wakaka kama vile hamna mioyo ya kuumia

wakaka kama vile hamna mioyo ya kuumia

nyie ndio huwa mnamegwa weee ukija kustua jua limezama,dharau za mliosoma huwa hawapi manufaa yoyote
 
home arusha, mama mchagga baba mngoni


jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?

think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.

....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi mmoja mnafanyia na anaanza kukurushia mitego yake.Ukimcheki huyo mkaka hana cheo, hana hela hata za urithi kwao, elimu labda mko sawa (first degree) au umemzidi yaan una professional bodies qualifications mfano CPA, ACCA.

Au mkaka mwingine unakutana naye shopping anajifanya kukuelewa sana mara ooh hiki na kile mwishowe anaomba namba ya simu , kama kawaida mie huwajibu akitaka kuniona ajage palepale aliponionea siku hiyo.

...huwa nacheka na kujiuliza huwa hawaumii hawa kaka zetu wanapokataliwa????
kwa nini wasiende kubahatisha kwenye level zao/matawi yao wanajileta kwa vinavyoelea???

Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee

na wenye elimu, pesa na mali huwa hawawataki watu wa kariba yako, wanataka kuwatumia tu; kwa hiyo ukiwangoja wa hivyo utangoja sana dada na utatumika kikamilifu naamin mpaka unaolewa utakuwa umeshakuwa mtumba ile mbaya
 
home arusha, mama mchagga baba mngoni


jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?

think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.

....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi mmoja mnafanyia na anaanza kukurushia mitego yake.Ukimcheki huyo mkaka hana cheo, hana hela hata za urithi kwao, elimu labda mko sawa (first degree) au umemzidi yaan una professional bodies qualifications mfano CPA, ACCA.

Au mkaka mwingine unakutana naye shopping anajifanya kukuelewa sana mara ooh hiki na kile mwishowe anaomba namba ya simu , kama kawaida mie huwajibu akitaka kuniona ajage palepale aliponionea siku hiyo.

...huwa nacheka na kujiuliza huwa hawaumii hawa kaka zetu wanapokataliwa????
kwa nini wasiende kubahatisha kwenye level zao/matawi yao wanajileta kwa vinavyoelea???

Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee

hivi marytina, bado hujaacha ushamba wako tu......?
 
home arusha, mama mchagga baba mngoni


jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?

think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.

....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi mmoja mnafanyia na anaanza kukurushia mitego yake.Ukimcheki huyo mkaka hana cheo, hana hela hata za urithi kwao, elimu labda mko sawa (first degree) au umemzidi yaan una professional bodies qualifications mfano CPA, ACCA.

Au mkaka mwingine unakutana naye shopping anajifanya kukuelewa sana mara ooh hiki na kile mwishowe anaomba namba ya simu , kama kawaida mie huwajibu akitaka kuniona ajage palepale aliponionea siku hiyo.

...huwa nacheka na kujiuliza huwa hawaumii hawa kaka zetu wanapokataliwa????
kwa nini wasiende kubahatisha kwenye level zao/matawi yao wanajileta kwa vinavyoelea???

Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee



Dah!! Dunia hii!!! dada yetu gfsonwin upo lakini? nadhani msaada wako unahitajiaka hapa.......Sikia Marytina, Dunia hii hakuna asiyependa kuwa na Elimu, Pesa au kuwa Tajiri......haya ni matatizo tu na mitihani mtu ambayo anaipata bila kutarajia katika kipindi cha uhai wake humu duniani ndivyo vinavyopelekea mtu kukosa hivi vitu vitatu. Usidhani kuwa hatuumii, la hasha hatuna mioyo ya chuma, tuna mioyo yenye nyama pamoja na damu vilevile, tunaumia sana tena sana, ni hivyo tu kwakuwa Wanaume tumeumbwa kupambana na matatizo pamoja na shida za dunia hii.

Kwa kusema hayo nadhani unatambua fika kwamba.....Hakuna maendeleo au mafanikio yoyote ya Mwanaume pasi kuwa na Mwanamke pembeni......sasa bibie unapenda mtu mwenye Pesa au mali, hivi hufahamu kwamba kuwa kunamwanamke mwenzio ndio labda aliesababisha huyo unaemtarajia wewe kuwa na hizo mali au mafanikio unayoyataka?

