Waislamu kuweni wavumilivu

Waislamu kuweni wavumilivu

Kuna Uislam, Waislam, Wenye majina ya kiislam na waliozaliwa waislam. Interpretaion ipo tofauti. Historically Uislam uliachaia dini uliozikuta katika maeneo yao na kuishi nao, Jews wa Madina, Mtume aliwakuta na hakuwafukuza. Caliphates zote kuanzia the Rashidun mpaka Ottomani zilibaki na kuishi nao kwa mikataba maaalum na ndiyo maana hata maeneo ya Holy land kama Palestine, Christians, Jews and Muslims waliishi pamoja enzi za hizo .
Tawala za kisasa zenye militant islamic policies zina taka religious exclusivity, political control/hegemony na kuondoa colonial mistrust. Kwani hakuna nchi ammazo huko nyuma zilikuwa more tolerant kuliko Christian Euorpe. Wakati Uislam unatawala Spain mpaka Sicily haikuwa sawa na treatment ya Hitler kwa Jews na wakristo wengine
Nchi zenye Waislam wengi ni nyingi kuna msimamo mkali Saudi, Afghan, Yemen na Somalia kuna moderate hao UAE, EGypt, Jordan na hizi nyingine Indonesia , Tunisia, Morocco , Senegal etc. hazifanani ila ni sera na uongozi wao
Kumbe unakubali Uislamu umekuja umekuta Kuna dini za watu

Dakika mbili mbele ,mnakuja kudanganya watu uislamu upo kabla ya mudy

Katika nchi nyingi za Kiislamu za kisasa, Wakristo hawana uhuru sawa na Waislamu. Kwa mfano, Saudi Arabia, Afghanistan, Yemen, na Somalia hawaruhusi makanisa mapya, Biblia haiwezi kuuzwa kwa uhuru, na ibada ya Kikristo inakabiliwa na vizuizi au mateso.

Hali hii ni tofauti kabisa na nchi za Ulaya, ambazo mara nyingi zina Christian majority lakini pia zinawawezesha Waislamu kujenga misikiti na kuabudu kwa uhuru.

Hata kama unasema kuna nchi za Waislamu “moderate” kama UAE, Misri, Jordan, Indonesia, Tunisia, Morocco, Senegal ukweli ni kwamba Wakristo bado wanakabiliwa na changamoto nyingi kisheria, kijamii, na mara nyingine hata kwa vitisho vya kisiasa. Hakuna uwiano wa uhuru wa dini kama unaopatikana katika nchi nyingi za Kikristo za Ulaya.

Hoja yako kwamba “kwa kuwa Uislamu ulikuwa na tolerance enzi za kale, hivyo nchi za Kiislamu leo zinapaswa kuwa huru” ni upotoshaji wa wazi. Sera za kidini na uongozi wa kisiasa leo zinaonyesha wazi tofauti na uvumilivu wa kidini unaopatikana barani Ulaya, na hii ni tofauti ya wazi ya haki na uhuru wa dini.
 
Unaniletea picha ,ambazo watu wanauza maeneo

Hapo kwanza inaonesha jinsi wakristo walivyo na uhuru ,tofaut na hiyo unavyodanganywa ni dini ya haki
😄😄 Najua nafsini mwako unajisuta lakini kwa kuwa una moyo mgumu,utaendelea tu kubisha
 

Attachments

  • Screenshot_2025-08-27-17-44-20-633.jpg
    Screenshot_2025-08-27-17-44-20-633.jpg
    377.6 KB · Views: 18
  • Screenshot_2025-08-27-17-47-22-676.jpg
    Screenshot_2025-08-27-17-47-22-676.jpg
    348 KB · Views: 22
  • Screenshot_2025-08-27-17-46-27-400.jpg
    Screenshot_2025-08-27-17-46-27-400.jpg
    368.3 KB · Views: 18
  • Screenshot_2025-08-27-17-48-27-372.jpg
    Screenshot_2025-08-27-17-48-27-372.jpg
    457.8 KB · Views: 17
  • Screenshot_2025-08-27-17-46-05-366.jpg
    Screenshot_2025-08-27-17-46-05-366.jpg
    389.4 KB · Views: 17
  • Screenshot_2025-08-27-17-46-45-753.jpg
    Screenshot_2025-08-27-17-46-45-753.jpg
    424.8 KB · Views: 16
Alieishusha Quran ndie adui wetu hayo maneno yapo wapi ktk Quran nani aliyasema?adui wa shetani ni na
قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّـهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ ﴿٩٧﴾

