Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Under certain circumstances ambazo viumbe hawa wawili walizilazimisha,malaika na binadamu hujamiiana,lakini ifahamike kuwa this is very abnormal and cursed stuff na kuna athari kubwa spiritual and physical kwa wote wawili lakini balaa kubwa ni hicho kinachotoka hapo!sijapata neno zuri la kiswahili kwa offspring hiyo zaidi ya neno JINI!binafsi nimewahi kuona majini at 100 meters from where i was standing kwa macho yangu usiku wa manane wakati wa tambiko milimani somewhere in this earth!uzoefu ule unanifanya nisipuuzie hata nukta ya mambo haya.kwenye biblia kuna kipande kimoja huwa kinapewa maana ndivyo sivyo.just read it and try to understand it literally wala usitie maono yako kichwani,MWANZO 6:1-8,"Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri,wakajitwalia wake wowote waliowachagua.BWANA akasema,Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele,kwa kuwa yeye naye ni nyama,basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.Nao Wanefili(nephilims)walikuwako duniani siku zile,tena,baada ya hayo,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu,wakazaa nao wana,hao ndio waliokuwa watu hodari zamani,watu wenye sifa.BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani,akahuzunika moyo.BWANA akasema,nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi,mwanadamu na mnyama,na kitambaacho na ndege wa angani,kwa maana naghairi kwamba nimewafanya.Lakini Nuhu akapata neema machoni pa BWANA."hawa wanaitwa WANA WA MUNGU ndio waanzilishi wa cursed bloodline ambayo 13 illuminati families including Rockefellers zinatokea!marehemu sheikh Yahya aliposema kuwa kuna viongozi wakubwa duniani ambao si binadamu kama wanavyoonekana,wengi tuliona ni riwaya za kishirikina.marehemu Hugo Chavez siku moja baada ya Bush kuhutubia UN pale New York,alisimama pale pale kwenye kibweta ili na yeye ahutubie akasema,"nasikia harufu,shetani alikuwa kasimama hapa jana",tunadhani watu hawa huwa wanaongea mafumbo lakini sometimes huwa wanamaanisha wanachokisema kwa kuwa na ufahamu ambao watu wengi hawana.leo hii kila kitu kinakuwa centralized electronically!bank accounts,IDs,health cards,insurance cards,hata wafanyabiashara hapa bongo wanaambiwa kujiandaa na electronic machines zitakazotrack kila transaction wanayofanya na kutuma habari moja kwa moja taarifa zao TRA na Benki kuu.dunia nzima revolution hii inaendelea taratibu.kuna siku data zako zote zitaunganishwa ndani ya ID moja tu ambayo utaitumia kila mahali hata hospitali ID hiyo itasema hadi ugonjwa unaokusumbua.iko pale Massachusets institute of technology ikiwa developed kwa siri!nzuri eti eeh?mwisho wa kubeba lundo la vitambulisho au sio?well,upande huo mtamu kweli,turudi upande wa pili,hiyo ID ni microchip ndogo saana itakayowekwa kwenye paji la uso wako kwa kuingizwa na sindano na ina uwezo wa kusoma mwili wako kwa kutumia electrical signals kwenye nerves za fahamu,ikatoa habari zako nje ya mwili.what they are working on now ni kuifanya chip hiyo kuweza kuziamuru electrical signal za nerves zako kwa commands toka kwenye computer nje ya mwili,why?!ili iweje?nani mfadhili na mwanahisa mkubwa wa Massachusets institute of technology?unamjua?...ROCKEFELLER FOUNDATION!ni zaidi ya uwajuavyo!iwe ni dini,historia,sayansi,utamaduni vyote vinatoa habari ya uwepo wa interaction hii ya binadamu na majini physically!but only serious researcher ndio hujua mambo haya!yanafichwa kwa vile yana umuhimu mkubwa kwa wanaoyaficha na wanaofichwa!ukienda India ukakuta mhindi kasimamisha sanamu ya jitu kubwa anaiabudu,usimcheke,muulize historia ya imani yake,ukija africa ukakuta watu wanaabudu miti mikubwa usishangae,muulize kwa nini?ukienda mapango ya Amboni ukakuta michoro ya helikopta wakati walioichora waliishi kabla ndege haijagunduliwa usishangae,TAFAKARI!

asante
 
mkuu mengi uliyoyasema ni kweli ila tu kwa kuongezea ni kuwa Rockafeller family kama unavyosema ni moja ya familia iliyotajirika kwa uwekezaji wa Rothchilds family kwa US. kipindi John D. Rockafeller anatajirika mikopo ya biashara zake alipata kutoka katika mabenki ya Rothchilds family ( Citi Bank, JP Morgan) hayo ndio yaliyoprovide mitaji katika biashara za Rockafeller.

