Wajameni! Ku'sapu' na ku'carry' kunashusha G.P.A?

Wajameni! Ku'sapu' na ku'carry' kunashusha G.P.A?

Ishaaz

Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
21
Reaction score
5
Hiv ukipata sapu au ukicarry g.p.a yako inashuka?? na je hvyo vitu viwili i mean hyo sapu na kucarry vinaweza kusababisha usipate kazi ama kuajiriwa?? Tuambizane wadau
 
sikiliza nikwambie my dear. ukipata sapu ukafanya hiyo pepa, hata upate A kupitia usahihishaji wa mwalimu wako, bado itaandikwa C, which means iwapo ungekomaa katika mtihani ukapata B au A, ingekuwa safi sana ktk GPA yako. Sasa kwa upande wa kucarry, ni kwamba ukicarry maana yake unaanza upya kufanya somo hilo,ambapo itakubidi uingie darasani kuhudhuria lectures, utafanya assgnts, tests,(hadi ada unalipa tena) nk, na mwisho utafanya UE, so hapo ukipata A inakuwa A hiyohiyo, B, C, zote zinakuwa zinabaki km zilivyo ila ukifeli tena, basi unasapu na ukizidisha vyote kusapu na kucarry jua kabisa kuwa shule imeshindikana kwa upande wako na chuo kinakusaidia kwa kuku-DISCONTINUE!!! muhimu kwa wanafunzi, jamani SOMENI SANA kufaulu si lele mama! muwe serious na shule.
Hiv ukipata sapu au ukicarry g.p.a yako inashuka?? na je hvyo vitu viwili i mean hyo sapu na kucarry vinaweza kusababisha usipate kazi ama kuajiriwa?? Tuambizane wadau
 
Supp inapunguza Gpa ila carry haipunguzi kwa maana ukipata A unawekewa A yako kama ilvo supp hata upge A utawekewa C tu..carry au supp hazikuzui kuajiriwa kijana so ondoa hofu.over

gud! U such a kind guy
 
Sio mara zote ku-supp au ku-carry kuna shusha GPA; Kwa kuwa GPA inategemea number of factors ikiwemo unit ya somo. Kwa mfano, umepata supp ya somo ambalo unit yake ni 1, na kwenye masomo ambayo unit zake ni 3, 4, 5 na kuendelea umepata A au B+, ni dhahiri GPA yako itakuwa juu hata kama utakuwa na supp au uta-carry.
 
sikiliza nikwambie my dear. Ukipata sapu ukafanya hiyo pepa, hata upate a kupitia usahihishaji wa mwalimu wako, bado itaandikwa c, which means iwapo ungekomaa katika mtihani ukapata b au a, ingekuwa safi sana ktk gpa yako. Sasa kwa upande wa kucarry, ni kwamba ukicarry maana yake unaanza upya kufanya somo hilo,ambapo itakubidi uingie darasani kuhudhuria lectures, utafanya assgnts, tests,(hadi ada unalipa tena) nk, na mwisho utafanya ue, so hapo ukipata a inakuwa a hiyohiyo, b, c, zote zinakuwa zinabaki km zilivyo ila ukifeli tena, basi unasapu na ukizidisha vyote kusapu na kucarry jua kabisa kuwa shule imeshindikana kwa upande wako na chuo kinakusaidia kwa kuku-discontinue!!! Muhimu kwa wanafunzi, jamani someni sana kufaulu si lele mama! Muwe serious na shule.

hili ndo jibu sahihi!
 
Sio mara zote ku-supp au ku-carry kuna shusha GPA; Kwa kuwa GPA inategemea number of factors ikiwemo unit ya somo. Kwa mfano, umepata supp ya somo ambalo unit yake ni 1, na kwenye masomo ambayo unit zake ni 3, 4, 5 na kuendelea umepata A au B+, ni dhahiri GPA yako itakuwa juu hata kama utakuwa na supp au uta-carry.

na ktk cheti chako wanaweka indicators kama ulisapu ama ulicarry?
 
na ktk cheti chako wanaweka indicators kama ulisapu ama ulicarry?

