kwa kifupi mapenzi yana sehemu yake, Kunaweza kutokea mtu mwenye mapenzi ya kweli ukamdharau, akaja huyo mwenye mihela-- michuzi akakula tu na kukuletea wengine.
Bora muanze maisha wote, nawe uchangie mwaweza kuwa na maisha yenye raha tu kuliko kutafuta vilivyoundwa

" In love you have to Think in three diamensions"
 
Asante sana,
That is very true, Tamthilia nazo pia inategemea inafikisha ujumbe gani. Kuna zenye kuonesha ukweli ikawa sawa tu.
Hayo anliyosema ni kwa radical people wasio wa kawaida
asante ndugu
hapa jf mapenzi memba wanataka uongee uongo wa kusifia mambo ya kale...
kama huna pesa basi uwe na elimu ya kukata
 
wasio na vigezo utawajua tu kwa namna wanavyitukana.

kaka sikia hapa siongelea mamilioni. it is just like kipato cha milioni mbili kwa mwezi inatosha sana

Duh! wewe mkali, Naomba nisije kukutana na mtu kama wewe wala ndugu yangu,
Milion 2 ni akina nani hao,
Inaonekana si Mtanzania wewe. Wanaopokea hizo ni asilimia ndogo sana na possibility ya kumpata huyo wewe ni ndogo pia
Lakini sawa tu watu wa aina hii mpo pia na hao wengine wapo ili dunia iwe na uwiano safi!
 
Utakuja kutafuta mapenzi ukizeeka na hakuna mtu atakutaka.
Kwa kifupi mapenzi yana sehemu yake, Kunaweza kutokea mtu mwenye mapenzi ya kweli ukamdharau, akaja huyo mwenye mihela-- michuzi akakula tu na kukuletea wengine.
Bora muanze maisha wote, nawe uchangie mwaweza kuwa na maisha yenye raha tu kuliko kutafuta vilivyoundwa

" In love you have to Think in three diamensions"
human being are naturally lazy so usinishangae, pia masikini kumkubali ni mwanzo wa kuharibu watoto kuja kusoma st kayumba
 
katika hii ofisi yetu hamna girl mwenye mwanaume wa hali ya chini na hamna anayetaka kusikia habari hiyo kabisaaa

nafanya kazi kutafuta hela na sio kudumisha mapenzi

sasaa huo ni mtazamo wako, hata hivyo huwez kufanya kazi ili udumishe mapenzi, kazi ni kazi na mapenzi ni mapenzi,. kama unaamua kufanya kazi just do it,.na kama unataka mwanaume mwenye pesaa, wapo utawapata lakini shida inakuja pale tu uliposema kuwa, kama mwanaume hana elimu, pesa n.k hakuna kupendwa, hapoo tu ndo umenipa shida.... ila suala la uchaguzi wa mpenzi lipo kwa mtu binafsi, kuna wengine watajali dini, wengine elimu, wengine utu kila mtu na kile anachopenda,.
 
ndio maana nasema katongozeni wa levo yenu huku kwingine mnataka umizwa roho bure

Duh! hatarisana
Nyie ndo watu mliotayari hata kuingilia ndoa za watu kisa vigezo kama hivo
Lakini nawaonea huruma sana maana wengi wa aina mtakayo wana matatizo makubwa sana, mara nyingi mapenzi hakuna ila pesana na vitu vya nje tu!
 
Duh! wewe mkali, Naomba nisije kukutana na mtu kama wewe wala ndugu yangu,
Milion 2 ni akina nani hao,
Inaonekana si Mtanzania wewe. Wanaopokea hizo ni asilimia ndogo sana na possibility ya kumpata huyo wewe ni ndogo pia
Lakini sawa tu watu wa aina hii mpo pia na hao wengine wapo ili dunia iwe na uwiano safi!

usiniogope sana, nimeshakwambia nikukutaka nakupa uroda mara mmoja mmoja tu tena mimi ndiye ntakayekuwa nakupigia na sii uje kunifwata niliko
 
sasaa huo ni mtazamo wako, hata hivyo huwez kufanya kazi ili udumishe mapenzi, kazi ni kazi na mapenzi ni mapenzi,. kama unaamua kufanya kazi just do it,.na kama unataka mwanaume mwenye pesaa, wapo utawapata lakini shida inakuja pale tu uliposema kuwa, kama mwanaume hana elimu, pesa n.k hakuna kupendwa, hapoo tu ndo umenipa shida.... ila suala la uchaguzi wa mpenzi lipo kwa mtu binafsi, kuna wengine watajali dini, wengine elimu, wengine utu kila mtu na kile anachopenda,.

yaaan...kapuku.mimi hapana hapana hapana na sijisikii kuzaa nao
 
nipe samahan
mimi sizungumzii mihela mingi ya wabunge
nachozungumzia ni kipato cha mwanaume kiwe ingalao milioni mbili kwa mwezi

Je kama ni mwajiriwa wa serikali na anapata mshahara wa sh 360,666/= ungefanyeje, maana unataka wenye mapesa mengi. huwezi kupata.
 
sasaa huo ni mtazamo wako, hata hivyo huwez kufanya kazi ili udumishe mapenzi, kazi ni kazi na mapenzi ni mapenzi,. kama unaamua kufanya kazi just do it,.na kama unataka mwanaume mwenye pesaa, wapo utawapata lakini shida inakuja pale tu uliposema kuwa, kama mwanaume hana elimu, pesa n.k hakuna kupendwa, hapoo tu ndo umenipa shida.... ila suala la uchaguzi wa mpenzi lipo kwa mtu binafsi, kuna wengine watajali dini, wengine elimu, wengine utu kila mtu na kile anachopenda,.