Halafu wewe si unaamini kuwa Mungu yupo, na unatambua kuwa siku hazifanani, na hapohapo bila kusahau matatizo na mitihani dunia hii kaumbiwa mwanadamu na sio kiumbe kingine, na unajua kabisa kuwa mitihani haina siku maalum na inaweza kumfika mwanadamu popote pale ulipo wakati wowote.

Wewe kama unajiona una elimu, mali au matawi juu sio vibaya, mshukuru Mungu sana kwa kuwa kuna wengine Muumba hakuwajalia vitu kama hivyo na wana haki ya kupenda kama binadamu wengine, japokuwa pesa na mali ni chachu tu inayoweza kuongeza ladha katika mapenzi, ila penzi la dhati ndio chakula chenyewe baina ya wapendanao.

Usione ukadhani na wala usimdharau mtu kwa kuwa siku MWENYEZI MUNGU atakapo amuru msafara wa gwaride lake kwa kusema Nyuma geuka, basi tambua kuwa yule aliyekuwa wamwisho ndio atakuwa wa kwanza.

Duniani tunapita tu bibie.....
 
Last edited by a moderator:
home arusha, mama mchagga baba mngoni


jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?

think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.

....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi mmoja mnafanyia na anaanza kukurushia mitego yake.Ukimcheki huyo mkaka hana cheo, hana hela hata za urithi kwao, elimu labda mko sawa (first degree) au umemzidi yaan una professional bodies qualifications mfano CPA, ACCA.

Au mkaka mwingine unakutana naye shopping anajifanya kukuelewa sana mara ooh hiki na kile mwishowe anaomba namba ya simu , kama kawaida mie huwajibu akitaka kuniona ajage palepale aliponionea siku hiyo.

...huwa nacheka na kujiuliza huwa hawaumii hawa kaka zetu wanapokataliwa????
kwa nini wasiende kubahatisha kwenye level zao/matawi yao wanajileta kwa vinavyoelea???

Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee

Aah vip Kama na zaidi ya hiyo million mbili/mwezi halafu sikuhongi nakugegeda tu?
 
there has never be a true love, its a shame to see the human race in a rat race
 
hakunaga mapenzi jamaa kupendana ni zama za kale.
Mungu kaniumba kila nguo kunikubali so wakaka jiangalieni sio kila mmoja anajiletaleta tu bila kujicheki cv yake

kwaniiiiii...........kwani we umejiwekea price tag!!?jibandike kabisa kurahisha haya makitu dada ''mzuri,msomi na mwenye mahela''!!
 
Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee

bolding,;lakini mapenzi ya kweli hayapo machoni mwa mtu au kwenye vitu alivyonavyo, yapo moyoni, inawezekana asiwe NA SHULE, SI MJASIRIAMALI WA UKWELI, HANA HELA lakini akapendwa tena kuliko huyo mwenye vyote hivyo,. watu tupo tofauti, sasa kama wanawake wote watawakimbilia wenye mali na elimu wale wasokua navyo waende wapi? na hao ni binadamu na wana haki ya kupendwa na kuheshimiwa kama wanaume wengine,.mbona mim nilimpenda machinga tena ambaye hakufika hata la saba wakati huo nipo form six, nimemzidi elimu mpaka kipato na mpaka leo twadumu kwa nguvu za maanan, twapendana asikuambie mtu., twasubiri tu kufunga ndoa soon suala la mapenzi bwana kwa tunaolijua haijalishi kitu bali ni utu,.waweza kuwa na vyoote hivyo lakini amani isiwepo,.. tuache ubaguzi kwenye mapenzi jamani, tupendane kweli kama tumeamua kujiingiza kwenye mapenzi,.mungu ndiye mpaji wa yote, hawezi kukuacha utaabike hadi mwisho, ipo siku tu atakuinua na wewe uwe kama wao wenye navyo,.cha muhimu ni uvumilivu, kama mmependana akiwa hana ndo wakati wa kushauriana ni jinsi gani utamsaidia kutokana na elimu au kipato ulichonacho na si kumtenga au kumdharau, huwezi jua atakua na msaada gani kwako huko baadae.