97. Sema: Yeyote aliyekuwa adui wa Jibriyl, basi hakika yeye ameiteremsha Qur-aan katika moyo wako kwa Idhini ya Allaah inayosadikisha yaliyo kabla yake, na mwongozo na bishara kwa Waumini.

Hapo neno "yeye" limemrejea Jibril
 
Crusades zilikuwa ni nini

Na Jihad ilikuwa nini?.
Hapo Nigeria kila mwaka Boko Haram wanafanya fujo zao.
ISIS je?

Tusiende nchi za mbali.
Kibiti je?
Kund la Masheikh wa Uamsho hapo Znz.

Kwann wanatumia nguvu namna hii kueneza Uislam wao na kuua na kuwatesa wakristo?.
 
😄😄 Najua nafsini mwako unajisuta lakini kwa kuwa una moyo mgumu,utaendelea tu kubisha
Hivi Unajua unachopachika hapo ?

Hoja nilizokuuliza umeacha unapachika mapicha

Hakika uislamu ni dini nyepes sana
 
Kumbe unakubali Uislamu umekuja umekuta Kuna dini za watu

Dakika mbili mbele ,mnakuja kudanganya watu uislamu upo kabla ya mudy

Katika nchi nyingi za Kiislamu za kisasa, Wakristo hawana uhuru sawa na Waislamu. Kwa mfano, Saudi Arabia, Afghanistan, Yemen, na Somalia hawaruhusi makanisa mapya, Biblia haiwezi kuuzwa kwa uhuru, na ibada ya Kikristo inakabiliwa na vizuizi au mateso.

Hali hii ni tofauti kabisa na nchi za Ulaya, ambazo mara nyingi zina Christian majority lakini pia zinawawezesha Waislamu kujenga misikiti na kuabudu kwa uhuru.

Hata kama unasema kuna nchi za Waislamu “moderate” kama UAE, Misri, Jordan, Indonesia, Tunisia, Morocco, Senegal ukweli ni kwamba Wakristo bado wanakabiliwa na changamoto nyingi kisheria, kijamii, na mara nyingine hata kwa vitisho vya kisiasa. Hakuna uwiano wa uhuru wa dini kama unaopatikana katika nchi nyingi za Kikristo za Ulaya.

Hoja yako kwamba “kwa kuwa Uislamu ulikuwa na tolerance enzi za kale, hivyo nchi za Kiislamu leo zinapaswa kuwa huru” ni upotoshaji wa wazi. Sera za kidini na uongozi wa kisiasa leo zinaonyesha wazi tofauti na uvumilivu wa kidini unaopatikana barani Ulaya, na hii ni tofauti ya wazi ya haki na uhuru wa dini.
hiyo freedom au Civil liberties unayoitaka ni nadharia tu, Huko Ulaya na Marekani kuna ubaguzi wa kidini na asili mpaka leo. Uliza mtu yeyote , Trump anamchukia Obama kwa asili yake kutoka asili ya Afrika na Uislam na rangi yake., Anawafukuza Latin Americans anawaita wahuni, wezi na majambazi kwa sababu ya dini yake na anapata wafuasi wakubwa kutoka kwa walokole "Evangelicals".
Kila siku vinaanzishwa vyama vya mrengo wa kulia, far rights ili kulinda nchi zao na wahamiaji kutoka kwengineko. Miaka ya nyuma , pre 1990 Gulf War hakukuwa na mass immigration ila wao Europee wameziharibu nchi za kiarabu kuanzia Libya, Iraq, Somalia, Syria na Yemen matokeo yake hawana pa kwenda zaidi ya huko , ni kama walichokoza mzinga wa nyuki
 
