Wajue wabunge VIHIYO wa CCM...

Wabongo ndiyo maana kina Andrew Chenge na mafamba yao ya Harvard wanawafisadi kila siku, tuambie wamefanya au hawajafanya nini, sio wana au hawana vyeti gani.

Watu wa dizaini hii ndio wale ukiwapigia suti kali, umeingia ofisini na mpambe wa kizungu, unawatapeli mpaka unawauzia kiwanja baharini pale Salender Bridge, si unaonekana mtanashati? Wao wanaangalia vitu kwa nje nje badala ya kuangalia undani wa mambo.

Actually kumuita mtu mwenye elimu rasmi ndogo (mkazo upo katika neno rasmi, mtu anaweza kuwa na elimu rasmi ndogo lakini akawa na elimu kubwa, na kuwa na elimu rasmi kubwa na kuwa na elimu ndogo) ... so kumuita mtu mwenye elimu rasmi ndogo Kihiyo ni matumizi mabaya ya hilo neno.

Neno Kihiyo lilianza kutokana kwa bwana Kihiyo aliyefoji vyeti na kujifanya amepata elimu rasmi kubwa kuliko ukweli. Kwa hiyo, hata kama mtu hajaenda shule kabisa, kama hajafoji vyeti huwezi kumuta Kihiyo.

NA WEWE UNAANGUKIA HUMO HUMO NINI, MBONA UMEKUJA JUU HIVYO!!!! ACHA LONGO LONGO SHULE MUHIMU BWANA!:smile-big:
 
Kwanini walifeli hicho kidato cha nne? Si ndio ukihiyo wenyewe huo au huo mwaka hakuna wanafunzi waliofaulu, acha kutetea upuuzi, narudia tena, shule ni muhimu hahsa kwa dunia ya sasa hivi, huo kihiyo wao ndio unaowafanya wajisifie kujenga shule nyingi za kata ambazo hazina walimu na kiwango duni cha elimu, wenyewe hawana elimu wataona umuhimu wa elimu kweli?
 
WW Job K, huamini au, look, go to NEC or CCM hqtrs, na ilitolewa hata kwenye list ya wagombea ubunge, hata mmoja hapo hakuna uongo, trust me, CCM wote na wananchi wanajua, it has been in Newspapers after CCM election for MPs, hatubahatishi, vihiyo hao, najua some watajitahidi kujibu maswali bungeni but it mostly like to be pointless lessssssss..... ila Dunia hii ya sasa lazima uwe na elimu period mengine kudanganyana, labda asitake uongozi akae kwake

Wanaenda kuwa rubber stamps wa hoja za CCM. We are completely lost.
________________________________________________________________
Tiambize Zumbe mwe inu nyika.
 
Mpendanchi-2, Umechemsha, nadhani hukuwa na takwimu sahii, maana kati ya uliowataja, katika orodha yako, kuna wengine wamepiga shule! Mfano Mh. Mtutura Abdallah Mtutura amesoma na amefanya kazi sehemu za uhakuka, kwatarifa yako huyu Mh. ana Advance Diploma katika mambo ya Usafurishaji ambayo aliipata katika chuo cha Taifa cha Usafirishaji mnamo mwaka 1991/94, na kabla ya hapo alikuwa ni mfanyakazi wa shirika la Umeme Tanzania kwa kipindi kirefu katika karakana yao ilyoko Ubungo(wakati huo) ambapo alikuwa kiongozi katika karakana, na ana FTC ya Ufundi wa Magari kama sikosei. Baada ya kutoka Tanesco aliajiliwa katika Shilika la Umoja wa Mataifa(UN) Tanzania kama Mkuu wa Transport and Logistics, kweli ndugu yangu huyu Mh, amemaliza Form 4 au ndo umeamua kumchakachua? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatie! jamaa amepiga shule, jinsi ninavyo mfahamu, si shuleless.
 
Mpendanchi-2, Umechemsha, nadhani hukuwa na takwimu sahii, maana kati ya uliowataja, katika orodha yako, kuna wengine wamepiga shule! Mfano Mh. Mtutura Abdallah Mtutura amesoma na amefanya kazi sehemu za uhakuka, kwatarifa yako huyu Mh. ana Advance Diploma katika mambo ya Usafurishaji ambayo aliipata katika chuo cha Taifa cha Usafirishaji mnamo mwaka 1991/94, na kabla ya hapo alikuwa ni mfanyakazi wa shirika la Umeme Tanzania kwa kipindi kirefu katika karakana yao ilyoko Ubungo(wakati huo) ambapo alikuwa kiongozi katika karakana, na ana FTC ya Ufundi wa Magari kama sikosei. Baada ya kutoka Tanesco aliajiliwa katika Shilika la Umoja wa Mataifa(UN) Tanzania kama Mkuu wa Transport and Logistics, kweli ndugu yangu huyu Mh, amemaliza Form 4 au ndo umeamua kumchakachua? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatie! jamaa amepiga shule, jinsi ninavyo mfahamu, si shuleless.

