ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,681
- 5,161
Hapa umechanganya. Jiwe jeusi si shetani. Vipi umbusu shetani? Tudi tena masomoni.Hivi ni kweli huwa wanabusu na kulipiga jiwe wakiwa na mawazo ni shetani?Mola awe na rehema kwao.
Hapa umechanganya. Jiwe jeusi si shetani. Vipi umbusu shetani? Tudi tena masomoni.Hivi ni kweli huwa wanabusu na kulipiga jiwe wakiwa na mawazo ni shetani?Mola awe na rehema kwao.
Swali lilikuwa hivi:-Hapa umechanganya. Jiwe jeusi si shetani. Vipi umbusu shetani? Tudi tena masomoni.
Hamnaga Hamis fala ama lazima awe na dosari sa nimeshtuka kuona Hamis anaandika pumba kumbe ni HAMIS KAFIRI 😂😂😂MUISLAMU: USIKALIE MATUSI
Ambayo yanakupeleka jehanam
Kuukosoa Ukristo mlianza ninyi pale Mnazi mmoja hasa mwaka 1996 ambapo Mazinge alikula kofi zito kwa ahadi yake mwenyewe. Baada ya hapo mkaanza kufunga spika hadi karibu na makanisa. Mkasilimisha Wakristo wasio na ufahamu. Mwaipopo naye akasilimu, akauchamba Ukristo kila kona hadi Zanzibar akimtetea hadi Idd Amin Dada kuwa ni muislamu bora aliyeondolewa na Nyerere kwa agizo la kanisa.
Hapo akiwa Zanzibar. Wakristo tulipata shida, maana hatukujua lugha yenu ama vitabu vyenu ambavyo vimejawa na mazito lukuki. Ashukuruwe Dr. Kaisi aliyeenda kuusoma Uislamu Cairo Misri, akatuletea mazito. Ashukuriwe pia Simba Uranga aliyejitokeza kutwaa hoja kwa Kaisi na kusimamisha mnakasha wa kwanza pale Kawe. Waislamu walipigika kwa hoja wakakimbilia polisi kuzuia mnakasha na polisi wakasema Quran wala vitabu vya kislamu visitumike kwa shinilizo la Waislamu.
Kanisa likaingilia kati na wao wasitumie Biblia. Mwisho wakakosa cha kuhubiri ikabidi warejee kwa hoja. Maana mihadhara ya Waislamu hainogi bila Biblia. Tokea hapo, Waislamu hawana cha kumtisha Mkristo msomi, maana utandawazi umeleta vitabu kwa wepesi zaidi. Mdahalo nilioandaa katiks uwanja wa TP Manzese, Shafii alikataa vitabu ikiwemo Araiq al Maktum na Mkweli Mwaminifu akitaka Quran tu ndio itumike. Ni aibu kuogopa vitabu vyenu wenyewe. Msemo wa wahenga unasema usirushe mawe kwenye nyumba ya zege na chuma huku unaishi kwenye nyumba ya vioo.
Wiki hii nimechokonoa kidogo Uislamu kwa vitabu vyao wenyewe, matusi yametapakaa kama mvua hapa na inbox na kunitishia maisha badala ya kujibu hoja. Wanajisaulisha kwamba wahadhiri wao kila siku wapo bize na Ukristo kuliko Uislamu. Tena wanausemea mabaya ikiwemo kumwita mtume Paulo ni shoga na alizalishwa mtoto anayeitwa Onesmo. Sisi wala hatuna muda wa matusi, zaidi ya kujibu hoja zao. Ingawa wapo Waislamu waungwana ambao wanavumilia na kujenga hoja ila ni kwa asilimia chache.
Muislamu
Quran inakutaka ujibu hoja kwa hoja na kwa hekima kama ifuatavyo;
1. Mjadala ufanyike kwa hekima na upole
Qur’an 16:125
"Waite (watu) kwenye njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora..."
Aya hii inaonyesha kwamba mjadala unaruhusiwa, lakini usiwe wa ugomvi matusi au kejeli; unapaswa kuwa wa hekima na heshima.
2. Mjadala na Ahlul Kitab (Wenye Kitabu – Wayahudi na Wakristo)
Qur’an 29:46
"Wala msijadiliane na Wenye Kitabu ila kwa njia iliyo bora, isipokuwa wale wanaodhulumu miongoni mwao. Na semeni: Tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu; na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja..."
Hii inaonyesha kuwa Waislamu waliruhusiwa kujadiliana na Wakristo na Wayahudi kwa heshima, na kwa njia bora isiyo na vurugu.
