Wajue wabunge VIHIYO wa CCM...

Halafu hawa wabunge ndio huwaga wanapangua bajeti zilizotengezwa na wataalamu wa mawizara..lolz.
 
Halafu hawa wabunge ndio huwaga wanapangua bajeti zilizotengezwa na wataalamu wa mawizara..lolz.

Hata hizo bajeti "zinazotengenezwa" na wataalam wa Wizara ni michezo ya kuigiza tu, kwani hazifuatishwi in actual expenditures.

Kazi kweli kweli.
 
mmmmmmmhhhhhhhhhhhh hatari hiyo ndio siasa ya bongo lkn nafikiri kuwa na elimu ni vizuri lkn sio kigezo cha kuwa mbunge mzuri.
 
Hata hizo bajeti "zinazotengenezwa" na wataalam wa Wizara ni michezo ya kuigiza tu, kwani hazifuatishwi in actual expenditures.

Kazi kweli kweli.

AT least wao wanaeza kujustify matendo yao kutokana na utaalamu wao. But these vihiyoz who are they??
 
Mbona hujaorodhesha wa CHADEMA, CUF, NCCR- Mageuzi n.k? au nawe ni 'kihiyo' katika medani za uchambuzi?

Mbona hukuwai kushtuka na kumchambua mmoja aliyetaka kuwa kiongozi wa Kitaifa (Mgombea Mwenza) kuwa ni 'kihiyo'?

Sikiliza, kama unaishi ktk kile unachokisema, hamasisha wenye shahada wengi (na wewe?) wawe wanagombea na pia muhamasishe wasio na elimu za shahada(sijui nao utawaita 'Vihiyo') huko vijijini na mijini wawaelewe ninyi wenye shahada na kuwaamini kutokana na matendo yenu, wawachague.
 
hawa ni wabunge, mbona humtaji makamu wa rais mtarajiwa wa chadema elimu yake ya darasa la 7??????
nyani haoni kundule!!!!!!!
 
Kibunago said:
Mbona hujaorodhesha wa CHADEMA, CUF, NCCR- Mageuzi n.k? au nawe ni 'kihiyo' katika medani za uchambuzi?

Mbona hukuwai kushtuka na kumchambua mmoja aliyetaka kuwa kiongozi wa Kitaifa (Mgombea Mwenza) kuwa ni 'kihiyo'?

Sikiliza, kama unaishi ktk kile unachokisema, hamasisha wenye shahada wengi (na wewe?) wawe wanagombea na pia muhamasishe wasio na elimu za shahada(sijui nao utawaita 'Vihiyo') huko vijijini na mijini wawaelewe ninyi wenye shahada na kuwaamini kutokana na matendo yenu, wawachague.

hawa ni wabunge, mbona humtaji makamu wa rais mtarajiwa wa chadema elimu yake ya darasa la 7??????
nyani haoni kundule!!!!!!!

Kwani nani kawazuia kuleta list ya wabunge vihiyo wa vyama vingine? Acheni kuweweseka.
 
WAJUE WABUNGE WALIO NA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI, hawa hapa,!!!!!

Elimu ya msingi ( CCM )
1. Deo Kasenyenda Sanga ( JAH PEOPLE) -Njombe kaskazini, Iringa
2. Lameck Okambo Airo - Rorya Mara
3. Luckson ndaga Mwanjale - kujiendeleza-Mbeya vijijini ( Sijui kamaliza msingi au? )
4. hussein Nassor Amar - Nyang'wale , Mwanza
5. stephen Ngonyani - Korogwe Vijijini, Tanga
6. Lussinde Livingstone J. - Mtera, Dodoma
7. Aeshi Khalfan Hilaly - Sumbawanga mjini, Rukwa

