Lisa
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 1,549
- 1,075
Kweli kabisa Lisa. Mabinti wasiku hizi ni balaa tupu kwani pesa mbele ndo hutu badae. Nazani wanaume wapo tofauti sana jinsi wanavyowafikiria.
Nahisi pia wazazi wa karne hii wanawaambia binti zao kuwa watafute wanaume wenye uwezo, hawataki wale wa kuanza nao, Mm nakumbuka mama yangu alikuwa ananiambia kuwa mwanaume mzuri ni yule mlieanza naye kuchuma kila kitu, lakini si kuvikuta atakunyanyasa navyo.
Na ndipo hapo ukivunja glass anakuuliza unajua bei yake, hivyo nilinunu nikiwa Uingereza, sasa mwenzangu na mm umesomea ngumbaru Uingereza unaiona kwenye ramani.wapi na wapi. Akuuuuuu ndiyo maana mm niapata msamba mwenzangu life goes On.