singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,538
imfikie FaizaFoxy wa Mt. Udowe, DSM
usitudhalilishe waislam labda achuguliwe na mashehena
imfikie FaizaFoxy wa Mt. Udowe, DSM
Kitimoto sio kigezo cha ukristu.Ficha upumbavu wako kuna wakristu wenye imani kuliko wewe hawali kitimoto.
Mufti yupo kutumikia uislam na waislam,kusoma na kuandika anajua isipokuwa kilatini.
Angalia akili za LB7, ungekuwa na akili ungesema Kitimoto sio kigezo cha Uislamu. Kuna Waislamu wenye imani na tunapiga nao mnyama kama kawaida..
Hata mume wa kiislam ukitaka utampata
hahaah! msingekubali ujio wake. tena masheikh walimfurahia kweli!usitudhalilishe waislam labda achuguliwe na mashehena
Jenga hoja, matusi hayakusaidii ni kwa ajili ya watu waliokosa hoja.
Usichanganye mambo Uarabu na Uislam ni vitu viwili tofauti. Papa alikwenda nchi gani ya Kiislam?Sijawahi kumwona mtu tahira kama wewe yaani umejenga chuki na dk Slaa utafikiri huyu jamaa amekufanyaje ? Hivyo ndivyo mungu wenu Wa waarabu anawafundisha ? Juzi hapa Papa kafanya ziara kwenye nchi za kiislam na wamempokea kaenda Palestina,Turkey na Jordnan pia kakutana na mashee na viongozi Wa kiislaam wameongea mambo mengi sana,wewe unajifanya uislam ni Wa kwako,mjuaji,unakejeli,unamtukana Silaa maskini mtu mwenyewe hajawai kukuvunjia eshima hakujui,unajuaje na yeye kesho akislim,mwanamke una roho mbaya utafikiri wewe ndo uislam,mbona wewe Muislam Silaa kakuzuia usiwe Muislam ?? Kwahiyo yeye kuwa Padri ni kosa ?? Padri Wako wangapi nchi hii ?? Kwanini ni silaa tu, wewe ni kenge tu Gaidi wewe,inaonekana ukipata muda unaweza kumuua kwa chuki ambzo hazina akili timamu za kukaririshwa misikitini na matahira kama wewe!!
Kamanda unanitajia kiongozi wa Bakwata teh teh teh lini Padre anachukuwa fomu?Akiutaka atasema. Kwani kiongozi mkuu wa Waislam Tanzania, Mufti Simba angekuwa anaweza kusoma na kuandika angetaka urais tusingempigia kura?
Kuambiwa wewe kuwa na mume ni tusi hapana hamna tusi hapo.Jenga hoja, matusi hayakusaidii ni kwa ajili ya watu waliokosa hoja.
Waiclamu wapi,mbona mimi muiclamu nasi mkubali Lowasa.wanae mkubali wana maslai nae.
Umeshaambiwa haijalishi, mwaka huu lazima tupate kiongozi awe Dr. Slaa, Membe, EL au Magufuli hatujali. Hatuangalii pia anatupia Kitimoto kwa kiasi gani.. Pole
Akiutaka atasema. Kwani kiongozi mkuu wa Waislam Tanzania, Mufti Simba angekuwa anaweza kusoma na kuandika angetaka urais tusingempigia kura?
Kuambiwa wewe kuwa na mume ni tusi hapana hamna tusi hapo.
Soma mada inasemaje na weka nilichoandika mimi kwenye huu uzi kikakukwaza, au unaogopa jina tu?
Mada inasema waislamu wamesalimu amri kwa Mkuu EL, wewe umekomaa na Dr. Slaa wakati mada haimuhusu kama sio kuchanganyikiwa na chuki binafsi ni nini? Una hasira za kutelekezwa au ndoa za utotoni?
Mada inasema waislamu wamesalimu amri kwa Mkuu EL, wewe umekomaa na Dr. Slaa wakati mada haimuhusu kama sio kuchanganyikiwa na chuki binafsi ni nini? Una hasira za kutelekezwa au ndoa za utotoni?
Hata u twist vipi maneno yako huwezi kuukimbia ukweli, hakuna ataepata Urais nchi hii bila kura za Waislam, na Waislam si rahisi kumpa kura mtu kama Padri Slaa, kwanza maadili yake ni nil, zero, kaput. Sijuwi ni Muisla gani ataekubali kununuliwa na huyu babu mkosa maadili.
Chadema kwa kifupi hamna bao mwaka huu, kwisha kabisa. Zitto mtamjuwa jina la utoto anaitwa nani.