Rothchilds ndio wanao control Reserve bank of America kwa kushirikiana na Rockafeller na ndio wanaolipwa pesa nyingi na central bank ya UK kwa mikopo waliotoa wakati wa vita enzi zile.

Kwa kukumbusha tu ni kuwa hata ardhi ya Israel ya sasa ilinunuliwa na familia ya Rothchilds ( kwani hawa wote ni wayahudi) na ndio walioleta mpango wa UN ( makao makuu ya UN ni ardhi iliyotolewa na Rockafeller bule kwa ajili ya ujenzi wa makao makuu).

na kingine kumbuka huu mfumo wa benki tulizonazo ni mfumo ulioanzishwa na babu yao Rothchilds ndio maana wana-control ya benki nyingi duniani. Na wana-control kwa kutumia mfumo wa gold ( rejea utajiri wa central banks zote duniani hutambuliwa kwa reserve ya gold uliyonayo benki). na hata makampuni mengi makubwa ya kuchimba dhahabu huwa ni ya kwao. (barrick gold soma wamiliki wake).

kwa nini wanasema Rothchilds wanatawala hii dunia? ni kwamba wanatoa mikopo mingi sana kwenye mataifa almost 75% ya dunia hii ikiwemo US, UK, France, German na ulaya yote kwa ujumla na hutoa mitaji ya biashara nyingi duniani kwa kutumia watu na familia mbali mbali.( Rockafeller, Ford family). na hii ndio maana mataifa yote makubwa hulinda Israel kwani ndio msingi wa utajiri wao.

labda tu kwa kumalizia ni kuwa familia ya rothchilds haiwezi kufilisika labda dunia yote imefilisika na kubadili mifumo yote ya biashara. na tatizo lingine ni kuwa huwa hana-control information zote zinazohusu utajiri wao kwani mashirika makubwa ya biashara duniani ni sehemu ya miliki zao (Reuters).

kwa habari zaidi tafuta family history ya Rothchilds na jinsi walivyotoa mikopo kwenye biashara za vita kwa mataifa ya ulaya. kwani baba yao aliamini na alifanya biashara zaidi wakati wa vita kwani mataifa mengi yalienda kukopa kwao ili yapigane vita.
 
Hujajibu swali, that much is clear.

Imetolewa na nani? inapatikana wapi? ina authority gani?

List inayojulikana na kuwa quoted the most - rightly or wrongly- ni ya Forbes. Ambayo haijawahi kuripoti mtu kufikisha net worth ya 100 billion US dollars.

Huyu Rockefeller mwenye net worth ya dola bilioni 663 karipotiwa na list gani? Inaitwaje? Inapatikana wapi?

Na hizi dollar ni dollar gani?

Maana isije kuwa tunaongelea dollar za Zimbabwe hapa.

Forbes huwa wanatoa net worth za watu binafsi au za familia? huyu Jamaa kaizungumzia Rockafeller kama familia.
 
Net worth $663.4 billion in 2007 dollars, according to List of wealthiest historical figures, based on information from Forbes – February 2008
Source wikipedia

1. Hizi habari za "net worth of so and so in 2007 dollars" is murky unless the accounting method is revealed.
2. The Rockafelleer Wiki is here , I am not seeing those figures, where are you getting those figures?3. What exactly constitute a "family"? Are we talking about the nucleus family or including extended family?
 
Forbes huwa wanatoa net worth za watu binafsi au za familia? huyu Jamaa kaizungumzia Rockafeller kama familia.

Halafu hatujaambiwa familia ni "nucleus family" au extended family au mpaka extended family ya extended family?