Umemchagua huyo wa chini yako kwa sababu unaweza kumcontrol na yy hana jinsi coz umeshika mpini na yy makali! 2cdanganyane money rules the world! Tafuta m2 wa levo yako uone kama utamtrit kama huyo uliyenae sasa.
 
home arusha, mama mchagga baba mngoni


jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?

think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.

....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi mmoja mnafanyia na anaanza kukurushia mitego yake.Ukimcheki huyo mkaka hana cheo, hana hela hata za urithi kwao, elimu labda mko sawa (first degree) au umemzidi yaan una professional bodies qualifications mfano CPA, ACCA.

Au mkaka mwingine unakutana naye shopping anajifanya kukuelewa sana mara ooh hiki na kile mwishowe anaomba namba ya simu , kama kawaida mie huwajibu akitaka kuniona ajage palepale aliponionea siku hiyo.

...huwa nacheka na kujiuliza huwa hawaumii hawa kaka zetu wanapokataliwa????
kwa nini wasiende kubahatisha kwenye level zao/matawi yao wanajileta kwa vinavyoelea???

Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee

Inaonyesha Upeo wako wa kufikiria ni mdogo sana Marytina hasa katika suala la MAPENZI, TRUE LOVE DOES'NT HAVE A PRICE TAG just keep it on ur mind . DILDO na VIBRATOR zinawadanganya mademu wa cku hizi. hahahahaaaaa
 
nipe samahan
mimi sizungumzii mihela mingi ya wabunge
nachozungumzia ni kipato cha mwanaume kiwe ingalao milioni mbili kwa mwezi

muwezesheze kufikia hiyo milioni mbili kwa mwezi kama unampenda, marytina ingawa kila mtu na mtizamo wake huu wako ni noma. ukimpata mwenye kipato cha milioni mbili siku akianguka unamwacha? au kama hana mapenzi ya dhati maadamu kipato chake ni milion mbili poa tu, kwa kweli mm niko tofauti na wewe kabisa unaweza ukawa unatinga viwalo vikali kumbe umeazima ili uonekane matawi lolest.
 
Umemchagua huyo wa chini yako kwa sababu unaweza kumcontrol na yy hana jinsi coz umeshika mpini na yy makali! 2cdanganyane money rules the world! Tafuta m2 wa levo yako uone kama utamtrit kama huyo uliyenae sasa.

pesa na elimu havina nafasi kwenye mapenzi ndugu,. alianzia chini na sasa yupo juu, na ataendelea kuwa juu zaid naamini hivyo,. infact, nafas yangu kama mwanamke itabak palepale, sina mamlaka ya kumcontrol mwanaume, yeye atabak kuwa mwanaume milele,. hili suala tusiumize kichwa sana, thats why nimesema mapenzi ni optional wewe huwez lakin mwenzio anaweza,. huyu ndo wa level yangu Mungu alienipa, sina haja ya kutafuta mwingine
 
Dada umenikumbusha story moja kwenye kitabu kiitwacho "KUGUNDUA MBEGU ZA INJILI".Story yenyewe inasema hivi kulikuwa na watu wawili mmoja tajiri(mfalme) sana na mwingine masikini sana,wote walikuwa na wake(mke).Ila mke wa tajili alikuwa amekonda sana japokuwa anakula anachotaka na mahitaji yote anatimiziwa.Mke wa masikini alikuwa amenenepa sana.Basi siku ya siku tajili akamwambia yule masikini wabadilishane wanawake masikini alikataa ila kwakuwa tajili(mfalme) alikuwa ananguvu akamchukua mke wa masikini na masikini akamchukua yule mke wa tajili aliyekuwa amekonda sana.

Basi maisha yalisonga mbele baada ya miezi sita tu yule mke wa tajili aliyechukuliwa na masikini akiwa amekonda akaanza kunenepa sana na yule mke wa tajili aliyemchukua kutoka kwa masikini akawa amebadilika yaani amekonda mno.Ndipo tajili akaenda kwa masikini na kumuuliza mbona mke tuliyebadilishana amekonda wakati ulinpa mnene na yule nilekupa amekonda amenenepa unawapa nini wanawake hawa?Masikini akajibu NINAWAPA NYAMA YA ULIMI.

