Majibu ya kuuwa ni halali au si halali soma juu nimeweka km mara 3. Sina haja ya kufafanua zaid. kwa faida yako, uislamu hauruhusu mauaji yeyote either awe non-muslim au muslim kutoa roho ya mwingine pasipo huyo mtu kuuwa kwa kusudi. Alqaida has nothing to our Glory Qur-an. Km unataka kujudge iSlam judge thru Qur-an na sio blah blah cjui Alqaida cjui nani. Kipindi cha Crusade for christianity mbn siongelei apa wkt mauaji yalifanyika makubwa kwa jina la dini? Na ndo watumiaji wa neno Holywar. Yes Hitler was Christian. Kajipange tena uje hapa na usikurupuke.Nadhani ungejibu kwanza swali lake vizuri tu bila hasira na kumwelimisha na kisha na wewe kumwuliza ili akuelimishe kuhusu Hiter na Mussolini. Lakini ulivyojibu, unaonesha kama Hitler na Mussolini walikuwa wauaji na walikuwa Wakristo (kama unavyodai), basi hata Alqaida kujilipua ni ruksa kwa vile ni Waislamu. Pili did Hitler and Mussolini kill in the name of their religious belief or political motives as Alqaida claim they are doing it in the name of Allah? Do, you get the point?
Jibu kwa vifungu sio siasa kny dini. Mfano mie nimekuambia soma Mathayo 5: 30-47 na Mathayo 5 :17-20. Nataka ubishe hayo maandiko kwa vifungu. Usilete story ya nursery ya Camel unajaza page tu!Ulichokifanya ni kusoma biblia na kukariri (memorise) vifungu fulanifulani. Lakini Biblia haisomwi hivyo. Lazima usome kwa kutafakari na ukisoma kwa kutafakari utapata fundisho fulani na siyo kuishia kukariri maneno au mpangilio wa sentenso. Kuna msemo ambao huwa napenda kuutumia kuonesha tofauti na kukariri. Nao ni huu: "The camel is the ship of the desert". Kwa mtu anayesoma na kukariri maneno atasema: Ngamia ni meli inayopita jangwani, ambako kuna bahari. Anayesoma kwa kutafakari atasema: kama meli ilivyo chombo cha usafiri baharini/ziwani, vivyo hivyo na ngamia jangwani. Kwa hiyo, ngamia siyo meli bali inafaninishwa tu na meli kutokana na ustahimilivu wake jangwani kama ilivyo meli baharini. Biblia nayo inabidi isomwe hivyo. Kwa hiyo, kama umasoma narrative fulani lazima ujiulize narrative hiyo inafundisha nini? Context yake ni nini? Primary addressees wake ni akina nani? Secondary addressees wake ni akina nani? Na pia fundisho lake ni nini? Ukifanya hivyo, ndipo huwa umesoma biblia kwa namna inayotakiwa! Kwa upande mwingine, kama umesoma na hupati fundisho lolote (hujaguswa kutafakari zaidi ulichokisoma) ni sawa na mtu, ambaye hajwahi kuisoma kabisa!
Wakati wa DECI mlikusanyana pale Sabasaba Kilwa Road mkasema maneno haya haya. Oooh Yesu anagawa utajiri, kwa Mungu yanawezekana! mwisho ukweli ukajulikana kuwa ilikuwa ni SCAM! Nashangaa wale maaskofu walioshadidia hili hawakuwaomba radhi!
Leo unakuja ushetani mwingine watu mnaleta stori zilezile! Soon ukweli utajulikana msije mkabadilisha kauli hapa!
La msingi, nani aliyepimwa na kuthibitika ana HIV antumia ARV akaenda huko kwa babu akapona? Apimwe tuthibitishe kuwa kapona! Msitulee stori za imani imani hapa!
Hizi dini tulizorithi au kupokea zinatupeleka pabaya sasa!
Watu wanajitafutia tiba mbadala, wengine wako busy na vipaaza sauti wakiwakataza! tuone itakavyokuwa.
HUU UDINI UNATUFUNDISHA NINI HAPA TANZANIA?
Hivi ina maana JK (aka mzee wa kiduku) sio muislam? Maana babu alisema wakati anazungumzia foleni kuwa mtu pekee aliyemruhusu kutokaa foleni ni Raisi (pamoja na kwamba alikwenda kablafoleni haijawa kubwa) kwa kuwa Mungu anataka watu waheshimu kila mamlaka kwa hapa duniani ---lakini kwa wengine wasipokaa foleni hawatapona!!! Huo ni uthibitisho kuwa raisi alipata tiba pale na nijuavyo mimi ni muislam safi na muumini wa hata sheikh Yahya (ustaadhi)Wanaakili za kitoto kabisa hawa wao ni waislamu gani?wamekunywa dawa waislamu wanaojiita waislam toka oman,Watu wamekwisha kujitangaza hawasikilizi wala hawafuatilii habari hawa jamaa wanaojiita waislam,kwenye vyombo vya habari mbona wamejitangaza,TV,Magazeti,Redio na mitaani pia mimi nisingekwenda kama kumuona mwenye kisukari cha kuchoma sindano kupona na mwenye Ukimwi kuacha kutumia ARV baada ya kurudi toka kwa mchungaji.
kilichopo hapa hawa jamaa na ubinafsi wao ndio unaowasukuma kusema hivyo,kwa kuwa ni mkristo anayetoa tiba ndio maana hawataki waislamu watibiwe na mkristo si waache hospitali za wakrito na waenda za waislamu?Walie tu serikali yenye mkono mrefu imeshindwa sembuse wao,waende na wao wakanywe kikombe bana wasijivunge.
Hili hawawezi kulizuia, watu wanashida nyingi wao wanasema wasiende? Ili iweje wakati mmeshindwa kuwatibu?