3. Mjadala wenye hoja za wazi
Qur’an 3:64
"Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lililo sawa baina yetu na nyinyi: tusiabudu ila Mwenyezi Mungu pekee, wala tusimshirikishe na chochote..."
Qur’an inafundisha mjadala wa kutafuta hoja ya msingi badala ya mfarakano.
Mimi
Nakuruhusu katika ukurasa wangu huu ukosoe imani yangu kwa hoja. Ukitusi au kutishia ni dhahiri umeshindwa hoja na itakuwa ni kwa hasara yako. Katiba yetu katika ibara ya 19 inaruhusu kutangaza dini, kuhama dini nk. Msikalie kutuita makafiri huku hilo neno linaweza kuwa juu yenu pia. Hoja yangu kwenu leo ni:
Uislamu ni Upagani wa kisasa uliopora Upagani wa Makureshi. Haya leteni hoja.
Waislamu wataenda Jehanamu kwa kumkataa Yesu Kristo. Ili kuepuka Jehanamu mtu hana budi kuzaliwa mara ya pili kwa njia ya kumpokea Yesu Kristo moyoni mwake na kuishi kwa kumtegemea yeye na kukataa miungu mingine.MUISLAMU: USIKALIE MATUSI
Ambayo yanakupeleka jehanam
Kuukosoa Ukristo mlianza ninyi pale Mnazi mmoja hasa mwaka 1996 ambapo Mazinge alikula kofi zito kwa ahadi yake mwenyewe. Baada ya hapo mkaanza kufunga spika hadi karibu na makanisa. Mkasilimisha Wakristo wasio na ufahamu. Mwaipopo naye akasilimu, akauchamba Ukristo kila kona hadi Zanzibar akimtetea hadi Idd Amin Dada kuwa ni muislamu bora aliyeondolewa na Nyerere kwa agizo la kanisa.
Hapo akiwa Zanzibar. Wakristo tulipata shida, maana hatukujua lugha yenu ama vitabu vyenu ambavyo vimejawa na mazito lukuki. Ashukuruwe Dr. Kaisi aliyeenda kuusoma Uislamu Cairo Misri, akatuletea mazito. Ashukuriwe pia Simba Uranga aliyejitokeza kutwaa hoja kwa Kaisi na kusimamisha mnakasha wa kwanza pale Kawe. Waislamu walipigika kwa hoja wakakimbilia polisi kuzuia mnakasha na polisi wakasema Quran wala vitabu vya kislamu visitumike kwa shinilizo la Waislamu.
Kanisa likaingilia kati na wao wasitumie Biblia. Mwisho wakakosa cha kuhubiri ikabidi warejee kwa hoja. Maana mihadhara ya Waislamu hainogi bila Biblia. Tokea hapo, Waislamu hawana cha kumtisha Mkristo msomi, maana utandawazi umeleta vitabu kwa wepesi zaidi. Mdahalo nilioandaa katiks uwanja wa TP Manzese, Shafii alikataa vitabu ikiwemo Araiq al Maktum na Mkweli Mwaminifu akitaka Quran tu ndio itumike. Ni aibu kuogopa vitabu vyenu wenyewe. Msemo wa wahenga unasema usirushe mawe kwenye nyumba ya zege na chuma huku unaishi kwenye nyumba ya vioo.
Wiki hii nimechokonoa kidogo Uislamu kwa vitabu vyao wenyewe, matusi yametapakaa kama mvua hapa na inbox na kunitishia maisha badala ya kujibu hoja. Wanajisaulisha kwamba wahadhiri wao kila siku wapo bize na Ukristo kuliko Uislamu. Tena wanausemea mabaya ikiwemo kumwita mtume Paulo ni shoga na alizalishwa mtoto anayeitwa Onesmo. Sisi wala hatuna muda wa matusi, zaidi ya kujibu hoja zao. Ingawa wapo Waislamu waungwana ambao wanavumilia na kujenga hoja ila ni kwa asilimia chache.
Muislamu
Quran inakutaka ujibu hoja kwa hoja na kwa hekima kama ifuatavyo;
1. Mjadala ufanyike kwa hekima na upole
Qur’an 16:125
"Waite (watu) kwenye njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora..."
Aya hii inaonyesha kwamba mjadala unaruhusiwa, lakini usiwe wa ugomvi matusi au kejeli; unapaswa kuwa wa hekima na heshima.