hiyo freedom au Civil liberties unayoitaka ni nadharia tu, Huko Ulaya na Marekani kuna ubaguzi wa kidini na asili mpaka leo. Uliza mtu yeyote , Trump anamchukia Obama kwa asili yake kutoka asili ya Afrika na Uislam na rangi yake., Anawafukuza Latin American anawaita wahuni, wezi na majambazi kwa sababu ya dini yake na anapata wafuasi wakubwa walokole "Evangelicals". Kila siku vinaanzishwa vyama vya mrengo wa kulia, far rights ili kulinda nchi zao na wahamiaji kutoka kwengineko. Miaka ya nyuma , pre 1990 Gulf War hakukuwa na mass immigration ila wao Europee wameziharibu nchi za kiarabu kuanzia Libya, Iraq, Somalia, Syria na Yemen matokeo yake hawana pa kwenda zaidi ya huko , ni kama walichokoza mzinga wa nyuki
Kwanza kabisa, unachanganya siasa, immigration na ubaguzi wa kibinafsi na ukweli wa uhuru wa dini. Ndiyo, nchi za Ulaya na Marekani zina changamoto za kisiasa na baadhi ya matukio ya ubaguzi, lakini hii haiwezi kuondoa ukweli kwamba Waislamu na Wakristo wana uhuru wa ibada. Barani Ulaya, Waislamu wana uhuru wa kujenga misikiti, kufundisha Qur’an na kuadhimisha imani yao, jambo ambalo halifanyiki kwa urahisi katika nchi nyingi za Kiislamu kwa Wakristo.


Hivyo, kudanganya kwamba uhuru wa dini ni nadharia tu ni kinyume na historia na data halisi.

Pia, hoja yako kuhusu vita, immigration na uharibifu wa nchi za Kiarabu ni masuala ya kisiasa na kigeni, si sababu ya kudanganya kwamba Ulaya haiko Kikristo au haina uhuru wa dini. Kwa kifupi, uhuru wa kidini na makanisa ya Kikristo barani Ulaya unaonekana kila siku, tofauti na vizuizi vinavyokabili Wakristo katika nchi nyingi za Kiislamu, na hivyo hoja yako ni upotoshaji wa wazi.
 
Na Jihad ilikuwa nini?.
Hapo Nigeria kila mwaka Boko Haram wanafanya fujo zao.
ISIS je?

Tusiende nchi za mbali.
Kibiti je?
Kund la Masheikh wa Uamsho hapo Znz.

Kwann wanatumia nguvu namna hii kueneza Uislam wao na kuua na kuwatesa wakristo?.
Hizi dini na imani zote kuna makosa ya wafuasi wao, hakuna perfection
Tukubali tu
Tukirudi nyuma zaidi tutaangalia Ukoloni, Inquisition ya kuzuia uzushi wa kidini Ulaya, Utumwa na mengineyo. Harakati za siasa na Uhuru kwa nchi nyingi pia zina asili ya dini, nani ali support ukoloni na nani alipinga, kuna dini za dola tawala na dini za upinzani. mf Ireland,
Rwanda hapo Genocide 1994, Balkans dini ilitumika zaidi kama identity kuua watu, Eritrea hakuna dini zaidi ya Ukristo inayotambulika
ISIS ni project ya US na Israel ku destabilize Middle East, ndiyo maana wameua waislam wengi na hawakuwahi kuigusa Israel au nchi zenye support ya US. Hizo ni special cases out of 2.5 billion people
Ukristo na Uislam umesababisha mauaji ya watu wengi, kiimani na hilo lipo na halina ubishi , siyo dini zinavyotaka lakini ni victims of circumstances.
Religious persecution zipo, dhahiri au kwa kujificha kila mahala kwa kila dini, hakuna mwenye nafuu, kuanzia US, India, Korea, Middlle East, China, South America na huku kwetu Afrika ni vile tu tunajitia upofu kutokukubali ukweli
 
Huko Ulaya na Marekani kuna ubaguzi wa kidini na asili mpaka leo.

