MPIGA ZEZE
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 2,539
- 2,297
kwa wabongo wa HAMY-D type unahitaji uwe na ubwabwa kidogo, soda ya kusindikizia ubwabwa, pengine takrima ya buku kama tano, fulana na kanga unakuwa umemaliza kazi. Kwa bahati mbaya ndio wapiga kura walio wengi. Hapa hakuna cha Waislamu wala Wasabato Masalia. Hii imetokea tu kwa bahati nasibu kwa tukio la leo location ikawa msikitini.