2. Mjadala na Ahlul Kitab (Wenye Kitabu – Wayahudi na Wakristo)
Qur’an 29:46
"Wala msijadiliane na Wenye Kitabu ila kwa njia iliyo bora, isipokuwa wale wanaodhulumu miongoni mwao. Na semeni: Tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu; na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja..."
Hii inaonyesha kuwa Waislamu waliruhusiwa kujadiliana na Wakristo na Wayahudi kwa heshima, na kwa njia bora isiyo na vurugu.
3. Mjadala wenye hoja za wazi
Qur’an 3:64
"Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lililo sawa baina yetu na nyinyi: tusiabudu ila Mwenyezi Mungu pekee, wala tusimshirikishe na chochote..."
Qur’an inafundisha mjadala wa kutafuta hoja ya msingi badala ya mfarakano.
Mimi
Nakuruhusu katika ukurasa wangu huu ukosoe imani yangu kwa hoja. Ukitusi au kutishia ni dhahiri umeshindwa hoja na itakuwa ni kwa hasara yako. Katiba yetu katika ibara ya 19 inaruhusu kutangaza dini, kuhama dini nk. Msikalie kutuita makafiri huku hilo neno linaweza kuwa juu yenu pia. Hoja yangu kwenu leo ni:
Uislamu ni Upagani wa kisasa uliopora Upagani wa Makureshi. Haya leteni hoja.
Yesu mwenyewe kuna anayemtegemea sasa vipi sisi tumtegemee yeyeWaislamu wataenda Jehanamu kwa kumkataa Yesu Kristo. Ili kuepuka Jehanamu mtu hana budi kuzaliwa mara ya pili kwa njia ya kumpokea Yesu Kristo moyoni mwake na kuishi kwa kumtegemea yeye na kukataa miungu mingine.
Ukiwa mjinga Kiasi hiki haustahili kujibiwa.Madrasa. Sisi huwa ilimu yetu kubwa ni madrasa
JE, HIZI SIFA ZA AJABU ZA MUHAMMAD NI ZA KITUME?Ukiwa mjinga Kiasi hiki haustahili kujibiwa.
Ana hoja Tena yameandikwa kwenye vitabu vyenuUkiwa mjinga Kiasi hiki haustahili kujibiwa , hadhi na akili yako ni ndogo sana kiasi ambacho itakuwa upotevu wa muda kukaa na kuanza kujadilinanna wewe mjadala wowote ule unahitajia hoja na akili.
Idiot detected . Kwaheri siwajibu wajinga mimi
Sisi Wakatoliki tunahubiriwa kuheshimu Imani za wengine ila tukiwa imara katika Imani yetu ya Kanisa Moja Katoliki la Mitume.MUISLAMU: USIKALIE MATUSI
Ambayo yanakupeleka jehanam
Kuukosoa Ukristo mlianza ninyi pale Mnazi mmoja hasa mwaka 1996 ambapo Mazinge alikula kofi zito kwa ahadi yake mwenyewe. Baada ya hapo mkaanza kufunga spika hadi karibu na makanisa. Mkasilimisha Wakristo wasio na ufahamu. Mwaipopo naye akasilimu, akauchamba Ukristo kila kona hadi Zanzibar akimtetea hadi Idd Amin Dada kuwa ni muislamu bora aliyeondolewa na Nyerere kwa agizo la kanisa.
Hapo akiwa Zanzibar. Wakristo tulipata shida, maana hatukujua lugha yenu ama vitabu vyenu ambavyo vimejawa na mazito lukuki. Ashukuruwe Dr. Kaisi aliyeenda kuusoma Uislamu Cairo Misri, akatuletea mazito. Ashukuriwe pia Simba Uranga aliyejitokeza kutwaa hoja kwa Kaisi na kusimamisha mnakasha wa kwanza pale Kawe. Waislamu walipigika kwa hoja wakakimbilia polisi kuzuia mnakasha na polisi wakasema Quran wala vitabu vya kislamu visitumike kwa shinilizo la Waislamu.
Kanisa likaingilia kati na wao wasitumie Biblia. Mwisho wakakosa cha kuhubiri ikabidi warejee kwa hoja. Maana mihadhara ya Waislamu hainogi bila Biblia. Tokea hapo, Waislamu hawana cha kumtisha Mkristo msomi, maana utandawazi umeleta vitabu kwa wepesi zaidi. Mdahalo nilioandaa katiks uwanja wa TP Manzese, Shafii alikataa vitabu ikiwemo Araiq al Maktum na Mkweli Mwaminifu akitaka Quran tu ndio itumike. Ni aibu kuogopa vitabu vyenu wenyewe. Msemo wa wahenga unasema usirushe mawe kwenye nyumba ya zege na chuma huku unaishi kwenye nyumba ya vioo.