Elimu ya Sekondari. Kidato cha Nne

1. Jeremiah Solomon Sumari Nne/ IV Arumeru Mashariki, Arusha
2. Michael Lekule Laizer Nne/ IV Longido, Arusha
3. Hassasn Mohamed Mgimwa Nne/ IV Mufindi Kaskazini, Iringa
4. Assumpter Nshuju Mshama Nne/ IV Nkenge, Kagera
5. Kifu Gulam H. Shabani Nne/IV Kigoma Kusini, Kigoma
6. Jitu Vrajil Soni Nne/IV Babati Vijijini, Manyara
7. Aziz Mohamed ABOOD Nne / IV Morogoro mjini, Morogoro
8. SHABIBY Ahmed Mabukhut Nne/ IV Gairo, Morogoro
9. Innocent Kalogeris Nne/ IV Morogoro kuisini, Morogoro
10.Abdulsalaam uleiman Sas Nne/ IV Mikumi, Morogoro
11. Abdul Rajabu Mteketa Nne/ IV Kilombero, Morogoro
12. Murji Hasnain Mohamedi Nne/ IV Mtwara Mjini, Mtwara
13. Dunstan daniel Mkapa Nne/ IV Nanyumbu, Mtwara
14. Richard Mganga Ndasa Tatu/ III Sumve, Mwanza
15. Mtutura Abdallah Mtutura Nne/I V Tunduru kusini, Ruvuma
16. Ismail Aden Rage Nne/ IV Tabora, Tabora
17. Said Juma Nkumba Nne/ IV Sikonge, Tabora
18. Sumar Shaffin Mamlo Nne/ IV Tabora kaskazini, Tabora
19. Henry Daffa Shekifu Nne/ IV Lushoto, Tanga
20. Brig. Gen Hassan Ngwilizi Nne/ IV Mlalo, Tanga
21. Idd Mohamed Azzan Nne/ IV Kinondoni, Dar es Salaam
22. Mussa Azzan Zungu Chuo cha anga..!!!?? Ilala, Dar-es-Salaam
23. Mtemvu Abbas Zuberi Nne/IV Temeke, Dar-es-Salaam
24. Faith M. Mitambo Nne/ IV Liwale, Lindi
25. Mohamedi Abdulazizi Nne/ IV Lindi Mjini, Lindi - Hakupita
26. Abdulkarim E. Shaha Nne/ IV Mafia, Pwani
27. Malocha Aloyce Ignace Nne/ IV Kwela, Rukwa
28. Ally Mohd Kessy Nne/ IV Nkasi kaskazini, Rukwa
29. Deusderius Mipata Nne/ IV Nkasi kusini, Rukwa
30. Nchambi Seleman Massoud Nne/ IV Kishapu, Shinyanga
31. James Daudi Lembeli Nne/ IV Kahama, Shinyanga
32. Ahmed Ally Salum Nne / IV Solwa, Shinyanga
33. Christopher Ole Sendeka Nne/IV Simanjiro, Manyara
34. Kisena Robert simon Nne/ IV Maswa Magharibi, Shinyanga

35. Sebastian simon Kapufi Sita / VI Mpanda kati, Rukwa
36. Bwanausi dismas Jerome Sita/ VI Lulindi, Mtwara
37. Dickson Modestus Kilufi Sita/ VI Mbarali, Mbeya
Daaah inatia aibu sanaaa!
 
AT least wao wanaeza kujustify matendo yao kutokana na utaalamu wao. But these vihiyoz who are they??

Actually Kihiyo ni mtu anayefoji cheti, hawa mpaka sasa tuhuma zao ni kwamba wana elimu ndogo, kwa hiyo sifa ya uKihiyo hawana, watafutie jina lingine.
 
Wewe sio MPENDANCHI bali ni MPENDAUCHI.

Viongozi huzaliwa ndugu yangu. Ndio maana nchi kubwa kama UK zimekuwa zikiongozwa na watu wasio na elimu ambayo wewe unadhani ndio kigezo cha kuongoza vizuri. UMEPOTOKA KWELIKWELI.
Uongozi hutawaliwa na HEKIMA na BUSARA na sio Elimu. HEKIMA haina chuo. Kiongozi ni mtu anayejiweka yeye katika nafsi za watu wengine kabla ya kuchukua uamuzi wowote. Hujiuliza maswali ya Hekma na busara kabla ya kuamua jambo kwa maslahi ya watu wengine.
Tuna maprofesa na madakatari Lukuki hapa nchini. Lakini lakini bahati mbaya wanatum,ia Elimu yao bila HEKIMA. Wasomi wengi ni MCHWA TU.
Hivyo si sahihi kudhani shule ndefu ndiyo msingi wa uongozi bora. NOOOOOOO. Ni HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA. mfalme Suleiman alipoulizwa na Mungu ni kupe nini kati ya mali na HEKIMA. Jibu ilikuwa ni HEKIMA. Viongozi wa sasa ambao most of them wanakuwa wasomi wangeuliwzwa swali hilo hata baada ya kusoma vitabu vitakatifu wangejibu NIPE MALI maana wengi wao huabudu mali.
 
Umekosea Stephen Ngonyani hakufika la saba kaishia la 4 walio mchagua wasitarajie lolote la maendeleo kutoka kwake

Anaweza kutumia matunguli yake kuleta maendeleo...usisahau kuwa wateja wake wakuu ni JK na YM ambao wanamuandaa kwa 2015
 
Mgombea mwenza, aka makamu wa rais mtarajiwa (std ii) ndio maana hata hakuwa akisafiri;

Angalizo: NA WA UPINZANI WAMO pia.