Halafu mmoja anatuambia

DID YOU KNOW THAT JOHN D ROCKAFELLER'S NET WORTH ILIKUWA $663.3 BILLION IN 2007

Wakati mwingine anatuambia

Net worth $663.4 billion in 2007 dollars

Halafu hatujaambiwa figures zimekuwa calculated vipi, na kwa nini Mansa Musa aliyegawa dhahabu hapo Cairo mpaka kuishusha bei yake kwa miaka hayumo kwenye hii list.
 
Halafu hatujaambiwa familia ni "nucleus family" au extended family au mpaka extended family ya extended family?

Halafu mmoja anatuambia



Wakati mwingine anatuambia



Halafu hatujaambiwa figures zimekuwa calculated vipi, na kwa nini Mansa Musa aliyegawa dhahabu hapo Cairo mpaka kuishusha bei yake kwa miaka hayumo kwenye hii list.

Amesema familia iliyokuwapo enzi na enzi sasa sijui unataka clarification of nucleus vs extended family ya nini?
 
Amesema familia iliyokuwapo enzi na enzi sasa sijui unataka clarification of nucleus vs extended family ya nini?

Enzi na enzi ni muda, nucleus vs extended ni ukubwa gani unaangaliwa (kama baba mama na watoto wa line moja au mpaka mjomba shangazi na shemeji).

Zote mbili (nucleus and extended) zilikuwepo enzi na enzi, kwa hiyo suala la enzi na enzi ni moot, if not outright irrelevant.
 
Enzi na enzi ni muda, nucleus vs extended ni ukubwa gani unaangaliwa (kama baba mama na watoto wa line moja au mpaka mjomba shangazi na shemeji).

Zote mbili (nucleus and extended) zilikuwepo enzi na enzi, kwa hiyo suala la enzi na enzi ni moot, if not outright irrelevant.

Anamaanisha utajiri uliorithishwa kizazi kimoja kwenda kizazi kingine toka miaka mingi iliyopita.
 
Anamaanisha utajiri uliorithishwa kizazi kimoja kwenda kizazi kingine toka miaka mingi iliyopita.

Kizazi kimoja kwenda kizazi kingine kwa maana ya kizazi nucleus au extended? Hujajibu hilo swali.

Hata ukoo unaweza kurithishana mali kizazi kwa kizazi. Which family is rferred to here? The nucleus or the extended? Do you know the difference betwen the nucleus and the extended family?
 
Kizazi kimoja kwenda kizazi kingine kwa maana ya kizazi nucleus au extended? Hujajibu hilo swali.

Hata ukoo unaweza kurithishana mali kizazi kwa kizazi. Which family is rferred to here? The nucleus or the extended? Do you know the difference betwen the nucleus and the extended family?

May be I do not know, but nucleus ends at Father, Mother and children. when you start including the grand fathers, sons .... then you have the extended. what is your position?
 
1) Rockafeller ndiyo waliliangusha jengo la World Trade Center?

2) Rockafeller ndiyo waliwaweka madarakani kina Kennedy, Bush, Clinton, Obama?
 
May be I do not know, but nucleus ends at Father, Mother and children. when you start including the grand fathers, sons .... then you have the extended. what is your position?

Swali lako linaturudisha katika swali langu.

Tunaposema "Rockafeller family" katika mantiki ya uzi huu tunamaanisha nini? Tunamaanisha kwamba John D. Rockefeller na mke na watoto wake au kuanzia na patriarch mwingine aliyekuwapo kabla ya John D?

Tunapoongelea the JFK family fortune tunawaongelea JFK, JFK Jr., Caroline na Jackie O tu au Joe Kennedy, Rose Kennedy, Joe Kennedy Jr, RFK, Ethel Ted na watoto wengine wa Joe na wake zao nao wanaingia?
 
Swali lako linaturudisha katika swali langu.

Tunaposema "Rockafeller family" katika mantiki ya uzi huu tunamaanisha nini? Tunamaanisha kwamba John D. Rockefeller na mke na watoto wake au kuanzia na patriarch mwingine aliyekuwapo kabla ya John D?

Tunapoongelea the JFK family fortune tunawaongelea JFK, JFK Jr., Caroline na Jackie O tu au Joe Kennedy, Rose Kennedy, Joe Kennedy Jr, RFK, Ethel Ted na watoto wengine wa Joe na wake zao nao wanaingia?

Kama yupo basi ni kuanzia kwa patriach aliye au waliokuwapo na vizazi vilivyofuatia.
 
Back
Top Bottom