Wiki hii nimechokonoa kidogo Uislamu kwa vitabu vyao wenyewe, matusi yametapakaa kama mvua hapa na inbox na kunitishia maisha badala ya kujibu hoja. Wanajisaulisha kwamba wahadhiri wao kila siku wapo bize na Ukristo kuliko Uislamu. Tena wanausemea mabaya ikiwemo kumwita mtume Paulo ni shoga na alizalishwa mtoto anayeitwa Onesmo. Sisi wala hatuna muda wa matusi, zaidi ya kujibu hoja zao. Ingawa wapo Waislamu waungwana ambao wanavumilia na kujenga hoja ila ni kwa asilimia chache.
Muislamu
Quran inakutaka ujibu hoja kwa hoja na kwa hekima kama ifuatavyo;
1. Mjadala ufanyike kwa hekima na upole
Qur’an 16:125
"Waite (watu) kwenye njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora..."
Aya hii inaonyesha kwamba mjadala unaruhusiwa, lakini usiwe wa ugomvi matusi au kejeli; unapaswa kuwa wa hekima na heshima.
2. Mjadala na Ahlul Kitab (Wenye Kitabu – Wayahudi na Wakristo)
Qur’an 29:46
"Wala msijadiliane na Wenye Kitabu ila kwa njia iliyo bora, isipokuwa wale wanaodhulumu miongoni mwao. Na semeni: Tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu; na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja..."
Hii inaonyesha kuwa Waislamu waliruhusiwa kujadiliana na Wakristo na Wayahudi kwa heshima, na kwa njia bora isiyo na vurugu.
3. Mjadala wenye hoja za wazi
Qur’an 3:64
"Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lililo sawa baina yetu na nyinyi: tusiabudu ila Mwenyezi Mungu pekee, wala tusimshirikishe na chochote..."
Qur’an inafundisha mjadala wa kutafuta hoja ya msingi badala ya mfarakano.
Mimi
Nakuruhusu katika ukurasa wangu huu ukosoe imani yangu kwa hoja. Ukitusi au kutishia ni dhahiri umeshindwa hoja na itakuwa ni kwa hasara yako. Katiba yetu katika ibara ya 19 inaruhusu kutangaza dini, kuhama dini nk. Msikalie kutuita makafiri huku hilo neno linaweza kuwa juu yenu pia. Hoja yangu kwenu leo ni:
Uislamu ni Upagani wa kisasa uliopora Upagani wa Makureshi. Haya leteni hoja.
Hata mtu ambaye dishi limeyumba anaweza kuwa na akili ya kukopi maandiko na kuleta mezani na kutaka majadiliano ila at the midst of the discussion mwezi mchanga unaweza kumjia akaanza kutukana na kutoka nje ya mjadala ndio maana imekuwa siku zote kanuni ya werevu kuwaepuka Wajinga.Ana hoja Tena yameandikwa kwenye vitabu vyenu
Why usimjibu kwa hoja,ww unamkimbia
Dah!Jamaa alikuwa anapenda vinembe kuliko kula bagia.
Eeeeh!!!!!!
Aisee hii ni zaidi ya aibu ,nimechekaa sanaa baada ya kusoma hii.
Kama ingekuwa mahakamani hiki kitabu kingepigwa marufuku kisitumike kwasababu ndani yake ni ushetani mtupu......hapanaa bana hiki sio kitabu cha MUNGU yaani Kwa haya uliyoandika napata jibu kuwa hii dini ni shetani mwenyewe amehusika
Daaah!!-ni kweli kuna kubusu jiwe lakini siyo lazima, bali mkiwa wachache au ukiwa karibu na eneo hilo
- mawe yanapigwa siyo kwa jiwe hilo unalolisema hapo Kaaba bali sehemu nyingine mbali kabisa (7km) kutoka hapo, panaitwa Jamarat. Hiyo ni symbolic gesture tu kama unavopiga msalaba au kupiga magoti na kufumba macho as if upo mbeke ya Mungu. Asili yake ni matendo ya Nabii Ibrahim kumpiga shetani aliemshawishi asitekeleze amri ya kumchinja mwanawe.
Ni kweli pia wakati mkiwa ibada ya hija kuna kipindi maalum cha kuvaa vazi la ihram ambalo ni mashuka hayo mawili meupe kwa mwanaume lakini mwanamke anavaa mavazi yake kama kawaida kwa stara inayoruhusiwa. SIyo uchi kama inavyotakiwa ionekane kwani mtu anaweza kukuhoji pia je mbona lile sanamu la mungu kwenye msalaba lipo uchi tu!