Ulaya unaheshimu Uislam.
Pia na sehemu nying Duniani.

Swali la bro hamis77 lilikuwa
"Kwa nini katika nchi nyingi za Kiislamu makanisa hayawezi kujengwa kwa uhuru, Biblia hairuhusiwi kuuzwa waziwazi, na Wakristo wanakabiliwa na mateso?

Sasa badala ya kujibu hoja mnaleta mapicha picha ya kanisa na kwemda OP
 
Hivi Unajua unachopachika hapo ?

Hoja nilizokuuliza umeacha unapachika mapicha

Hakika uislamu ni dini nyepes sana
Wewe umedai hakuna makanisa nchi za kiislam na wakristo hawaruhusiwi kufanya ibada
Nimekuwekea picha za makanisa na wakristo wakifanya ibada kwenye nchi ulizitaja,Iran, Pakistan, Algeria, Morocco,Yemen, Sudan
 
Wewe umedai hakuna makanisa nchi za kiislam na wakristo hawaruhusiwi kufanya ibada
Nimekuwekea picha za makanisa na wakristo wakifanya ibada kwenye nchi ulizitaja,Iran, Pakistan, Algeria, Morocco,Yemen, Sudan

Naomba picha la kanisa lolote lilioko Saud Arabia
 
Hizi dini na imani zote kuna makosa ya wafuasi wao, hakuna perfection
Tukubali tu
Tukirudi nyuma zaidi tutaangalia Ukoloni, Inquisition ya kuzuia uzushi wa kidini Ulaya, Utumwa na mengineyo. Harakati za siasa na Uhuru kwa nchi nyingi pia zina asili ya dini, nani ali support ukoloni na nani alipinga, kuna dini za dola tawala na dini za upinzani. mf Ireland,
Ukristo na Uislam umesababisha mauaji ya watu wengi, hilo lipo na halina ubishi , siyo dini zinavyotaka lakini ni victims of circumstances
Inquisition Ulaya ilikuwa kwa ajili ya Waprotestant ,hata kabla uislamu haujaja na hata ulivyokuja ,karne ya 14-16 ,

Inquisition kubwa ni kwa ajili ya wakristo , Waprotestant,watu wamechomwa moto sababu ya kutafsiri biblia na Iman ya Ukristo

Usichanganye madesa ,tunachozungumza hapa ni kama UISLAMU NI DINI YA HAKI ,kwanini unazuia wakristo hata kuwa na jengo ,kuuza biblia nchi za kiislamu ni PENAL CODE,
 
MUISLAMU: USIKALIE MATUSI

Ambayo yanakupeleka jehanam

Kuukosoa Ukristo mlianza ninyi pale Mnazi mmoja hasa mwaka 1996 ambapo Mazinge alikula kofi zito kwa ahadi yake mwenyewe. Baada ya hapo mkaanza kufunga spika hadi karibu na makanisa. Mkasilimisha Wakristo wasio na ufahamu. Mwaipopo naye akasilimu, akauchamba Ukristo kila kona hadi Zanzibar akimtetea hadi Idd Amin Dada kuwa ni muislamu bora aliyeondolewa na Nyerere kwa agizo la kanisa.

Hapo akiwa Zanzibar. Wakristo tulipata shida, maana hatukujua lugha yenu ama vitabu vyenu ambavyo vimejawa na mazito lukuki. Ashukuruwe Dr. Kaisi aliyeenda kuusoma Uislamu Cairo Misri, akatuletea mazito. Ashukuriwe pia Simba Uranga aliyejitokeza kutwaa hoja kwa Kaisi na kusimamisha mnakasha wa kwanza pale Kawe. Waislamu walipigika kwa hoja wakakimbilia polisi kuzuia mnakasha na polisi wakasema Quran wala vitabu vya kislamu visitumike kwa shinilizo la Waislamu.

