Waislamu Waazimia Kumuunga Mkono Lowassa!

Waislamu Waazimia Kumuunga Mkono Lowassa!

Hakuna mgombea ambae ana nia kweli ya kuchaguliwa kwenye ngazi yoyote ile atazibeza kura za Waislam. Kumbuka hilo.

Hata ex Padri Slaa akiteuliwa kuwa mgombea Urais leo hii utamuona atavyojipendekeza kwa Waislam na utanikumbuka kwa hili, kwani ni mbali?

Na mwaka huu rais lazima awe mkristo, na lazima kura umpigie, utakoma kuringa.
 
Waisalam ifike mahala wajue kuwa adui wao number moja ni wale WALAO MAHARAGE na kuhisi kuwa wanahati miliki ya kutawala nchi hii ... Kila la Kheri Lowassa ... Waislam tunaamini chini yako dhulma dhidi ya Jamii ya kiislam itatokomezwa nchini ...

Fedha ni kitu kibaya sana kwa mara ya kwanza ndiyo nimeanza kusikia ------ ana weza akaondoa dhuluma kwa waislamu.
 
Mwaka wa uchaguzi huu tutasikia na kuona mengi sana.
Na hizi ni za mwaka gani?

Unafiki11.jpg ........ Unafiki17.jpg
 
Kumbukeni sheria mpya imeletwa kwa ajili ya oct 2015 .ipo na tayari inafanya kazi.
Comment za wengi humu hatuponi
 
Na mwaka huu rais lazima awe mkristo, na lazima kura umpigie, utakoma kuringa.

Mkristo au si Mkristo si tatizo hilo. mbona hata Nyerere tulimpigia "NDIYO" kwa kura za maruhani na Mkapa alipigiwa kura na Waislam pia kwani walikuwa dini ipi?

Hatumpimi mtu kwa dini yake tunampima mtu kwa matendo yake.

Hakuna mgombea ambae atabeza kura za Waislam, hata Padri Slaa tazama atavyojipendekeza kwa Waislam kama atachaguliwa kugombea na UKAWA.
 
Mkristo au si Mkristo si tatizo hilo. mbona hata Nyerere tulimpigia "NDIYO" kwa kura za maruhani na Mkapa alipigiwa kura na Waislam pia kwani walikuwa dini ipi?

Hatumpimi mtu kwa dini yake tunampima mtu kwa matendo yake.

Hakuna mgombea ambae atabeza kura za Waislam, hata Padri Slaa tazama atavyojipendekeza kwa Waislam kama atachaguliwa kugombea na UKAWA.

Kwani Dr. Slaa alishawahi kukataa kura za waislam?
 
Mbele ya Pesa kila goti litapigwa...... Muislamu kaisahau Memorandum Of Understanding MOU... Njaa mbaya.

Mkuu hapo kwenye MOU waislamu hawana la kufanya Kwa mfano CCM wakimptisha Lowasa kupeperusha bendera uchaguzi mkuu na UKAWA wakampitisha Dr Slaa unadhani waislamu watafanyaje? maana hawa wote walihusika kwenye Lowasa akiiwakilisha serikali(waziri) na na Dr Slaa akiliwakilisha kanisa (Katibu mkuu TEC)
 
ama kweli njaa mbaya sana. njaa jamani njaa! mtu yupo tayari hata kuuza utu wake. kisa njaa jamani njaaaaaa.

WanaJF,

Pamoja na kwamba mzee Lowassa kwa sasa amesitisha harakati zake za utangazaji wa nia ya kuelekea magogoni kufuatia amri ya chama, ila kuna nguvu ya ziada kutoka kwa wapenzi wake inayoendelea kumshawishi kutangaza nia na kuendelea na safari yake ya matumaini.