Ibada zote zinazofanyika kwa dini zote ni symbolic hazina maana yoyote halisi kwa wakati, ndio maana hta tunapoomba hamna yeyote anayemuona huyo muombwaji kwa imani yoyote
Mihadhara ya kidini Dar imeanza miaka ya 80. Asili ya wakazi wa Dar na Pwani na dini yao wengi ilikuwa waislam. Ilianza kwa sisi wanafunzi wa shule kupewa biblia na kuanza kuzisambaza majumbani na ikatokea kuanza kusomwa. Hii ilionekana kama njia ya kutaka kuingiza watu katika Ukristo. Wazazi walipoanza kuuliza maswali na kujibiwa miskitini hoja zikahamia kwenye majukwaa kufanya comparative religion debate ndipo wakaibuka hao kina Mazinge na wengineo na huku pia kuna Big November Crusades, na kina Moses Kulola na hoja za kutosha na yote hiyo ilikuwa na lengo la propagation. Maswali yakiulizwa mbona huku tunasema hivi nyie mnasema hivyo kujibiwa ikaonekana ni kashfa, kwa pande zote.
Kabla ya hapo wahadhir wakubwa wa Kiislam kina Sheikh Harith, Sheikh Yahya Hussein na Sheikh Kassim Juma walikuwa na mihadhara na mafunzo ya Quran, historia ya dini, masuala ya kijamii, malezi ya kIIslam na maadili katika Uislam, hawakugusia ukristo kabisa
Mimi ni Muislam, early 50s, napata akili kwenye 70s nilikuta biblia ya kilugha nyumbani Mzee alipewa na rafiki yake, nililkuwa nasoma sielewi hiyo lugha ila napenda tu misamiati na vile nikisikia wazee waizungumza nikawa curious tu. Nimesoma shule za Serikali lakini zina asili ya kanisa na miaka yote kila ibada za majivu tukilazimishwa kwenda kupaka majivu kanisani kwenye makanisa hapo karibu. Nimepitishwa mafundisho shule naambiwa lile sanamu pale kwenye msalaba ni mungu na mchana tukirudi nyumbani naenda madrassa naambiwa mungu haonekani.
Nimepata nafasi ya kuzunguka na kusali Orthodox Church, Addis, St Peters Basilica, Vatican City-Rome, Msikiti ya Makka , Madina na Msikiti ex-Kanisa Haggia Sofia Uturuki kwa utalii, curiosity na imani yangu na hapa TZ nimehudhuria ibada St Peters, St Joseph, St Alban kwenye ibada za sikukuu na matukio.
watanzania tunaishi kijamaa tumezaliana , kuoelana , kusoma na kuishi pamoja katika jamii zetu ndiyo maana tunahudhuria sherehe, misiba etc na wengi wetu matusi tunayoyaanadika humu hatuwezi kuyatamka mbele ya watu hao wanaotuzunguka iwe kwa Uislam au kwa imani nyingine.
Tuwe wavumilivu wote kwa kuonesha compassion na empathy kwa imani nyingine, hakuna imani mtu anayependa kuona imani yake inabagazwa akakaa kimya na kila mtu ana react tofauti. Tuache mijadala ya kidini isiyo na tija humu, kuna mengi ya kujifunza na kufundisha vijana wetu zaidi ya hizi chuki.
Asante sana.Ndiyo maneno tunapenda kueleweshwa.-ni kweli kuna kubusu jiwe lakini siyo lazima, bali mkiwa wachache au ukiwa karibu na eneo hilo
- mawe yanapigwa siyo kwa jiwe hilo unalolisema hapo Kaaba bali sehemu nyingine mbali kabisa (7km) kutoka hapo, panaitwa Jamarat. Hiyo ni symbolic gesture tu kama unavopiga msalaba au kupiga magoti na kufumba macho as if upo mbeke ya Mungu. Asili yake ni matendo ya Nabii Ibrahim kumpiga shetani aliemshawishi asitekeleze amri ya kumchinja mwanawe.
Ni kweli pia wakati mkiwa ibada ya hija kuna kipindi maalum cha kuvaa vazi la ihram ambalo ni mashuka hayo mawili meupe kwa mwanaume lakini mwanamke anavaa mavazi yake kama kawaida kwa stara inayoruhusiwa. SIyo uchi kama inavyotakiwa ionekane kwani mtu anaweza kukuhoji pia je mbona lile sanamu la mungu kwenye msalaba lipo uchi tu!
