sikiliza nikwambie my dear. ukipata sapu ukafanya hiyo pepa, hata upate A kupitia usahihishaji wa mwalimu wako, bado itaandikwa C, which means iwapo ungekomaa katika mtihani ukapata B au A, ingekuwa safi sana ktk GPA yako. Sasa kwa upande wa kucarry, ni kwamba ukicarry maana yake unaanza upya kufanya somo hilo,ambapo itakubidi uingie darasani kuhudhuria lectures, utafanya assgnts, tests,(hadi ada unalipa tena) nk, na mwisho utafanya UE, so hapo ukipata A inakuwa A hiyohiyo, B, C, zote zinakuwa zinabaki km zilivyo ila ukifeli tena, basi unasapu na ukizidisha vyote kusapu na kucarry jua kabisa kuwa shule imeshindikana kwa upande wako na chuo kinakusaidia kwa kuku-DISCONTINUE!!! muhimu kwa wanafunzi, jamani SOMENI SANA kufaulu si lele mama! muwe serious na shule.
na ktk cheti chako wanaweka indicators kama ulisapu ama ulicarry?
Na kwa nini utake kuajiriwa!!??
Sio mara zote ku-supp au ku-carry kuna shusha GPA; Kwa kuwa GPA inategemea number of factors ikiwemo unit ya somo. Kwa mfano, umepata supp ya somo ambalo unit yake ni 1, na kwenye masomo ambayo unit zake ni 3, 4, 5 na kuendelea umepata A au B+, ni dhahiri GPA yako itakuwa juu hata kama utakuwa na supp au uta-carry.
No utawekewa C ya kwaida na sio katika cheti ni kwenye transcript.
Heri yenu wenye koz zenye unit kubwa hivyo, hapa kwetu unit kubwa sana 2.
Na kama ukiwa na g.p.a ndogo lk 2 hv...je unaweza ukaipandisha mpk 3 hv, kama ukikaza msuli lkn?? je inawezekana kuipandisha kutoka g.p.a ndogo mpk kubwa
napita tu
inawezekana kabisa mkuu tena ni wewe tu kukazana kitabu.ila mwangalie majibu ya HAMY-D tango poli ilo sijui kasoma chuo gan maana hata anachokiandika hakijui
Hebu jaribu upate hizo supp na Carry halafu uangalie mwenyewe....
Na kama ukiwa na g.p.a ndogo lk 2 hv...je unaweza ukaipandisha mpk 3 hv, kama ukikaza msuli lkn?? je inawezekana kuipandisha kutoka g.p.a ndogo mpk kubwa