Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
mbona mahita kaenda?
maneno ya busara yanasema 'usiangalie ulipoangukia bali pale ulipojikwaa' wanachofanya waislamu ni retaliation kutokana na kuhujumiwa na wabeba misalaba wakiongozwa na marekani. Iraq ilikuwa ni nchi salama wakati wa sadam, palestina ilikuwa nchi salama kabla ya kuvamiwa na mayahudi, afghanistani ilikuwa ni nchi salama kabla ya kuvamiwa na marekani. Haingii akilini mtu aje nyumbani kwako auwe familia yako na abake mkeo na binti zako halafu umkenulie meno huo utakuwa ni ukhanithi.Uislamu unahubiri amani maeneo gani wandugu, Somalia, Iraqi, Pakistan, Palestina au wapi? Na hiyo amani wanaihubiri kwa vikundi vijulikanavyo kama Islamic Jihad, Al Shabaab, Al Qaeda, Boko Haram, nk. Na misahafu wanayoitumia ni mabomu ya kujifunga kiunoni! Matokeo ya mahubiri ni Sept 11, 2001, ulipuaji wa balozi za Marekani nchini Kenya na Tz, London bombing and above all, TERRORISM!
PUMBA, ongea kwa mifano nshakuelezea juu ila unataka kuwapotezea watu muda.Hizi cult I mean islamic fundamentalists and/or muham-mad cultural jihad "Islamic Jihad, Al Shabaab, Al Qaeda, Boko Haram" ni za deen gani?
http://www.thereligionofpeace.com/
Usiwe mtu wa Ku-generalize vitu. Km wewe unakula nguruwe ambae ata Yesu kamchukia basi iyo ni wewe tu usiseme sisi waislamu ndo tunaongoza. Nina mashaka na wewe si muislamu bali unazuga watu kwa jina. Na kama ikitokeaKama ni kweli kucheka kunaongeza miaka basi labda nimeogeza kumi kidogo! Muhogo umenichesha sana, yaani waaslam wa Dar es Salaam wanaisaidia Serikali kazi au nia yao nini? wanapaswa kufanya zoezi la kuhakiki juu ya hiyo dawa ni Serikali na bahati mabaya viongozi wengi ni Waislaam wenzetu na wameshakwenda kunywa hiyo dawa hivyo hawawezi kuzuia.
Kusita kuzuia kunainyesha kuwa hata viongozi wetu walioinywa wanajijua matokeo yao waliyopata baada ya kuinywa.
Inachekesha kuona kuwa hawajui imani inamuhusu mtu na nafsi yake siyo msikiti wala jamii ya Kiislam!
Ina maana Misikitini hawajui kuwa makanisa ya Walokole waliojaa humo wengi kuombewa ni Waislaam? hawajui pia Siku hizi waislaam tunaongoza kula nguruwe kuliko hata wakatoliki?
Watu wanasema msiende hili mpunguze nafasi wenye shida waende
Ukinipa verses from Qur-an zinazosemaJamani mimi sina macho mpaka niwe fooled na western media? Historia ya Muhammad iliyojaa ugaidi inajieleza yenyewe! Soma Quran itakueleza maana ya ugaidi-means Jihad (the war against non-muslims)! Sidhani kama utathubutu kudai ushahidi wa Quran ambao uko wazi kabisa!
sheikh yahaya anavyoawaagua wanaenda kupimwa hospitali?
khah! Nyinyi nani?Kwani wameitwa? kwanza wasiende watatumalizia dawa yetu! ingekuwa wao...usingetia mguu hadi uitwe Juma, rahima, ramadhani n.k ndio maana hata ile mboga 'hawali'!!!!!
Unaposema waislamu wanahubiri chuki sijui unayo mifano? Tofautisha kati ya ukweli/haki na chuki. Kwa kukusaidia jina la dini yetu tu ni Amani,je inawezekana kuikana amani tena? Usiwe mfata mkumbo au umeathirika na propaganda za western. Wapi uislamu umehubiri fujo kny Msahafu? Usikariri vibaya soma utaona beauty of Islam.