Definately. Kwa wale wenye supp cheti uwekwa star juu ya grade C. Kwa wale walio carry uwa inaandikwa carry over pamoja na grade yake (kama ni A, B+, B nk).
 
Sio mara zote ku-supp au ku-carry kuna shusha GPA; Kwa kuwa GPA inategemea number of factors ikiwemo unit ya somo. Kwa mfano, umepata supp ya somo ambalo unit yake ni 1, na kwenye masomo ambayo unit zake ni 3, 4, 5 na kuendelea umepata A au B+, ni dhahiri GPA yako itakuwa juu hata kama utakuwa na supp au uta-carry.

mkuu hiki chuo gancha wedding nn?mm sijawai sikia na nafikiri sitakuja sikia kwa mwingine zaidi yako kwan ww unapozungumzia unit kwa uelewa wako maana yake nn.dogo uliyeuliza swali majibu ya wadau hapo juu yapo sahihi kabisa sup inashusha GPA kama uwezo wako wa kawaida ulikuwa kupata zaidi ya C wakat carry unapata ulichokipata yani kama A basi watakuwekea A japo na kushauri usi interntain hivi vitu maana kama carry inakuongezea workload ktk masomo
 
Definately. Kwa wale wenye supp cheti uwekwa star juu ya grade C. Kwa wale walio carry uwa inaandikwa carry over pamoja na grade yake (kama ni A, B+, B nk).

nimepitia usahili wa wengi ambapo najua walikuwa na su lakin siku hizi naona hawaweki nyota
 
mkuu hiki chuo gancha wedding nn?mm sijawai sikia na nafikiri sitakuja sikia kwa mwingine zaidi yako kwan ww unapozungumzia unit kwa uelewa wako maana yake nn.dogo uliyeuliza swali majibu ya wadau hapo juu yapo sahihi kabisa sup inashusha GPA kama uwezo wako wa kawaida ulikuwa kupata zaidi ya C wakat carry unapata ulichokipata yani kama A basi watakuwekea A japo na kushauri usi interntain hivi vitu maana kama carry inakuongezea workload ktk masomo

Kwa bahati mbaya mimi uwa sibishani na wapuuzi. Samahani sana kama nimekutatiza.

Eti hujui impact ya unit ya somo kwenye ku-calculate GPA?! OMG, what a jerk?!
 
Hiv ukipata sapu au ukicarry g.p.a yako inashuka?? na je hvyo vitu viwili i mean hyo sapu na kucarry vinaweza kusababisha usipate kazi ama kuajiriwa?? Tuambizane wadau

Yes ivyo vyote vinachangia kwa kiasi kikubwa kushuka kwa GPA yako sababu kila somo unalosapu inamaana lipo chini ya C so GPA lazima ishuke na ukiwa unacheza above C that means utakua unazikwepa izo sapu na GPA itakua inapanda (the way performance of your subjects increase,GPA increase 'n the way performance dencrease GPA dencrease too)
 
Kwa bahati mbaya mimi uwa sibishani na wapuuzi. Samahani sana kama nimekutatiza.

Eti hujui impact ya unit ya somo kwenye ku-calculate GPA?! OMG, what a jerk?!

ni kweli bahati mbaya sana ndo maana umebaki n aujinga wako wa kutoelewa vitu matokeo yake unadanganya watu humu na mashaka hata na elimu yako maana hata maana ya unit hujui.usifikiri kwakuwa wote ccm nitakuunga mkono kwa hata yasiyo na maana
 
sup inashusha gpa coz ukifanya mtihani wa sup matokeo yake ni c hata km ulitakiwa kupata A but kucarry means umefanya sup lakini haukufauru so unatakiwa uanze kusoma hilo somo upya frm the beginning means all lectures na ukifanya UE marks utakayopata ndo utakayojaziwa
 
Back
Top Bottom