Ibada zote zinazofanyika kwa dini zote ni symbolic hazina maana yoyote halisi kwa wakati, ndio maana hta tunapoomba hamna yeyote anayemuona huyo muombwaji kwa imani yoyote
Mihadhara ya kidini Dar imeanza miaka ya 80. Asili ya wakazi wa Dar na Pwani na dini yao wengi ilikuwa waislam. Ilianza kwa sisi wanafunzi wa shule kupewa biblia na kuanza kuzisambaza majumbani na ikatokea kuanza kusomwa. Hii ilionekana kama njia ya kutaka kuingiza watu katika Ukristo. Wazazi walipoanza kuuliza maswali na kujibiwa miskitini hoja zikahamia kwenye majukwaa kufanya comparative religion debate ndipo wakaibuka hao kina Mazinge na wengineo na huku pia kuna Big November Crusades, na kina Moses Kulola na hoja za kutosha na yote hiyo ilikuwa na lengo la propagation. Maswali yakiulizwa mbona huku tunasema hivi nyie mnasema hivyo kujibiwa ikaonekana ni kashfa, kwa pande zote.
Kabla ya hapo wahadhir wakubwa wa Kiislam kina Sheikh Harith, Sheikh Yahya Hussein na Sheikh Kassim Juma walikuwa na mihadhara na mafunzo ya Quran, historia ya dini, masuala ya kijamii, malezi ya kIIslam na maadili katika Uislam, hawakugusia ukristo kabisa
Mimi ni Muislam, early 50s, napata akili kwenye 70s nilikuta biblia ya kilugha nyumbani Mzee alipewa na rafiki yake, nililkuwa nasoma sielewi hiyo lugha ila napenda tu misamiati na vile nikisikia wazee waizungumza nikawa curious tu. Nimesoma shule za Serikali lakini zina asili ya kanisa na miaka yote kila ibada za majivu tukilazimishwa kwenda kupaka majivu kanisani kwenye makanisa hapo karibu. Nimepitishwa mafundisho shule naambiwa lile sanamu pale kwenye msalaba ni mungu na mchana tukirudi nyumbani naenda madrassa naambiwa mungu haonekani.
Nimepata nafasi ya kuzunguka na kusali Orthodox Church, Addis, St Peters Basilica, Vatican City-Rome, Msikiti ya Makka , Madina na Msikiti ex-Kanisa Haggia Sofia Uturuki kwa utalii, curiosity na imani yangu na hapa TZ nimehudhuria ibada St Peters, St Joseph, St Alban kwenye ibada za sikukuu na matukio.
watanzania tunaishi kijamaa tumezaliana , kuoelana , kusoma na kuishi pamoja katika jamii zetu ndiyo maana tunahudhuria sherehe, misiba etc na wengi wetu matusi tunayoyaanadika humu hatuwezi kuyatamka mbele ya watu hao wanaotuzunguka iwe kwa Uislam au kwa imani nyingine.
Tuwe wavumilivu wote kwa kuonesha compassion na empathy kwa imani nyingine, hakuna imani mtu anayependa kuona imani yake inabagazwa akakaa kimya na kila mtu ana react tofauti. Tuache mijadala ya kidini isiyo na tija humu, kuna mengi ya kujifunza na kufundisha vijana wetu zaidi ya hizi chuki.
The underlying principle kwenye dini/imani zote ni DO AS YOU WOULD BE DONE BY
Mtuacheni jamani na dini yetu. Watu huku tunaendelea kula kiapo cha utii kwa Kipenzi chetu cha dhati mwamba mkombozi wa waislamu Imam Hussain ibn Ali AS.MUISLAMU: USIKALIE MATUSI
Ambayo yanakupeleka jehanam
Kuukosoa Ukristo mlianza ninyi pale Mnazi mmoja hasa mwaka 1996 ambapo Mazinge alikula kofi zito kwa ahadi yake mwenyewe. Baada ya hapo mkaanza kufunga spika hadi karibu na makanisa. Mkasilimisha Wakristo wasio na ufahamu. Mwaipopo naye akasilimu, akauchamba Ukristo kila kona hadi Zanzibar akimtetea hadi Idd Amin Dada kuwa ni muislamu bora aliyeondolewa na Nyerere kwa agizo la kanisa.