Uislamu ndo dini pekee inayohimiza mema na kukataza mabaya.
kama unakula nguruwe basi umeshajitoa mwenyewe kwenye Uislam, subiri damu ya Bwana ikukomboe.Kama ni kweli kucheka kunaongeza miaka basi labda nimeogeza kumi kidogo! Muhogo umenichesha sana, yaani waaslam wa Dar es Salaam wanaisaidia Serikali kazi au nia yao nini? wanapaswa kufanya zoezi la kuhakiki juu ya hiyo dawa ni Serikali na bahati mabaya viongozi wengi ni Waislaam wenzetu na wameshakwenda kunywa hiyo dawa hivyo hawawezi kuzuia.
Kusita kuzuia kunainyesha kuwa hata viongozi wetu walioinywa wanajijua matokeo yao waliyopata baada ya kuinywa.
Inachekesha kuona kuwa hawajui imani inamuhusu mtu na nafsi yake siyo msikiti wala jamii ya Kiislam!
Ina maana Misikitini hawajui kuwa makanisa ya Walokole waliojaa humo wengi kuombewa ni Waislaam? hawajui pia Siku hizi waislaam tunaongoza kula nguruwe kuliko hata wakatoliki?
Watu wanasema msiende hili mpunguze nafasi wenye shida waende
Jana kulikuwa na mjadala na kuwataka waislam kuacha kwenda liliondo. walisema hio ni dawa ya kiini macho. walisema kama kuna mtu amepowa kwa dawa hiyo ajitokeze waziwazi kabla ya kupoa akiuumwa nini na sasa apime aonyeshe kwamba kama kweli amepoa.
waliwataka waislam kuachana na kabisa dawa hiyo wanayoita ni DECI
Hoja imetolewa,nani kapona.Nyinyi na usomi munaojidai nao mbona mnaleta ushabiki wa enzi za kale.Kitu cha msingi kwa ndugu zangu waislamu ni vyema kama wangetoa njia mbadala ya wagonjwa wanaenda huko kabla ya kuwazuia, watu wanahangaika na magonjwa hayo bila tiba muda mrefu leo mchungaji anatoa tiba imani ya kiislamu inakataza, sasa mnataka waislamu wenzenu wafe au wafanyeje, mimi binafsi kama mngetoa njia mbadala niwaona mna busara sana, lakini kumbuka asiye na ugonjwa hamjui mwenye ugongwa inawezekana ikawa rahisi kuzungumza kwa sababu wao hawaumwi, kumbuka wenye dini yao (waarabu) wameenda. Hebu chukulia babu angeamua kutibu wakristo peke yake hiyo ndiyo ingekuwa mbaya maana uislamu pengine ingeisha kwa waumini wake kuslim mimi naona anavyofanya ni vizuri kwanza hamuulizi mtu yeyote jina wala dini yake, kwani mungu anaamini wote ni kondoo wake isipokuwa wengine wamepotea. **** mpo makini kuna mama mmoja alitoa ushuhuda TBC amepona kisukari na alivyoenda kupima akaona sukari ipo narmal yaani 6.1 sasa sijui mnataka ushahidi upi. Hilo ni jambo jema na wapongeza ndungu zangu waislamu walioamua kwenda kuokoa maisha yao kwanza kwa babu halafu ndipo wairudie imani kwani wamelazimika kufanya hivyo kwa sababu hakuna jinsi. Kumbuka hata vitabu vyenu vya dini vimewaruhusu kula vitu halamu(nguruwe) endapo hakutakuwa hamna namna(yaani kwa ajili ya njaa au mengineyo), mmeambiwa kama mtakuwa na njaa na hamna jinsi nguruwe kura ruksa(ruhusa). Quran 6:145
sawa muhogo mchunguJana kulikuwa na mjadala na kuwataka waislam kuacha kwenda liliondo. walisema hio ni dawa ya kiini macho. walisema kama kuna mtu amepowa kwa dawa hiyo ajitokeze waziwazi kabla ya kupoa akiuumwa nini na sasa apime aonyeshe kwamba kama kweli amepoa.
waliwataka waislam kuachana na kabisa dawa hiyo wanayoita ni DECI