Na laiti kama elimu ingelikuwa inafanya kazi yake ipasavyo, maarifa yasingeliwaondoka wasomi wetu but oh no, its not right time to talk about that... hebu fikirieni, pale wasomi wetu wanapokosa maarifa, wakakosa fikra, wakafikiriwa badala ya kufikiri wao, pana faida gani ya elimu kwa mtu asiyejua kesho yake. ambae upeo wake unaishia kuiona leo?:A S angry:
 
wasomi ambao njaa yako imehama tumboni, kwenda vichwani, wasomi ambao badala ya kuwaongoza watu kwenye mafanikio wakiwaongoza watu kwenye uharibifu? wakisha hujisifia usomi wao. TUNATAKA TUONE MFANO SASA, WATEKELEZE WALIYOYAAHIDI ILI WAAMINIKE. TANZANIA NI YA WOTE:smile-big:
 
tatizo linakuja, elimu ni nini? Elimu ni elimu rasmi tu? Elimu inapimwaje? Kwa kazi ya mtu au kwa cheti?

Halafu hata kama mnaongelea elimu rasmi, mbona list ina wabunge wa ccm tu, wa chadema na cuf wako wapi? Sijamuona mnyika pale.

oyaa acha kuyumbisha yumbisha maneno hapa, tunazungumzia vidato vya class, bachelors, masters na phd za ukweli (sio za kujivika kama za mkwere), unaleta porojo porojo mara elimu formal mara elimu dunia..nchi hii tunataka viongozi wenye elimu hiyo unayoiita formal (whatever u call it), ya darasani, wamekalia kulala bungeni na kuafiki kila mswada wanaoletewa...mwakyembe aliiweza tume ilomwondoa lowasa kwa sababu ya vidato vyake, ungemweka mtu kama abood ndo mweneyekiti wa ile tume ungeona huo utumbo..msikilize dr. Slaa, mwakyembe, prof. Mwalyosi, dr. Chami, zito, utaelewa..acheni kutetea vyeti vya la saba na f4, labda uniambie na wewe ni f4 leaver nitajua kwann unatetea na kuleta porojo kwenye mambo ya msingi..
 
tunaweza kuwapima kwa kazi zao, walichofanya na ambacho hawajafanya? Badala ya hii kasumba ya ukoloni mamboleo ya kuhusudu vyeti bila kujali performance ya mtu ?

Kuna watu wengine wana akili sana wanaona kwenda shule kupoteza muda tu.

Hivi john mnyika kaenda chuo gani zaidi ya form six? Lakini ushawahi kumsikia john mnyika aki articulate vitu? Ushawahi kusoma policy analysis za mnyika? He has all the markings of a policy wonk, hana hata degree moja na i doubt kama ana cheti chochote zaidi ya form six, lakini ka invest muda wake katika social causes, kapata elimu dunia kubwa ambayo hata harvard huwezi kuipata.

Ukinipa mtu kama huyu mimi naona ana elimu kubwa sana kumshinda chenge aliyeenda harvard lakini yuko horribly out of touch with wananchi.

Hebu muangalie mnyika anavyo articulate mambo eloquently, with poise and confidence, sasa unataka kuniambia mtu kama huyu kwa mujibu wa list hiyo ya juu hajaelimika?



vyeti kwanza performance itafuata, ila utuonyeshe cheti ambacho ni cha ukweli na sio cha kununua kule washington international university sawa mkuu..
 
Last edited by a moderator:
pointless hatuendi mbali angalia hapa mgombea mwenza wa SLAA ana degree ngapi? mimi na degree zangu siwezi kumpa mtu kura yangu kwa kigezo cha elimu yake!
 
got you,

tuongeze formal education, lakini tusihukumu watu wholly based on formal education, wala tusichague watu kutokana na formal education tu.it is a far more complex equation than that.

kwa nchi yenye mambumbumbu kama hii tunahitaji viongozi waloenda shule na wenye uchungu..kuna waloenda shule na hawana uchungu kama akina chenge n.k. Hapa tunasema tunataka waloenda shule na wenye uchungu..ila lazima wawe wameenda shule ili wasidanganywe...unadhani mbunge la saba anaweza kuusoma na kuuchambua ipasavyo muswada wa sheria fulani ambao umeandikwa kitaalamu??si ataishia tu kusema naunga mkono hoja afu anakaa..uongozi bongo ni pesa, hao waloishia la saba sijui f4 ni wafanya biashara na wamefanikiwa kwenye biashara pamoja na elimu yao ndogo kwa sababu either wana washauri waloenda shule au ni kutokana na mazingira ya biashara bongo ambayo hayajalishi umeenda shule au la..akina akairo et alia,sasa sisi tunawaona wanafaa kutuongoza kwa kuwa wamefanikiwa kibiashara na wametupa kanga na bia..huo ni upuuzi na utumbo wa hali ya juu..na ndo maana kumekuwa na mikanganyiko mara nyingi, wataalamu wanaongea hili wanasiasa wanaongea lile...tunahitaji viongozi wasomi..hata chadema kumuweka mgombea la saba zama hizi walichemsha....
 
Back
Top Bottom