Ameline,

Umemaliza natamani nisiendelee kuchangia maana hilo ndo jibu!
Unajali nini katika mapenzi?? BASI!
Kuna watu wapo tayari kuua kwaajili ya pesa, au wamchukue mwanaume fulani
Si huwa wanaenda hadi kwa waganga! Akitaka utu wapo kibbao na hao wote ni wakawaida sana.
 
miss u dear matty, it has been long time

hayo unayozungumzia ni mapenzi ya tamthilia na sio real life.Explore the opportunities kama zipo achanaga na kulilia mapenzi

katika hii ofisi yetu hamna girl mwenye mwanaume wa hali ya chini na hamna anayetaka kusikia habari hiyo kabisaaa

nafanya kazi kutafuta hela na sio kudumisha mapenzi

Hahahaha Marytina unatafuta kurushiwa mawe humu wewe shaurilo

Huyo rafiki yangu alishadate wanaume wenye pesa ila walimshinda. Wenye pesa ni pasua kichwa sana hawana mapenzi ya kweli wanapendwa na kila mwanamke. Mapenzi ya kweli hayachagui pesa mkiwa makini mnazitafuta tu. Huyu best yangu ana maisha mazuri kuliko hata hao walioolewa na wenye mapesa. Mumewe ni mtafutaji na yuko makini watoto wao wanasoma shule nzuri na hivi baba amejiajiri anawapeleka watoto shule na kuwafata. Ni mfano wa kuigwa hawa wapenzi wawili kila anaewazunguka anawaonea wivu. Cha muhimu ni kumuomba Mungu upate mpenzi wa kweli haijalishi ana pesa

Miaka miwili ijayo huyu mdada na mumewe watakuwa wajasiriamali wakubwa

(Nakuelewa marytina unavyojisikia, kwani wanaume kama huyu wa rafiki yangu ni wachache sana wengi wa wakaka siku hizi wanatafuta wanawake wenye pesa wawachune kisha wanaenda kuhonga wengine huko, ndio maana wadada wengi wamekata tamaa)
 
Last edited by a moderator:
home arusha, mama mchagga baba mngoni


jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?

think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.

....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi mmoja mnafanyia na anaanza kukurushia mitego yake.Ukimcheki huyo mkaka hana cheo, hana hela hata za urithi kwao, elimu labda mko sawa (first degree) au umemzidi yaan una professional bodies qualifications mfano CPA, ACCA.

Au mkaka mwingine unakutana naye shopping anajifanya kukuelewa sana mara ooh hiki na kile mwishowe anaomba namba ya simu , kama kawaida mie huwajibu akitaka kuniona ajage palepale aliponionea siku hiyo.

...huwa nacheka na kujiuliza huwa hawaumii hawa kaka zetu wanapokataliwa????
kwa nini wasiende kubahatisha kwenye level zao/matawi yao wanajileta kwa vinavyoelea???

Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee

You have to know this! Sio kila anaekutongoza amekupenda, sometimes anakuangalia tu (sometimes its a game, hivi kwa muonekano wako ukoje i mean how cheap you are)

Halafu hata kama nakupenda, upendo hauangalii hayo makitu (hela wala elimu) uroda uroda tu!

Lastly! Mwanamke ni mwanamke tu, awe profesa au mtoto wa shule ya msingi kwenye mapenzi they all behave the same! Anachopenda hakieleweki, so we try our luck sometimes! Huwezi juu unabahati gani.
 
Je kama ni mwajiriwa wa serikali na anapata mshahara wa sh 360,666/= ungefanyeje, maana unataka wenye mapesa mengi. huwezi kupata.
waajiriwa wa serikali ni wavivu hata katika kufikiri, mie natoka na watu wanaofanya kwenye private companies wenye uzoefu wa kufanya kazi under high pressure, result oriented na sio wapiga stori wa halmashauri na serikalini
 
wasio na vigezo utawajua tu kwa namna wanavyitukana.

kaka sikia hapa siongelea mamilioni. it is just like kipato cha milioni mbili kwa mwezi inatosha sana
Kigezo si anacho bwana wako Mmasai cha kulinda mageti na mshahara analipwa millioni 10 kwa mwezi? sasa hapa unatafuta nini?
 
Hahahaha Marytina unatafuta kurushiwa mawe humu wewe shaurilo

Huyo rafiki yangu alishadate wanaume wenye pesa ila walimshinda. Wenye pesa ni pasua kichwa sana hawana mapenzi ya kweli wanapendwa na kila mwanamke. Mapenzi ya kweli hayachagui pesa mkiwa makini mnazitafuta tu. Huyu best yangu ana maisha mazuri kuliko hata hao walioolewa na wenye mapesa. Mumewe ni mtafutaji na yuko makini watoto wao wanasoma shule nzuri na hivi baba amejiajiri anawapeleka watoto shule na kuwafata. Ni mfano wa kuigwa hawa wapenzi wawili kila anaewazunguka anawaonea wivu. Cha muhimu ni kumuomba Mungu upate mpenzi wa kweli haijalishi ana pesa

Miaka miwili ijayo huyu mdada na mumewe watakuwa wajasiriamali wakubwa

(Nakuelewa marytina unavyojisikia, kwani wanaume kama huyu wa rafiki yangu ni wachache sana wengi wa wakaka siku hizi wanatafuta wanawake wenye pesa wawachune kisha wanaenda kuhonga wengine huko, ndio maana wadada wengi wamekata tamaa)

eti niwe na mkaka wa kumpaa hela, mmi martina au mwingine???? kama mtu hana hela akaoe zake huko kwetu kijijini mabinti wamejaa na sio kujaribu kwangu
 
Back
Top Bottom