kama ninavyojua mm ni kwamba kwa hapa udsm carryover na supp is the same kwa sababu zote humsababishia mwanafunzi kuwekewa C*.mwanzoni ilikuwa ni tofauti kwani ulikuwa ukipata carryover unaanza kusoma kozi upya na kupata maksi za kawaida ila nw mambo ni tofauti hakuna cha supp wala carr yote ni sawa 2 katika performance.