Kanisa likaingilia kati na wao wasitumie Biblia. Mwisho wakakosa cha kuhubiri ikabidi warejee kwa hoja. Maana mihadhara ya Waislamu hainogi bila Biblia. Tokea hapo, Waislamu hawana cha kumtisha Mkristo msomi, maana utandawazi umeleta vitabu kwa wepesi zaidi. Mdahalo nilioandaa katiks uwanja wa TP Manzese, Shafii alikataa vitabu ikiwemo Araiq al Maktum na Mkweli Mwaminifu akitaka Quran tu ndio itumike. Ni aibu kuogopa vitabu vyenu wenyewe. Msemo wa wahenga unasema usirushe mawe kwenye nyumba ya zege na chuma huku unaishi kwenye nyumba ya vioo.

Wiki hii nimechokonoa kidogo Uislamu kwa vitabu vyao wenyewe, matusi yametapakaa kama mvua hapa na inbox na kunitishia maisha badala ya kujibu hoja. Wanajisaulisha kwamba wahadhiri wao kila siku wapo bize na Ukristo kuliko Uislamu. Tena wanausemea mabaya ikiwemo kumwita mtume Paulo ni shoga na alizalishwa mtoto anayeitwa Onesmo. Sisi wala hatuna muda wa matusi, zaidi ya kujibu hoja zao. Ingawa wapo Waislamu waungwana ambao wanavumilia na kujenga hoja ila ni kwa asilimia chache.

Muislamu

Quran inakutaka ujibu hoja kwa hoja na kwa hekima kama ifuatavyo;

1. Mjadala ufanyike kwa hekima na upole

Qur’an 16:125
"Waite (watu) kwenye njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora..."

Aya hii inaonyesha kwamba mjadala unaruhusiwa, lakini usiwe wa ugomvi matusi au kejeli; unapaswa kuwa wa hekima na heshima.

2. Mjadala na Ahlul Kitab (Wenye Kitabu – Wayahudi na Wakristo)

Qur’an 29:46
"Wala msijadiliane na Wenye Kitabu ila kwa njia iliyo bora, isipokuwa wale wanaodhulumu miongoni mwao. Na semeni: Tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu; na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja..."

Hii inaonyesha kuwa Waislamu waliruhusiwa kujadiliana na Wakristo na Wayahudi kwa heshima, na kwa njia bora isiyo na vurugu.

3. Mjadala wenye hoja za wazi

Qur’an 3:64
"Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lililo sawa baina yetu na nyinyi: tusiabudu ila Mwenyezi Mungu pekee, wala tusimshirikishe na chochote..."

Qur’an inafundisha mjadala wa kutafuta hoja ya msingi badala ya mfarakano.

Mimi

Nakuruhusu katika ukurasa wangu huu ukosoe imani yangu kwa hoja. Ukitusi au kutishia ni dhahiri umeshindwa hoja na itakuwa ni kwa hasara yako. Katiba yetu katika ibara ya 19 inaruhusu kutangaza dini, kuhama dini nk. Msikalie kutuita makafiri huku hilo neno linaweza kuwa juu yenu pia. Hoja yangu kwenu leo ni:

Uislamu ni Upagani wa kisasa uliopora Upagani wa Makureshi. Haya leteni hoja.
Wewe jamaa unajiona una hoja sana , eti utumie kitabu cha mkweli mwaminifu kuukosoa uislamu. U cant be seriuos.
 
Nilisema tangu awali kwamba saudia hawaruhusu ujenzi wa makanisa
Nyi nyi mlikomaa Iran, Pakistan Algeria Morocco Yemen Sudan hakuna makanisa
Hajasema hakuna Makanisa.
Amesema kwanini makanisa hayajengwi kwa uhuru na kuna sheria kali za kuuza Biblia na wakristo hawaabudu kwa uhuru.

Ndio hoja yake.
 
Back
Top Bottom