Katika hiyo orodha, nawatetea wawili kwani nina hakika nao.
Aden 'Msomali' Rage - kamaliza Adv. Diploma ya Business, ShyCom miaka ya 70s.
John Komba - kamaliza Cert. ya Ualimu Grade 2 Kleruu miaka ya 80s.
ww usitete kitu usichokijua mbona issue ipo wazi nani CCM wenyewe wametoa majina , umri na elimu zao, NEC inajua pia, magazeti sasa unasema nini? , hao ni SHULELESS