ww sikiliza, maana ww unafikiria mwisho ya macho yako yanapoona, nenda NEC, CCM hqtrs na hata magazetini walitoa, na ccm wenyewe walitoa, sasa unapinga nini??? umesema kafanya kazi...? kwani failures si watafanya kazi hivyo hivyo tu, wanapewa directions, na ndio maana mashirika yetu kama haya ya tanesco, kiwanda cha magari (kimekufa) yapo hoi, kwa sbb watu hawana sifa ni vihiyo tu, kufanya kazi si hoja ww, kumbuka hapa tunaongelea kiongozi, kuwa mbunge, si jokes unavyofikiria, sasa failures, vihiyos wakiwapeleka shimoni kesho ww unakuwa wa kwanza kulalamika, acha kufikiri mwisho ya macho yako, au na ww ni kundi hilo no dought
 
Kihiyo mwenyewe! Una uhakika na hayo uliandika hapa au umesikia kwenye klabu ya lubisi ndo unakuja kupost huo uchafu wako!! Kama waliishia kidato cha nne na kusoma kozi mbali mbali utawaitaje vihiyo? Acha kabisa!!! Au hujui mtaala wa Tz ukoje? Kuna watu walimaliza kidato cha nne wakaenda kusoma kozi za cheti sasa hivi wako mbali wengine na Wahadhiri vyuo vikuu unataka tukutajie majina kihiyo wewe??

Usichukie au na wewe ni miongoni mwa vihiyo walioorodheshwa. Kihiyo ni kihiyo tu. hatuwezi kuongozwa na darasa la saba na form four. Ndiyo maana nchi haiendelei kwa sababu wanaokaa bungeni hawajui hata wanachojadili. darasa la saba na kidato cha nne wanajua nini. kama ni kozi za kujiendeleza sana sana ni komputa tu ambayo nayo ni elimu ya kuwawezesha kufungua tovuti za ngono tu. ukitaka heshima kasoma darasa. usilete ubishi hapa.
 
mwaka huu mpaka uishe tutaona mengi,nashauri ukaguzi wa vyeti usionee dagaa tu,wakati wakubwa wanajilinda na kila siku wanawaandama masikini kwa ukaguzi,uhakiki.

mfano uanze kwa rais kama alivyotoa mfano kwenye uhakiki wa silaha,tena wafanye hadharani.
bunge na wabunge wakaguliwe pia
baadae aingie makamu,waziri mkuu,mawaziri,makatibu wakuu,wakurugenzi,

hii isiishie hapa,vyama vya watu wenye fani mbalimbali kama vyama vya madaktrai,mainjinia,wanasheria......navyo viitishe vyeti au NECTA iitishe vyeti kupitia vyama vilivyowasajili,iingize katika mfumo,

usafi sio serikalini tu,kuna mwingine yuko.sekta binafsi lakini ana feki
 
Elimu ya msingi ( CCM )
1. Deo Kasenyenda Sanga ( JAH PEOPLE) -Njombe kaskazini, Iringa
2. Lameck Okambo Airo - Rorya Mara
3. Luckson ndaga Mwanjale - kujiendeleza-Mbeya vijijini ( Sijui kamaliza msingi au? )
4. hussein Nassor Amar - Nyang'wale , Mwanza
5. stephen Ngonyani - Korogwe Vijijini, Tanga
6. Lussinde Livingstone J. - Mtera, Dodoma
7. Aeshi Khalfan Hilaly - Sumbawanga mjini, Rukwa


Ungetaja shule na miaka waliyomaliza masomo yao, kuna wengine hapa tunaambiwa walitoroka shule wakiwa darasa la pili
 
Kihiyo mwenyewe! Una uhakika na hayo uliandika hapa au umesikia kwenye klabu ya lubisi ndo unakuja kupost huo uchafu wako!! Kama waliishia kidato cha nne na kusoma kozi mbali mbali utawaitaje vihiyo? Acha kabisa!!! Au hujui mtaala wa Tz ukoje? Kuna watu walimaliza kidato cha nne wakaenda kusoma kozi za cheti sasa hivi wako mbali wengine na Wahadhiri vyuo vikuu unataka tukutajie majina kihiyo wewe??
DUUUH huyu atakuwa ni yule wa mtera maana hanaga lugha za kistaarabu.
 
Hii post is bad!! Aliyeiweka sii muungwana kabisa, sijui alitakaa kuonyesha nini, kwamba??
Hao ma Dr. walioko huko ccm wameifikisha wapi hii nchi???
Elimu rasmi - ya darasani- haiwezi ikawa ndio kigezo pekee cha uongozi bora.

