Waislamu Waazimia Kumuunga Mkono Lowassa!

Waislamu Waazimia Kumuunga Mkono Lowassa!

lazaboni,

Tafuta uzi humu JF ulioandikwa "Chimbuko la utajiri wa Lowassa....

Mimi sio TeamLowassa...ila nilichoweka hapa ndio uhalisia wa mambo uliokuwa ukiendelea huko Arusha.

Bila chenga mwenyw umemkubali. Mkuu yule Jembe
 
Last edited by a moderator:
Team Lowassa wote sasa mmesha resign kuipigia kelele ACT sasa mmerudi kwa EL.. Kuipigia kelele ACT yalikuwa maagizo ya Boss wenu Lowassa au??

Najaribu tu kuconnect dots..
 
Km waislamu wanampenda basi abadili dini na wamuweke kuwa shekhe kiongozi.
Lowassa kamwe c kiongozi mzuri, kinachowasumbua watu ni pesa zake. Wakati kikwete anagombea kuna wazee waliona c kiongozi anayefaa kwa nafasi ile lkn watu wakampenda na waliompenda ndo leo kila korna utawasikia wakilalamika kuhusu J.k ndivyo hivyo mtakavyo lalamiko baadae km Edo ataurithi kiti hicho.

Niwashangaa watu kumuona mtu anafaa kuwa rais kwa sababu anachangia pesa nyingi kwenye harambee! Ni sawa na kumsifia aliyekuibia pesa nyingi anapokupa zawadi ya nguo bila kukumbuka km alishakuchukulia pesa zaidi.
 
Wakristo walikuwepo wengi tu. Pia mbunge Lema nae alikuwepo pia na alitoa kiasi cha milion moja kama mchango wake kwenye harambee hiyo.
labda kwa wasiokujua
Muda: Siku 30 (+5)

Sababu: Kuanzisha thread za uwongo kadhaa siku ya leo, akijiita "SimbaKibogoyo"

Kilichotokea: JF imefuatilia mwenendo wa mhusika chini ya ID mpya, ikabainika katika habari 3 anazoleta, walau 1 ni uwongo uliopangiliwa kwa ustadi (mara kadhaa). Mdau ameitumia vibaya fursa ya kuwa na ID mbadala, hivyo fursa hii hataipata tena.

Ushauri: Wadau, tuepuke kuanzisha uzushi na kuuremba; haisaidii zaidi ya kuharibu misingi tuliyojiwekea. Ni vema kusoma Topic gani hufungwa au kufutwa kabisa JF? ili kuepuka kujikuta unafungiwa au thread/post yako inaondolewa. Tutaendelea kuwa tunafuatilia threads za namna hii kwa ukaribu zaidi

Asante
 
Hakuna mgombea ambae ana nia kweli ya kuchaguliwa kwenye ngazi yoyote ile atazibeza kura za Waislam. Kumbuka hilo.

Hata ex Padri Slaa akiteuliwa kuwa mgombea Urais leo hii utamuona atavyojipendekeza kwa Waislam na utanikumbuka kwa hili, kwani ni mbali?

Yap nakubaliana na wewe ukitaka kuzoa kura kirahisi zipo kwa waislam. Waislam ni watu wepesi sana wa kufanya maamuzi na mara zote wanakuja kutafakari baada ya maamuzi , ndio maana ni rahisi kudanganywa. Ccm miaka yote wamefanya waislam kama store ya kura zao ikifika uchaguzi wanawatwist kidogo wanazoa kura maisha yanaendelea. Sio mbaya na wapinzani wakijifunza kutumia awa watu.
 
Team Lowassa wote sasa mmesha resign kuipigia kelele ACT sasa mmerudi kwa EL.. Kuipigia kelele ACT yalikuwa maagizo ya Boss wenu Lowassa au??

Najaribu tu kuconnect dots..

Ata mimi nimeliona hilo team lowassa ndio act members wengi.. Sijajua hizi pande mbili zinashabiianaje.
 
Ata mimi nimeliona hilo team lowassa ndio act members wengi.. Sijajua hizi pande mbili zinashabiianaje.

EL=ACT...

Wakati A.yatollah yupo kazini Thread za EL zilipotea na hata yeye mwenyewe alipotea kwenye vyombo vya habari na washawishi pia walipotea.. Sasa A.yatollah kapigwa pini kutokana na kazi isiyoridhisha wanalilia kuingia UKAWA. Huku upande mwingine Mzee EL akianza kazi rasmi tena
 
Yap nakubaliana na wewe ukitaka kuzoa kura kirahisi zipo kwa waislam. Waislam ni watu wepesi sana wa kufanya maamuzi na mara zote wanakuja kutafakari baada ya maamuzi , ndio maana ni rahisi kudanganywa. Ccm miaka yote wamefanya waislam kama store ya kura zao ikifika uchaguzi wanawatwist kidogo wanazoa kura maisha yanaendelea. Sio mbaya na wapinzani wakijifunza kutumia awa watu.

Hata u twist vipi maneno yako huwezi kuukimbia ukweli, hakuna ataepata Urais nchi hii bila kura za Waislam, na Waislam si rahisi kumpa kura mtu kama Padri Slaa, kwanza maadili yake ni nil, zero, kaput. Sijuwi ni Muisla gani ataekubali kununuliwa na huyu babu mkosa maadili.

Chadema kwa kifupi hamna bao mwaka huu, kwisha kabisa. Zitto mtamjuwa jina la utoto anaitwa nani.
 
Hata u twist vipi maneno yako huwezi kuukimbia ukweli, hakuna ataepata Urais nchi hii bila kura za Waislam, na Waislam si rahisi kumpa kura mtu kama Padri Slaa, kwanza maadili yake ni nil, zero, kaput. Sijuwi ni Muisla gani ataekubali kununuliwa na huyu babu mkosa maadili.

Chadema kwa kifupi hamna bao mwaka huu, kwisha kabisa. Zitto mtamjuwa jina la utoto anaitwa nani.

Yote heri awe Bernard, awe Willbroad, awe Edward kwetu yote heri tu. Waislam kura watazitoa tu wapende wasipende. Wanalo safari hii.
 
Yote heri awe Bernard, awe Willbroad, awe Edward kwetu yote heri tu. Waislam kura watazitoa tu wapende wasipende. Wanalo safari hii.

Kura tutapiga tu, hakuna wakutuzuwia, lakini Padri Slaa hatumpi kura zetu, ajitayarishe kuwa msindikizaji tu. Kumbuka hilo.
 
Back
Top Bottom