Leo kwa mara ya kwanza nakiri kwenu wanaJF kuwa Lowassa hahusiki kwa namna yoyote kupanga ama kuratibu vikundi vya watu kufanya maigizo ya kumshawishi, bali ni umati wenyewe ndio wenye mapenzi kwa huyo mzee.

Baada ya makamu wa rais kumuomba Lowassa akamwakilishe katika harambee ya waislamu ya ujenzi wa msikiti, Mhe Lowassa alifika na zoezi lilianza mara moja la harambee. Zoezi lilikwenda kama ilivyopangwa isipokuwa lengo la kiwango walichokihitaji waislamu kilizidi takribani kwa mara mbili na kufikia takribani Milioni mia tatu.

Hali hiyo iliwafanya waislamu (kulikuwa na uwakilishi kutoka maeneo mbalimbali nchini), kwa msimamo wao mmoja kutoa tamko la kumuunga mkono Lowassa katika safari yake ya matumaini! Hali ambayo ilipokelewa kwa furaha na waumini wengi wa dini ya kiislamu waliohudhuria harambee hiyo.

View attachment 252017

Lowassa akiwasili kwenye eneo la tukio.

View attachment 252036

Hapa akiwa anasalimiana na mashekhe mbalimbali.

View attachment 252018

Lowassa akipatiwa shukrani baada ya kukamilisha zoezi la harambee.

View attachment 252019

Maelfu ya watu walijitokeza kwenye harambee hizo.

Note: Pesa hizo zitatumika kujengea msikiti ambao utaenda sambamba na uanzishwaji wa kituo cha kulelea watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu.

My take,

Kweli mafuriko hayawezi kuzuiliwa kwa kiganja.
 
Kwani Dr. Slaa alishawahi kukataa kura za waislam?

Hakuna mgombea ambae atabeza kura za Waislam, hata Padri Slaa tazama atavyojipendekeza kwa Waislam kama atachaguliwa kugombea na UKAWA.
 
Faiza kauli yako imenichefua.

Mimi ninachoamini ni kuwa kura ya mtanzania yeyote awe muislam, mkristo au mpagani, zote ni muhimu. Kwa nini unawataja waislam tu? Mimi naamini kila mtanzania ni muhimu katika kila jambo la kitaifa. Nawaonea huruma sana mnaowaona watanzania kwa dini zao, makabila yao au maeneo yao.

Hakuna mgombea ambae ana nia kweli ya kuchaguliwa kwenye ngazi yoyote ile atazibeza kura za Waislam. Kumbuka hilo.

Hata ex Padri Slaa akiteuliwa kuwa mgombea Urais leo hii utamuona atavyojipendekeza kwa Waislam na utanikumbuka kwa hili, kwani ni mbali?
 
Faiza kauli yako imenichefua.

Mimi ninachoamini ni kuwa kura ya mtanzania yeyote awe muislam, mkristo au mpagani, zote ni muhimu. Kwa nini unawataja waislam tu? Mimi naamini kila mtanzania ni muhimu katika kila jambo la kitaifa. Nawaonea huruma sana mnaowaona watanzania kwa dini zao, makabila yao au maeneo yao.

Kwani mada imewataja akina nani? Soma kichwa cha habari.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Hivi leo Edo na waislam ni tatizo? anachojaribu kusema da Faiza ni kuwa hata Padri wetu kipenzi dk Silaa anazihitaji. Na ndo maana alishawahi kwenda pale mtambani mara baada ya msikiti kuungua mara ya pili.
 
Nakufananisha na Zitto aliyesema "Lowasa akiweka wazi mali zake wanamsajili rasmi kuwa Mzalendo".


Yaan jambo rahisi kama harambee au kutangaza mali zake ndo iwe tayar keshakuwa msafi,mzalendo & anastahili Urais??


Don't kid people plz. HAMY-D
 
Last edited by a moderator:
Safi sana!. Aanze kuwasaidia ujenzi wa vyuo vikuu,mashule na zahanati sasa.
 
Back
Top Bottom