Nakubaliana nawe kuwa hasa kichwa cha habari ni Bad ila content kwangu naona ni sahihi kwa sababu;
1. Kazi ya kwanza ya Bunge ni kutunga sheria, sasa elimu ya darasa la saba ukweli ni kuwa haitoshi kutusaidia kupata hizo sheria nzuri.
2. Wabunge hawa wanatengeneza kamati mbalimbali za Bunge, ambao ndio huwa wanapitia documents mbalimbali na ripoti, kuisimamia serikali na kadhalika. As you know, documents muhimu ziko complicated hata wenye elimu ya juu kupitia mikataba mbalimbali ambayo ni technical ni ishu kubwa. Kumbuka huyu anatuwakilisha sote, walau nadhani ni vyema tuwe na imani kuwa atapitia docs zote kabla ya kukubali au kuzikataa.

Finally nakubaliana nawe pia elimu rasmi sio kigezo pekee cha uongozi bora, lakini ni vyema kuwa nayo kwa sababu kabeba dhamana ya jimbo zima. Akipiga kura ya NDIO kusapoti jambo fulani, walau afanye hivyo akiwa na all facts.
 
WAJUE WABUNGE WALIO NA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI, hawa hapa,!!!!!

Elimu ya msingi ( CCM )
1. Deo Kasenyenda Sanga ( JAH PEOPLE) -Njombe kaskazini, Iringa
2. Lameck Okambo Airo - Rorya Mara
3. Luckson ndaga Mwanjale - kujiendeleza-Mbeya vijijini ( Sijui kamaliza msingi au? )
4. hussein Nassor Amar - Nyang'wale , Mwanza
5. stephen Ngonyani - Korogwe Vijijini, Tanga
6. Lussinde Livingstone J. - Mtera, Dodoma
7. Aeshi Khalfan Hilaly - Sumbawanga mjini, Rukwa

Elimu ya Sekondari. Kidato cha Nne

1. Jeremiah Solomon Sumari Nne/ IV Arumeru Mashariki, Arusha
2. Michael Lekule Laizer Nne/ IV Longido, Arusha
3. Hassasn Mohamed Mgimwa Nne/ IV Mufindi Kaskazini, Iringa
4. Assumpter Nshuju Mshama Nne/ IV Nkenge, Kagera
5. Kifu Gulam H. Shabani Nne/IV Kigoma Kusini, Kigoma
6. Jitu Vrajil Soni Nne/IV Babati Vijijini, Manyara
7. Aziz Mohamed ABOOD Nne / IV Morogoro mjini, Morogoro
8. SHABIBY Ahmed Mabukhut Nne/ IV Gairo, Morogoro
9. Innocent Kalogeris Nne/ IV Morogoro kuisini, Morogoro
10.Abdulsalaam uleiman Sas Nne/ IV Mikumi, Morogoro
11. Abdul Rajabu Mteketa Nne/ IV Kilombero, Morogoro
12. Murji Hasnain Mohamedi Nne/ IV Mtwara Mjini, Mtwara
13. Dunstan daniel Mkapa Nne/ IV Nanyumbu, Mtwara
14. Richard Mganga Ndasa Tatu/ III Sumve, Mwanza
15. Mtutura Abdallah Mtutura Nne/I V Tunduru kusini, Ruvuma
16. Ismail Aden Rage Nne/ IV Tabora, Tabora
17. Said Juma Nkumba Nne/ IV Sikonge, Tabora
18. Sumar Shaffin Mamlo Nne/ IV Tabora kaskazini, Tabora
19. Henry Daffa Shekifu Nne/ IV Lushoto, Tanga
20. Brig. Gen Hassan Ngwilizi Nne/ IV Mlalo, Tanga
21. Idd Mohamed Azzan Nne/ IV Kinondoni, Dar es Salaam
22. Mussa Azzan Zungu Chuo cha anga..!!!?? Ilala, Dar-es-Salaam
23. Mtemvu Abbas Zuberi Nne/IV Temeke, Dar-es-Salaam
24. Faith M. Mitambo Nne/ IV Liwale, Lindi
25. Mohamedi Abdulazizi Nne/ IV Lindi Mjini, Lindi - Hakupita
26. Abdulkarim E. Shaha Nne/ IV Mafia, Pwani
27. Malocha Aloyce Ignace Nne/ IV Kwela, Rukwa
28. Ally Mohd Kessy Nne/ IV Nkasi kaskazini, Rukwa
29. Deusderius Mipata Nne/ IV Nkasi kusini, Rukwa
30. Nchambi Seleman Massoud Nne/ IV Kishapu, Shinyanga
31. James Daudi Lembeli Nne/ IV Kahama, Shinyanga
32. Ahmed Ally Salum Nne / IV Solwa, Shinyanga
33. Christopher Ole Sendeka Nne/IV Simanjiro, Manyara
34. Kisena Robert simon Nne/ IV Maswa Magharibi, Shinyanga

35. Sebastian simon Kapufi Sita / VI Mpanda kati, Rukwa
36. Bwanausi dismas Jerome Sita/ VI Lulindi, Mtwara
37. Dickson Modestus Kilufi Sita/ VI Mbarali, Mbeya
Lakini mkuu hao hapo juu wa darasa la saba mbona wanakimbiza kuliko hao wa form 4!!hata majimbo wanaoongoza mbona ni majimbo matata sana!!
 
Back
Top Bottom