Hapo akiwa Zanzibar. Wakristo tulipata shida, maana hatukujua lugha yenu ama vitabu vyenu ambavyo vimejawa na mazito lukuki. Ashukuruwe Dr. Kaisi aliyeenda kuusoma Uislamu Cairo Misri, akatuletea mazito. Ashukuriwe pia Simba Uranga aliyejitokeza kutwaa hoja kwa Kaisi na kusimamisha mnakasha wa kwanza pale Kawe. Waislamu walipigika kwa hoja wakakimbilia polisi kuzuia mnakasha na polisi wakasema Quran wala vitabu vya kislamu visitumike kwa shinilizo la Waislamu.
Kanisa likaingilia kati na wao wasitumie Biblia. Mwisho wakakosa cha kuhubiri ikabidi warejee kwa hoja. Maana mihadhara ya Waislamu hainogi bila Biblia. Tokea hapo, Waislamu hawana cha kumtisha Mkristo msomi, maana utandawazi umeleta vitabu kwa wepesi zaidi. Mdahalo nilioandaa katiks uwanja wa TP Manzese, Shafii alikataa vitabu ikiwemo Araiq al Maktum na Mkweli Mwaminifu akitaka Quran tu ndio itumike. Ni aibu kuogopa vitabu vyenu wenyewe. Msemo wa wahenga unasema usirushe mawe kwenye nyumba ya zege na chuma huku unaishi kwenye nyumba ya vioo.
Wiki hii nimechokonoa kidogo Uislamu kwa vitabu vyao wenyewe, matusi yametapakaa kama mvua hapa na inbox na kunitishia maisha badala ya kujibu hoja. Wanajisaulisha kwamba wahadhiri wao kila siku wapo bize na Ukristo kuliko Uislamu. Tena wanausemea mabaya ikiwemo kumwita mtume Paulo ni shoga na alizalishwa mtoto anayeitwa Onesmo. Sisi wala hatuna muda wa matusi, zaidi ya kujibu hoja zao. Ingawa wapo Waislamu waungwana ambao wanavumilia na kujenga hoja ila ni kwa asilimia chache.
Muislamu
Quran inakutaka ujibu hoja kwa hoja na kwa hekima kama ifuatavyo;
1. Mjadala ufanyike kwa hekima na upole
Qur’an 16:125
"Waite (watu) kwenye njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora..."
Aya hii inaonyesha kwamba mjadala unaruhusiwa, lakini usiwe wa ugomvi matusi au kejeli; unapaswa kuwa wa hekima na heshima.
2. Mjadala na Ahlul Kitab (Wenye Kitabu – Wayahudi na Wakristo)
Qur’an 29:46
"Wala msijadiliane na Wenye Kitabu ila kwa njia iliyo bora, isipokuwa wale wanaodhulumu miongoni mwao. Na semeni: Tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu; na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja..."
Hii inaonyesha kuwa Waislamu waliruhusiwa kujadiliana na Wakristo na Wayahudi kwa heshima, na kwa njia bora isiyo na vurugu.
3. Mjadala wenye hoja za wazi
Qur’an 3:64
"Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lililo sawa baina yetu na nyinyi: tusiabudu ila Mwenyezi Mungu pekee, wala tusimshirikishe na chochote..."
Qur’an inafundisha mjadala wa kutafuta hoja ya msingi badala ya mfarakano.
Mimi
Nakuruhusu katika ukurasa wangu huu ukosoe imani yangu kwa hoja. Ukitusi au kutishia ni dhahiri umeshindwa hoja na itakuwa ni kwa hasara yako. Katiba yetu katika ibara ya 19 inaruhusu kutangaza dini, kuhama dini nk. Msikalie kutuita makafiri huku hilo neno linaweza kuwa juu yenu pia. Hoja yangu kwenu leo ni:
Uislamu ni Upagani wa kisasa uliopora Upagani wa Makureshi. Haya leteni hoja.
Wewe hujui kitu hiyo mihadhara,ilianza tabora 1986/87 na watu wawili wa kigoma majina yamenitokaJamaa mbishi wewe
Pumba tupu,huji ukaya wazungu wanasikimu bila mihadhara,na makanisa yanageuzwa misikiti.MUISLAMU: USIKALIE MATUSI
Ambayo yanakupeleka jehanam
Kuukosoa Ukristo mlianza ninyi pale Mnazi mmoja hasa mwaka 1996 ambapo Mazinge alikula kofi zito kwa ahadi yake mwenyewe. Baada ya hapo mkaanza kufunga spika hadi karibu na makanisa. Mkasilimisha Wakristo wasio na ufahamu. Mwaipopo naye akasilimu, akauchamba Ukristo kila kona hadi Zanzibar akimtetea hadi Idd Amin Dada kuwa ni muislamu bora aliyeondolewa na Nyerere kwa agizo la kanisa.