MY NOTE.Suala la mapenzi ni tofauti sana na pesa,unaweza ukawa na vyote ila still ukawa na inner problems.Mapenzi yaachwe yaitwe mapenzi tena hayafananishwi na chochote.Ndio nakubali fedha ni sabuni ya roho ila nimeona mapenzi mengi yamedumu na kudumu naamini yataendelea kudumu bila hata fedha.
 
home arusha, mama mchagga baba mngoni


jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?

think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.

....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi mmoja mnafanyia na anaanza kukurushia mitego yake.Ukimcheki huyo mkaka hana cheo, hana hela hata za urithi kwao, elimu labda mko sawa (first degree) au umemzidi yaan una professional bodies qualifications mfano CPA, ACCA.

Au mkaka mwingine unakutana naye shopping anajifanya kukuelewa sana mara ooh hiki na kile mwishowe anaomba namba ya simu , kama kawaida mie huwajibu akitaka kuniona ajage palepale aliponionea siku hiyo.

...huwa nacheka na kujiuliza huwa hawaumii hawa kaka zetu wanapokataliwa????
kwa nini wasiende kubahatisha kwenye level zao/matawi yao wanajileta kwa vinavyoelea???

Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee

Nimechekaje? Kwa hiyo kama ni handsome huwa unamhurumia, sasa inaonekana yeye anataka kukuganda, sijui anapitiaga huku ili akome kukuganda, au umtumieko ka-ujumbe kwenye simu yake.
 
home arusha, mama mchagga baba mngoni


jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?

think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.

....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi mmoja mnafanyia na anaanza kukurushia mitego yake.Ukimcheki huyo mkaka hana cheo, hana hela hata za urithi kwao, elimu labda mko sawa (first degree) au umemzidi yaan una professional bodies qualifications mfano CPA, ACCA.

Au mkaka mwingine unakutana naye shopping anajifanya kukuelewa sana mara ooh hiki na kile mwishowe anaomba namba ya simu , kama kawaida mie huwajibu akitaka kuniona ajage palepale aliponionea siku hiyo.

...huwa nacheka na kujiuliza huwa hawaumii hawa kaka zetu wanapokataliwa????
kwa nini wasiende kubahatisha kwenye level zao/matawi yao wanajileta kwa vinavyoelea???

Note: MKAKA KAMA HUNA SHULE, MJASIRIAMALI WA UKWELI, HUNA HELA usijisumbe hutapendwa hata uwe handsome kivipi.Ukihurumiwa kama ni handsome unapewa uroda mara moja kisha ujiondokee
thread ya kishamba! mademu kama hawa enzi zetu tulikuwa tunawapiga mtungo
 
DSpecial huu uzi niliuona nikautolea nje simply kwasababu sijaona cha kuchangia.

nikwambie kitu usiumize kitu kwa hawa akina Marytina na wenzie @lara1 ambao kwao wameeka price tag kwenye mapenzi.

true love huwa haiangalii vitu vya nje iwe pesa, mali, uzuri ama kazi ila huwa inaangalia utu wa ndani peke yake na ile nia ya dhati ya kupenda.

sasa basi usishangae nje ya hapo ukakuta mapenzi ya usoni ambao moyoni hayapo. ndipo utakapokuta Marytina kaolewa na Manji ila analiwa rujo na shamba boy. tena kama ishu ni 2mil basi usiumize kichwa kwani atalalwa na 2 mil zake, ikiwa watu wana mijihela ila hawafaidi raha ya ndoa sembuse hzi, pesa zitageuka mume zimlale.
 
Last edited by a moderator:
na wenye elimu, pesa na mali huwa hawawataki watu wa kariba yako, wanataka kuwatumia tu; kwa hiyo ukiwangoja wa hivyo utangoja sana dada na utatumika kikamilifu naamin mpaka unaolewa utakuwa umeshakuwa mtumba ile mbaya

na kama ni block ya engine basi huwaga sisi mafundi tunaiitagaa size 100!ina maana iyo ni ya kutupwa,
 
Mmh, kadiri umri unavyoongezeka, mitazamo ya vitu fulani huwa inabadilika taratibu
Jipe muda utagundua hili
 
Pole dada kwa kuwa unaishi kidhanifu sana na kama uko ktk uyakinifu mh! Huo una discripance, dada jaribu kustahi wanaume...ANGALAU 2MILLIONS per month ooh! Umetisha sana dadaangu ha!
 
You cant judge a book by its cover
 
Back
Top Bottom