Hapo akiwa Zanzibar. Wakristo tulipata shida, maana hatukujua lugha yenu ama vitabu vyenu ambavyo vimejawa na mazito lukuki. Ashukuruwe Dr. Kaisi aliyeenda kuusoma Uislamu Cairo Misri, akatuletea mazito. Ashukuriwe pia Simba Uranga aliyejitokeza kutwaa hoja kwa Kaisi na kusimamisha mnakasha wa kwanza pale Kawe. Waislamu walipigika kwa hoja wakakimbilia polisi kuzuia mnakasha na polisi wakasema Quran wala vitabu vya kislamu visitumike kwa shinilizo la Waislamu.
Kanisa likaingilia kati na wao wasitumie Biblia. Mwisho wakakosa cha kuhubiri ikabidi warejee kwa hoja. Maana mihadhara ya Waislamu hainogi bila Biblia. Tokea hapo, Waislamu hawana cha kumtisha Mkristo msomi, maana utandawazi umeleta vitabu kwa wepesi zaidi. Mdahalo nilioandaa katiks uwanja wa TP Manzese, Shafii alikataa vitabu ikiwemo Araiq al Maktum na Mkweli Mwaminifu akitaka Quran tu ndio itumike. Ni aibu kuogopa vitabu vyenu wenyewe. Msemo wa wahenga unasema usirushe mawe kwenye nyumba ya zege na chuma huku unaishi kwenye nyumba ya vioo.
Wiki hii nimechokonoa kidogo Uislamu kwa vitabu vyao wenyewe, matusi yametapakaa kama mvua hapa na inbox na kunitishia maisha badala ya kujibu hoja. Wanajisaulisha kwamba wahadhiri wao kila siku wapo bize na Ukristo kuliko Uislamu. Tena wanausemea mabaya ikiwemo kumwita mtume Paulo ni shoga na alizalishwa mtoto anayeitwa Onesmo. Sisi wala hatuna muda wa matusi, zaidi ya kujibu hoja zao. Ingawa wapo Waislamu waungwana ambao wanavumilia na kujenga hoja ila ni kwa asilimia chache.
Muislamu
Quran inakutaka ujibu hoja kwa hoja na kwa hekima kama ifuatavyo;
1. Mjadala ufanyike kwa hekima na upole
Qur’an 16:125
"Waite (watu) kwenye njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora..."
Aya hii inaonyesha kwamba mjadala unaruhusiwa, lakini usiwe wa ugomvi matusi au kejeli; unapaswa kuwa wa hekima na heshima.
2. Mjadala na Ahlul Kitab (Wenye Kitabu – Wayahudi na Wakristo)
Qur’an 29:46
"Wala msijadiliane na Wenye Kitabu ila kwa njia iliyo bora, isipokuwa wale wanaodhulumu miongoni mwao. Na semeni: Tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu; na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja..."
Hii inaonyesha kuwa Waislamu waliruhusiwa kujadiliana na Wakristo na Wayahudi kwa heshima, na kwa njia bora isiyo na vurugu.
3. Mjadala wenye hoja za wazi
Qur’an 3:64
"Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lililo sawa baina yetu na nyinyi: tusiabudu ila Mwenyezi Mungu pekee, wala tusimshirikishe na chochote..."
Qur’an inafundisha mjadala wa kutafuta hoja ya msingi badala ya mfarakano.
Mimi
Nakuruhusu katika ukurasa wangu huu ukosoe imani yangu kwa hoja. Ukitusi au kutishia ni dhahiri umeshindwa hoja na itakuwa ni kwa hasara yako. Katiba yetu katika ibara ya 19 inaruhusu kutangaza dini, kuhama dini nk. Msikalie kutuita makafiri huku hilo neno linaweza kuwa juu yenu pia. Hoja yangu kwenu leo ni:
Uislamu ni Upagani wa kisasa uliopora Upagani wa Makureshi. Haya leteni hoja.
Hana hoja huyu,huko ulaya maksnisa yanageuzwa misikiti,na hakuna mihadhara ya biblia.Wewe hujui kitu hiyo mihadhara,ilianza tabora 1986/87 na watu wawili wa kigoma majina yamenitoka
Prof kaisi kwenye gazeti la msema kweli alikua mpotoshaji tu
Mfano anatoa aya inayoamrisha kuswali halafu anatoa ile aya isemayo ole wao wenye kuswali,kisha anadai Quran inajichanganya
Hamalizii aya zingine baada ya ole wao wenye kuswali